Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

Ingawa kiarabu ni lugha inayozungumzwa sana barani Afrika ikifuatiwa na Kiswahili bado sijaona sababu ya kukirasimisha.Kiingereza ni muhimu kwa dunia ya leo na kinatusumbua sana Watanzania.Kurasimisha lugha kuna hatua nyingi sana
 
Kiswahili ni Kibantu at large percent na kilikwepo hata kabla ya kuja kwa Arabs.

Percent ya Waarabu katika lugha sio kubwa kuzidi percent ya Bantu languages katika kiswahili. Pili kilikwepo kabla ya Arabs kuja na hata wao wamesema katika documents zai kuwa Azania ilikuwa na Lugha moja kutoka katika branches za tribal languages.

Hatuwezi kusema kiswahili ni kiarabu kwa sababu ya uwepo wa maneno ya kiarabu. Kila lugha ina words kutoka lugha nyingine especially when a new item or object is new to another language au popularity yake.


Kasome historia yako vizuri, Wabantu walipokuja hapa mashariki mwa Afrika walikuta kuna wenyeji tayari, jee unawajuwa ni nani?

Inaonesha hata maana ya Uarabu hauujuwi ni nini, kwa kukupa faida tu, Uarabu ni lugha. Full stop.

Sasaa hata kama una maneno ya asilimia 10% ya Kiarabu basi na wewe una Uarabu wa asilimia hizo, upo hapo ulipo?

Hivi wewe hujasoma historia? Hujaelimishwa kuwa Wabantu huku kwetu ni wakuja tu?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Kasome historia yako vizuri, Wabantu walipokuja hapa mashariki mwa Afrika walikuta kuna wenyeji tayari, jee unawajuwa ni nani?

Inonesha hata maana ya Uarabu hauujuwi ni nini, kwa kukupa faida tu, Uarabu ni lugha. Full stop.

Sasaa hata kama una maneno ya asilimia 10% ya Kiarabu basi na wewe una Uarabu wa asilimia hizo, upo hapo ulipo?

Hivi wewe hujasoma historia? Hujaelimishwa kuwa Wabantu huku kwetu ni wakuja tu?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
We mama unajitia ujuaji,kama wabantu ni wakuja kwa hiyo waarabu ni wazawa au? Na nani Alikuwa wa kwanza kufika huku kwetu kati ya huyo mwarabu wenu na wabantu?
 
Kasome historia yako vizuri, Wabantu walipokuja hapa mashariki mwa Afrika walikuta kuna wenyeji tayari, jee unawajuwa ni nani?

Inonesha hata maana ya Uarabu hauujuwi ni nini, kwa kukupa faida tu, Uarabu ni lugha. Full stop.

Sasaa hata kama una maneno ya asilimia 10% ya Kiarabu basi na wewe una Uarabu wa asilimia hizo, upo hapo ulipo?

Hivi wewe hujasoma historia? Hujaelimishwa kuwa Wabantu huku kwetu ni wakuja tu?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Mimi ni archaeologist. Sielezei katika hali ya nationalism bali katika evidences.

Bantu walikuja kabla ya Arabs. Indigenous waliokutwa na Bantu ni Sans, Nilo-Saharans kama Masai na Khoi. Ambapo walikuwa scattered na eneo kubwa kulikwepo hakuna watu wengi.

Coast of Eastern Africa walikwepo Africans waliokuwa na trades na Central Africa na Zimbabwe, Mapungubwe. Zanzibar yenyewe ilikwepo na Africans wa Sans miaka ya 29,000 mpaka 6000 baada ya maji kuongezeka na kuzuia kutembea kwenda Zanzibar kwa miguu baada ya Interglacial period 7500 years ago. Evidence zipo pango la Kuumbi Kata ya Jambian Zanzibar.

Arabs walipoingia kuanzia Somalia kuja Azania walikuta kuna centralized states zilizokuwa kutokana na trades za Romans. Waroma walifika East Africa kufanya trades mpaka miaka ya 900AD. Kuna ushahidi na Ptolemy map ya roman imechora mto Rufiji kama ulivyo. Kilwa ilikuwa ya Africans na ilikuwa na African kings na coins zinaonyesha hivyo. Pamoja na Ibn Batuta alitembelea kilea na kusema alipokelewa na Wazaramo na Kings weusi waliokuwa wana power na waarabu wachache waliopita kutembea.

Arabs walichangia kuharibu states kwa kutaka kutawala trades na kulazimisha kueneza Islam na kukuza Slaver iliyopelekea kuharibu power na labour force ya Eastern Africa na kuchukua tittle kusema Arabs ndio wakuu waliojenga Eastern Coast. Archaeological facts hazisemi hivyo. Hivi sasa things have changed na wapo watafiti wengi kama Mark Hotton, Prof Felix, Mary Prendergast, Dr Akshay, M Melhman ambao wanafanya tafiti mpaka sasa na papers zao hazisemi hivyo.

Chittick aliyeanza kufanya tafiti miaka ya 1960 ndio alikuwa na mawazo ambayo aliona Arabs ndio waliojenga East African Coast na Lugha. Lakini alikuja kubadili huo mtazamo 1982.

Modern scholastic reports na books zimehama huo mtazamo wa 1952 - 1970.

Kuhusu kiswahili kuwa na asilimia ya kiarabu kufanya iwe kiarabu inaweza kuwa sawa. Na ikiwa sawa basi kiswahili ni Kireno, Kifaransa, Kingereza na kadhalikwa kwa sababu pia kuna maneno ya lugha nyingine na style ya uandishi wa lugha nyingine.
 
Wakija wahindi, utasema pia tujifunze kihindi, yaani kila mgeni au muwekezaji atayekuja nchini nilazima tujifunze lugha yake? Mambo ya ajabu kabisa kupata kusikia
 
[E="kirengased, post: 18188568, member: 348104"]hapana.kitaleta uga...kwa uwekezaji gani wa warabu??

Suicide bombing[/QUOTE]
Wee jitoe ufahamu, baki na umbumbumbu wako !! Since day one WAARABU tumeiBARIKI nchi hii kwa LUGHA MAMA, USTAARABU (Arabian Civiliztions ), AMANI, UUNGANISHI WA MAKABILA kwa lahaja moja "Salaam Aleykum" na pia majina ya miji yote (DAR-ES-SALAAM-MTWARA-TANGA-KIGHOMA-ARUSHA-TABORA-SINGHIDA-ZANZIBAR-KILWA-MAFIA-KIL~MANJAA~ARO, MUSSOMA,KIBAHA ,BAGA~MOYO,nk nk..

Tazama artitecture design za waarabu (majengo ya kama ikulu/Ocean road Hospital, majengo nk nk) !!! Pamoja na kutaifishiwa mashamba,Viwanda,maghorofa na mhospitali.... Bado wasema uwekezaji gani.. Nguruwe wee/shwaein ngedere wa chooni !!

Long live SS Bakhressa kuweza sambaza bidhaa zake na kuajiri wazawa.... (huyo mmoja tu)

chuki na husda zimekutawala....
 
Mimi ni archaeologist. Sielezei katika hali ya nationalism bali katika evidences.

Bantu walikuja kabla ya Arabs. Indigenous waliokutwa na Bantu ni Sans, Nilo-Saharans kama Masai na Khoi. Ambapo walikuwa scattered na eneo kubwa kulikwepo hakuna watu wengi.

Coast of Eastern Africa walikwepo Africans waliokuwa na trades na Central Africa na Zimbabwe, Mapungubwe. Zanzibar yenyewe ilikwepo na Africans wa Sans miaka ya 29,000 mpaka 6000 baada ya maji kuongezeka na kuzuia kutembea kwenda Zanzibar kwa miguu baada ya Interglacial period 7500 years ago. Evidence zipo pango la Kuumbi Kata ya Jambian Zanzibar.

Arabs walipoingia kuanzia Somalia kuja Azania walikuta kuna centralized states zilizokuwa kutokana na trades za Romans. Waroma walifika East Africa kufanya trades mpaka miaka ya 900AD. Kuna ushahidi na Ptolemy map ya roman imechora mto Rufiji kama ulivyo. Kilwa ilikuwa ya Africans na ilikuwa na African kings na coins zinaonyesha hivyo. Pamoja na Ibn Batuta alitembelea kilea na kusema alipokelewa na Wazaramo na Kings weusi waliokuwa wana power na waarabu wachache waliopita kutembea.

Arabs walichangia kuharibu states kwa kutaka kutawala trades na kulazimisha kueneza Islam na kukuza Slaver iliyopelekea kuharibu power na labour force ya Eastern Africa na kuchukua tittle kusema Arabs ndio wakuu waliojenga Eastern Coast. Archaeological facts hazisemi hivyo. Hivi sasa things have changed na wapo watafiti wengi kama Mark Hotton, Prof Felix, Mary Prendergast, Dr Akshay, M Melhman ambao wanafanya tafiti mpaka sasa na papers zao hazisemi hivyo.

Chittick aliyeanza kufanya tafiti miaka ya 1960 ndio alikuwa na mawazo ambayo aliona Arabs ndio waliojenga East African Coast na Lugha. Lakini alikuja kubadili huo mtazamo 1982.

Modern scholastic reports na books zimehama huo mtazamo wa 1952 - 1970.

Kuhusu kiswahili kuwa na asilimia ya kiarabu kufanya iwe kiarabu inaweza kuwa sawa. Na ikiwa sawa basi kiswahili ni Kireno, Kifaransa, Kingereza na kadhalikwa kwa sababu pia kuna maneno ya lugha nyingine na style ya uandishi wa lugha nyingine.
Alivyo mbishi huyo mama na hili atabisha tu
 
Kasome historia yako vizuri, Wabantu walipokuja hapa mashariki mwa Afrika walikuta kuna wenyeji tayari, jee unawajuwa ni nani?

Inaonesha hata maana ya Uarabu hauujuwi ni nini, kwa kukupa faida tu, Uarabu ni lugha. Full stop.

Sasaa hata kama una maneno ya asilimia 10% ya Kiarabu basi na wewe una Uarabu wa asilimia hizo, upo hapo ulipo?

Hivi wewe hujasoma historia? Hujaelimishwa kuwa Wabantu huku kwetu ni wakuja tu?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Katika nchi ulizo taja za kiarabu mkuu hamna hata mwekezaji wa ukweli hapa tz, ila tu kuna walio wekeza kwenye mbuga za wayamanya na kuwasafirisha(twiga nk)ila kuna nchi moja ya YEMEN ndio yenye Raia walio wekeza hapa tz, mfano BAKHRESA, OILCOM, CAMEL, FM, LAKE OIL, wote hao wana asili ya YEMEN kwa hivyo, kwa hoja yako ilivyo, luga ya KIARABU haina nafasi kwa kurasimishwa hapa tz.
 
We mama unajitia ujuaji,kama wabantu ni wakuja kwa hiyo waarabu ni wazawa au? Na nani Alikuwa wa kwanza kufika huku kwetu kati ya huyo mwarabu wenu na wabantu?


Jiulize kwanini Kiarabu ni lugha ya kwanza katika Afrika na zinazofatia baada ya Kiarabu zote zina asilimia nyingi ya maneno ya Kiarabu.

Nimeuliza, kwa kuwa historia inatufundisha kuwa Wabantu ni wakuja hapa Mashariki ya Afrika, jee wenyeji ni akina nani?

Kafanye homework yako uje na majibu ya hilo swali siyo kukurupuka.

Naam, katika swala hili mimi nnajuwa zaidi yako, hakuna utata katika hilo.
 
Mimi ni archaeologist. Sielezei katika hali ya nationalism bali katika evidences.

Bantu walikuja kabla ya Arabs. Indigenous waliokutwa na Bantu ni Sans, Nilo-Saharans kama Masai na Khoi. Ambapo walikuwa scattered na eneo kubwa kulikwepo hakuna watu wengi.

Coast of Eastern Africa walikwepo Africans waliokuwa na trades na Central Africa na Zimbabwe, Mapungubwe. Zanzibar yenyewe ilikwepo na Africans wa Sans miaka ya 29,000 mpaka 6000 baada ya maji kuongezeka na kuzuia kutembea kwenda Zanzibar kwa miguu baada ya Interglacial period 7500 years ago. Evidence zipo pango la Kuumbi Kata ya Jambian Zanzibar.

Arabs walipoingia kuanzia Somalia kuja Azania walikuta kuna centralized states zilizokuwa kutokana na trades za Romans. Waroma walifika East Africa kufanya trades mpaka miaka ya 900AD. Kuna ushahidi na Ptolemy map ya roman imechora mto Rufiji kama ulivyo. Kilwa ilikuwa ya Africans na ilikuwa na African kings na coins zinaonyesha hivyo. Pamoja na Ibn Batuta alitembelea kilea na kusema alipokelewa na Wazaramo na Kings weusi waliokuwa wana power na waarabu wachache waliopita kutembea.

Arabs walichangia kuharibu states kwa kutaka kutawala trades na kulazimisha kueneza Islam na kukuza Slaver iliyopelekea kuharibu power na labour force ya Eastern Africa na kuchukua tittle kusema Arabs ndio wakuu waliojenga Eastern Coast. Archaeological facts hazisemi hivyo. Hivi sasa things have changed na wapo watafiti wengi kama Mark Hotton, Prof Felix, Mary Prendergast, Dr Akshay, M Melhman ambao wanafanya tafiti mpaka sasa na papers zao hazisemi hivyo.

Chittick aliyeanza kufanya tafiti miaka ya 1960 ndio alikuwa na mawazo ambayo aliona Arabs ndio waliojenga East African Coast na Lugha. Lakini alikuja kubadili huo mtazamo 1982.

Modern scholastic reports na books zimehama huo mtazamo wa 1952 - 1970.

Kuhusu kiswahili kuwa na asilimia ya kiarabu kufanya iwe kiarabu inaweza kuwa sawa. Na ikiwa sawa basi kiswahili ni Kireno, Kifaransa, Kingereza na kadhalikwa kwa sababu pia kuna maneno ya lugha nyingine na style ya uandishi wa lugha nyingine.


Kuitaja tu Sahara una maana huelewi unachoongolea. wewe kama archeologist basi shule ulisomea ujinga.

Unaijuwa Raptha?
 
Katika nchi ulizo taja za kiarabu mkuu hamna hata mwekezaji wa ukweli hapa tz, ila tu kuna walio wekeza kwenye mbuga za wayamanya na kuwasafirisha(twiga nk)ila kuna nchi moja ya YEMEN ndio yenye Raia walio wekeza hapa tz, mfano BAKHRESA, OILCOM, CAMEL, FM, LAKE OIL, wote hao wana asili ya YEMEN kwa hivyo, kwa hoja yako ilivyo, luga ya KIARABU haina nafasi kwa kurasimishwa hapa tz.
Ukimtoa SSB hao wengine ni wawekezaji au wapigaji?!!!
 
Suicide bombing
Wee jitoe ufahamu, baki na umbumbumbu wako !! Since day one WAARABU tumeiBARIKI nchi hii kwa LUGHA MAMA, USTAARABU (Arabian Civiliztions ), AMANI, UUNGANISHI WA MAKABILA kwa lahaja moja "Salaam Aleykum" na pia majina ya miji yote (DAR-ES-SALAAM-MTWARA-TANGA-KIGHOMA-ARUSHA-TABORA-SINGHIDA-ZANZIBAR-KILWA-MAFIA-KIL~MANJAA~ARO, MUSSOMA,KIBAHA ,BAGA~MOYO,nk nk..

Tazama artitecture design za waarabu (majengo ya kama ikulu/Ocean road Hospital, majengo nk nk) !!! Pamoja na kutaifishiwa mashamba,Viwanda,maghorofa na mhospitali.... Bado wasema uwekezaji gani.. Nguruwe wee/shwaein ngedere wa chooni !!

Long live SS Bakhressa kuweza sambaza bidhaa zake na kuajiri wazawa.... (huyo mmoja tu)

chuki na husda zimekutawala....[/QUOTE]

Architectural design sio ushahidi kuwa ni waarabu walijenga. Ushahidi upo kuwa zilijengwa na waafrica waliocopy style ya Kiarabu kutumia corals kutengeneza lime mortar na features walizocopy baada ya kuwa exposed na Arabic styles. Hivyo indigenous nao walishiriki katika kukuza architectures.

Kuna maneno kama Bagamoyo hutakiwi kusifia kwa sababu iliyokana na ukatili wa Arabs katika slavery.

Kilwa ni jina ambalo lilikwepo na ilipewa heshima kwa Africans kutoka kwa externals. Terms nyingine zinaweza kuwepo kwa arabic names lakini sio kwamba hakukwepo na local names. Its a matter of popularity and who ruled later na kubadili facts.

Arabs hawakuleta Ustaarab. Ustaarab ulikwepo kabla ya kuja kwao na walikuja kutokana na kujua kuna interests na nguvu wao wakataka kuichukua kwa self interests. Ndio maana kulikwepo na centralized states, coins, kings, scripts, roman trades na Neolithic cultures.
 
Kumbuka kuwa kiarabu ndo lugha ya kwanza kuwa na wazungumzaji wengi baran Africa na inayofuata ni lugha ya kiswahili. source kwenye channel ya e. tv A DID YOU KNOW
 
Jiulize kwanini Kiarabu ni lugha ya kwanza katika Afrika na zinazofatia baada ya Kiarabu zote zina asilimia nyingi ya maneno ya Kiarabu.

Nimeuliza, kwa kuwa historia inatufundisha kuwa Wabantu ni wakuja hapa Mashariki ya Afrika, jee wenyeji ni akina nani?

Kafanye homework yako uje na majibu ya hilo swali siyo kukurupuka.

Naam, katika swala hili mimi nnajuwa zaidi yako, hakuna utata katika hilo.

Wenyeji nimekuelimisha ni Nilo-Saharans, San, Khoi.

List of ethnic groups of Africa - Wikipedia

Hapo nazungumzia Subsaharan Region. North Africa ina history yake unique ambayo isifananishwe na Subsaharan.
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom