Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,444
- 62,780
- Thread starter
- #101
Hali ya hewa imechafuka, kila kona ya dunia mafuta mafuta mafuta. Hii inatafsiri, ile akili inatakiwa ipumzike.Mbona Trump hawajamstaafisha?
Hali ya hewa imechafuka, kila kona ya dunia mafuta mafuta mafuta. Hii inatafsiri, ile akili inatakiwa ipumzike.Mbona Trump hawajamstaafisha?
Akisha timiza ndoto, ndio inakuwaje?Mara nyingi wazee huwa wanafanya hivyo kwa sababu kuu mbili
1. Wanajenga kwa ajili ya vizazi vyao. Watu wengi wakifika umri huo huwa hawahitaji vingi, sana sana kuiacha familia yake vizuri. Kwa hiyo atajaribu kutengeneza ustawi wa familia yake
2. Kuna ndoto fulani ambazo hazikutimia, labda mtu alikuwa na ndoto ya kujenga nyumba tano lakini hakufanikisha, hivyo anajenga ili kutimiza ndoto zake
😀😀Mpaka sasa hivi una visima vingapi vya mafuta hapo mashariki ya kati?
KENTUKY FRIED CHICKEN KFCUlitakiwa ujenge kabla ya kufikisha huo umri; ukifikisha huo umri ni umri wa lala salama, ni umri wa kuwaza mambo ya mbinguni tu na si mambo ya kidunia tena.
h 🤣🤣If you come from a rich family respect the gate man because he might be your father........
Ufafanuzi ni muhimuKENTUKY FRIED CHICKEN KFC
Kaka umri wa huyo mzee si ni known mkuuUfafanuzi ni muhimu
Kwa nini asiwekeze kwenye mambo ya mbinguni?Kaka umri wa huyo mzee si ni known mkuu
Huu ni umri wa kupumzika na kutafakari yale yote uliyoyatenda katika ujana wako, kuanzia kimasomo, kimaisha, kikazi n.k
Ni umri ambao hauna tija tena katika uzalishaji; ndio maana wengi wakifikia huo umri hulazimishwa kustaafu. Swali, ni wangapi wako tayari kustaafu wakifikia huo umri?
Kustaafishwa maana yake, kwa huo umri wako hauhitajiki tena katika uzalishaji, bali unatakiwa kupisha nguvu mpya zenye ufanisi katika utendaji.
Hii inatafsiri, huo ni umri wa kukataliwa na jamii, na jamii ikikukataa unatakiwa kuwa karibu na muumba wako; sasa najiuliza swali kwa umri huo, unajenga nyumba ya nini, ikiwa jamii haikutaki na unakuwa umebakiza miaka michache ya kuonana na muumba?
Muda wa kumtumikia muumba na kutoa fungu la kumi bila kupunja wanaupata wakati gani?Kiongozi usisahau kuwa, kwenye vipato vya ulimwengu wa tatu na hii mishahara yenu ya walio wengi huku unafamilia....bila kula urefu wa kamba yako, unaweza jikuta unastaafu bila hata kuwa na kibanda, hivyo sioni tatizo kujenga na hata kama ungekuwa na miaka 80?
Namaanisha unajenga nyumba ili wakaishi wengine kama na wewe unavyoishi nyumba walizo jenga wengine.
Sio kila kitu unafanya kwa faida yako mwenyewe...acha ubinafsi!!!
Kila lenye kheryKwa umri huo unatafuta fursa ili iweje?
Utakua na tatizo upstairs ila hujajijua tu,Mpaka sasa hivi, umewaachia visima vingapi vya mafuta?
Gunia la mchele la kilo mia lina punje ngapi za mchele?Utakua na tatizo upstairs ila hujajijua tu,
Maswali ya kitoto sana haya.
Ni kujitesa tuKila lenye khery
Ukifikisha miaka 65+ furaha yako itakuwa ni nini?Ilimradi unaona mambo yako yanakwenda basi Fanya unavyojua...Dunia hii ilivyo zipo namna nyingi Sana za kufurahia maisha, hatuwezi kupita njia moja.... possibilities ni nyingi Sana duniani.
Na huu uzee wangu, napambana na ibada tu