Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,104
Wee jitoe ufahamu, baki na umbumbumbu wako !! Since day one WAARABU tumeiBARIKI nchi hii kwa LUGHA MAMA, USTAARABU (Arabian Civiliztions ), AMANI, UUNGANISHI WA MAKABILA kwa lahaja moja "Salaam Aleykum" na pia majina ya miji yote (DAR-ES-SALAAM-MTWARA-TANGA-KIGHOMA-ARUSHA-TABORA-SINGHIDA-ZANZIBAR-KILWA-MAFIA-KIL~MANJAA~ARO, MUSSOMA,KIBAHA ,BAGA~MOYO,nk nk..
Tazama artitecture design za waarabu (majengo ya kama ikulu/Ocean road Hospital, majengo nk nk) !!! Pamoja na kutaifishiwa mashamba,Viwanda,maghorofa na mhospitali.... Bado wasema uwekezaji gani.. Nguruwe wee/shwaein ngedere wa chooni !!
Long live SS Bakhressa kuweza sambaza bidhaa zake na kuajiri wazawa.... (huyo mmoja tu)
chuki na husda zimekutawala....
Architectural design sio ushahidi kuwa ni waarabu walijenga. Ushahidi upo kuwa zilijengwa na waafrica waliocopy style ya Kiarabu kutumia corals kutengeneza lime mortar na features walizocopy baada ya kuwa exposed na Arabic styles. Hivyo indigenous nao walishiriki katika kukuza architectures.
Kuna maneno kama Bagamoyo hutakiwi kusifia kwa sababu iliyokana na ukatili wa Arabs katika slavery.
Kilwa ni jina ambalo lilikwepo na ilipewa heshima kwa Africans kutoka kwa externals. Terms nyingine zinaweza kuwepo kwa arabic names lakini sio kwamba hakukwepo na local names. Its a matter of popularity and who ruled later na kubadili facts.
Arabs hawakuleta Ustaarab. Ustaarab ulikwepo kabla ya kuja kwao na walikuja kutokana na kujua kuna interests na nguvu wao wakataka kuichukua kwa self interests. Ndio maana kulikwepo na centralized states, coins, kings, scripts, roman trades na Neolithic cultures.[/QUOTE]
Wee unashabikia ZERO uchangiaji.... hao bantu wako hata kuvaa nguo ya kujistiri hawakujua!!
LUGHA ya kiswahili ukitoa neno moja to la KIARABU !! litabaki :- Woo,woo chi chui chi-chi
kama ndege !!