ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,490
- 3,618
Ingawa kiarabu ni lugha inayozungumzwa sana barani Afrika ikifuatiwa na Kiswahili bado sijaona sababu ya kukirasimisha.Kiingereza ni muhimu kwa dunia ya leo na kinatusumbua sana Watanzania.Kurasimisha lugha kuna hatua nyingi sana