Nchi zote hizo.maraisi wake wamelelewa Tanzania na JWTZ1. Malawi
2. Zambia
3. Congo DR
4. Kenya
5. Burundi
6. Uganda
7. Rwanda atokayo member mmoja maarufu jamiiforums ambaye kwa bahati mbaya jina lake kwa sasa ameir seif wete paje kidagaa ( cognizant ) mimi nimelisahau?
8. South Sudan
9. Msumbiji
una akili sawa sawa kichwani?Nchi zote hizo.maraisi wake wamelelewa Tanzania na JWTZ
Kagame alikuwa JWTZ Kambi ya msumbiji ndio maana Hadi kapeleka Jeshi kule anakujua vizuri kupitia JWTZ ,Mseveni alikuwa Jeshi la Tanzania,Raisi wa msumbiji aliyepo Sasa kakulia Tanzania kasoma Tanzania aliiishi kurasini,Raila Odinga kaishi Tanzania kama mkimbizi kasoma Tanzania,Mzee Kabila na mwanae Kabila wote walikuwa Tanzania ndani ya mojawapo ya Jeshi la Tanzania Nchi nyingi za kusini mwa Africa na kati na Afrikaans mashariki viongozi waliopo wamewekwa na Tanzania kama hujui
Hakuna nchi ya kupandikiza majasusi Tanzania haipo nchi yeyote ya kiafrika hata iwe SomaliaTanzania
Sana sana wanapewa uongozi ili siku kikiinuka kwao waende wakashike nchi bila shida Wala kuhitaji mafunzo mapya ya uongozi
Kwani vipi gentamiycineuna akili sawa sawa kichwani?
i'm cognizant please and not that husband of yours whom you mentioned okay?Kwani vipi gentamiycine
kumbe hili ni game la kuwahi ama kuwahiana 🤣🤣🤣🤣Wkati hapo kwa jirani tu tuliweka Rais mtu wa Taborq
Ndio asili ya hiyo medanikumbe hili ni game la kuwahi ama kuwahiana 🤣🤣🤣🤣