Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

mnyonge mnyongeni........kiarabu ni moja kati ya lugha pana na yenye wazungumzaji wengi duniani,huwez kutaja lugha kubwa nne duniani ukakosa kiarabu,kiswahili kwa 75% kimejengwa na kiarabu,ukija kijamii na kibiashara,waarabu kibiashara wanashirikiana sana na nchi za kwetu,na pia ukaribu,hakuna watu waaminifu kibiashara kama waarabu,mfano mzuri nenda zenj,watu wa zenj kibiashara wana uaminifu mkubwa sana,kama tungekua tunatumia uhusiano huu vizur,kibiashara tungekua mbali,ila tumehusisha sana uarabu na udini ndio maana tumekua vipofu kwenye hili,na tume fail mambo mengi,mfano wa tanganyika tulio wengi kibiashara sio waaminifu hata kidogo,hata ukiangalia kiutendaji,wazenj wako makini ki fursa kuliko huku kwetu,mfano tuu,process za ki bandari zenj na huku,zenj ziko haraka na wazi kuliko bara,unaweza toka na mzigo bandar ya zenj vizur,figisu zinaanza ukifika bandar yetu huku,kuchangamkia fursa bado sana,wazungu wanasoma lugha za watu kama nini,sisi hapa dar pamoja na ukubwa wote huu kibiashara bado hatuna hata chuo kikubwa cha lugha za kigeni,tumebaki kuwa skeptic tuu,unahofia vitu visivyokuwa hata na mantiki,unaogopa kusoma kichina eti utlishwa chura,unaogopa kusoma kiarabu eti utakua muislam,unaogopa kusoma kiitaliano eti utakua mkatoliki matokeo unamkuta mjasiriamali mkubwa anajua kiswahili tuu na kimakonde,alafu nae anataka fursa zakibiashara nje na ndani ya nchi yake
 
Wee unashabikia ZERO uchangiaji.... hao bantu wako hata kuvaa nguo ya kujistiri hawakujua!!
LUGHA ya kiswahili ukitoa neno moja to la KIARABU !! litabaki :- Woo,woo chi chui chi-chi
kama ndege !!

Wow! What a bigoted-obnoxious opinionated comment!

Ulisoma wapi kuwa wabantu hawakuvaa nguo? Na lugha yao ipo hivyo?
 
ياعيني و مشاءالله معروفين اهل البلوشي بطالك الكلم ياللله مرحبا يأخي العزيز
اوووووه شكرا يا اخي العزيز، كلنا امة اسلامية ولغتنا العربية ونحبها محبة يعقوب ليوسف، من يكره العربية فاليأكل الليمون حتى يخفف الالم، لكن العربية ما زالت عالية في كل العصور، لغة يتلفظ بها كل مسلم خلال الصلوات الخمسة.
 
Waweke somo la kupiga ngoma pia maana mkuu wetu anafidia vyema kutopenda kutumia lugha za kigeni kwa kulaki wageni kwa kuwapiga ngoma.
 
Ni kweli mkuu, nilikuwa Cairo na niliweza kupata mahitaji yangu dukani kwa kuongea Kiswahili na wenyeji kuongea Kiarabu, maneno mengi yanaingiliana. Lakini si vibaya kuweka Kiarabu kama somo mashuleni kwa watakaopenda kama vile ilivyo Kifaransa.
Kumbe ndo wewe tulikuwa Cairo siku ile, aisee.
 
kiingereza chenyewe ishu kutamka hata maneno 10 mfululizo bila kigugumizi leo hii mnataka kiarabu kisa mmemuona mfalme nyie watu nyie!!
Hahahaha,aisee hii Kali
Nahisi mtoa post ahajaangalia tathmini
Ni kwamba Kiarabu ni Lugha ya pili kuongewa na idadi kubwa ya watu duniani.

Sasa sijamuelewa anamaana gani kutaka irasimishwe mpaka mashuleni.
Wakati sie wenye Waislam hii ni lugha yetu ya kiimani,lakini kwenye laki mwenye kujua ni Mmoja tu.Wengine ni kubabia babia tu.

Na tukitoka hapo tutasema Kichina,maana wachina ni wadau wetu miaka mingi sana.

Sasa suala la lugha ni la mtu binafsi kujibidiisha ili kwendana na soko la ajira then hayo mengine yatajipanga yenyewe humo humo.

Wakenya Kiingereza ni kama lugha mama,lakini hawathubutu kuongeza lugha nyingine,badala yake ndio wamekimbilia kwenye Lugha za makabla moaka kuna Redio zinatanga Kikamba tuu,au kijaluo kwenda mbele.
 
Kwa upande wa lugha, Tanzania tumechelewa sana sana. Baada ya kuchelewa tumelewa kasumba lugha inayohitajika ni Kiingereza tu. Kwa kweli tulihitaji lugha zaidi mashuleni. Na kwa best practices narejelea watu wa Yuropa. Wale watu wanajifunza lugha nyingi sana mashuleni. Na uelewa wao wa mambo ya kimataifa ni mkubwa zaidi.
Lugha yenyewe hii ya kuandika kutoka kulia kwenda kushota? hapana!
 
kiarab chenyewe Kiswahili tayari lol - chai-Shai, Maji-Mai, Swahili-Swahilia, Asubuh-Subhi, Ishirini-Ishiruna, Thalathini-Thalathuna ha ha ha ha ha hayo kwa uchache ila yapo mengi sana,
Swahiba = Swahib !! rafiki = Rafiq !! Kumbe nawe mwingi wa kalamiti za kinahau ?!!?

hebu tuchanganye kidogo:-
Kiswahili = Kiarabu
Ishirini = ishirin
Mia = mia
Elfu = elf
Harusi = arus
Lafudhi = lafudh
Lahaja = lahja
Zahama= Zahma
Ishi = ishi
kufa = wafaa
kitabu = kitab
Haramu = haram
Maji = mayi
Kero = kerh
Hewa = Hewa
Deni = den
 
Kiarabu ni lugha inayoongoza kuzungumzwa Afrika ikifuatiwa na Kiswahili lakini kwa Tanzania nadhani tukazanie kwanza kiingereza chenye manufaa kiuchumi pia tujifunze kichina ambacho siku za karibuni kinaonekana kuwa na manufaa kwa uchumi ktk eneo la biashara
 
Back
Top Bottom