Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,027
- 144,382
Hoja dhaifu!Wanarudisha ujira wa kuwatumikisha mababu zetu. Acha watulipe wajukuu tule pensheni
Hoja dhaifu!Wanarudisha ujira wa kuwatumikisha mababu zetu. Acha watulipe wajukuu tule pensheni
Hata uwe mkopo, wazungu kukopesha ni kugumu kama wanatoa bureHizi ni habari njema kwa nchi yetu.
Muhimu uwe ni msaada na si mkopo!
Hongera Rais Magufuli na watendaji wote mliofanikisha hili.
Relux mkuu, kuwa mpole kwanza mpunga uingie hazina mengine ya 4G yatafuata baadae tukipeleka umeme Zambia. Au unasemaje ndugu.Umeandika wa jazba ya 4G
Ila mpunga umeshaingia hazina. Basi tulia hivyo hivyo na hoja dhaifu nchi isonge mbeleHoja dhaifu!
Good commentKitu kimoja tu tunapishana.
Kuamini kuwa chama pinzani ni kupinga maendeleo.
Lakini naamini, kati ya mambo elfu moja ya kisiasa uliyoyajua hadi sasa, zaidi ya nusu yake umeyajua kwa sababu ya vyama pinzani.
Good comment
Ila ni ya mabeberu wanaotuonea wivu!Ila mpunga umeshaingia hazina. Basi tulia hivyo hivyo na hoja dhaifu nchi isonge mbele
Mmesheheni upuuzi wa propaganda.EU na WB zimetoa msaada kwa Tanzania kufadhili miradi mbalimbali ikiwemo njia ya umeme wa KV 400 kwenda mpaka wa Tanzania na Zambia. Hili ni pigo kwa viongozi wa upinzani hasa Chadema wakiongozwa na TUNDU kwa upuuzi waliokuwa wakiufanya kuzurura kuisingizia nchi mambo mabaya ili tu kuona nchi inakwama kupiga hatua za kimaendeleo. Sasa wataaibika na ndio mwanzo wa mwisho wa siasa zao za matukio na kupiga madili.
Hayo ya wivu yatakuja baadae mkuu, hela ikishaingia Hazina wewe mwenyewe utwasha umeme na kufurahi na demu wako. Hayo ndiyo maendeleo, sasa mkiona wivu shauri yenuIla ni ya mabeberu wanaotuonea wivu!
Hapo hakuna propaganda ni mpunga umeshaingia. Endeleeni kubwabwaja haramu hadi 2025 mpigwe tena.Mmesheheni upuuzi wa propaganda.
Basi acheni ushamba wa kudharaua wanaowasaidi huku mkijidai mna hela.Hayo ya wivu yatakuja baadae mkuu, hela ikishaingia Hazina wewe mwenyewe utwasha umeme na kufurahi na demu wako. Hayo ndiyo maendeleo, sasa mkiona wivu shauri yenu
Watu wanahitaji maendeleo
Mabeberu ni wa akina Armstrong na wote wenye mawazo kama yeye. Kuna beberu aliye mtorosha Lissu!Kumbe sio mabeberu tena...
Hela mmepewa na ufaransa au jumuiya ya Ulaya?? Hizo hela wametoa ufaransa kwa mgongo wa umoja wa Ulaya wala sio umoja wa Ulaya ndo mana hapo wapo wafaransa tuEU na WB zimetoa msaada kwa Tanzania kufadhili miradi mbalimbali ikiwemo njia ya umeme wa KV 400 kwenda mpaka wa Tanzania na Zambia. Hili ni pigo kwa viongozi wa upinzani hasa Chadema wakiongozwa na TUNDU kwa upuuzi waliokuwa wakiufanya kuzurura kuisingizia nchi mambo mabaya ili tu kuona nchi inakwama kupiga hatua za kimaendeleo. Sasa wataaibika na ndio mwanzo wa mwisho wa siasa zao za matukio na kupiga madili.
Kuna wale waliotengeneza kiki ya kutimukia ugaibuni, wakikwepa aibu ya kugaragazwa kwenye uchaguzi, wakisikia hizi habariii watajiuaa kwa pressureEU na WB zimetoa msaada kwa Tanzania kufadhili miradi mbalimbali ikiwemo njia ya umeme wa KV 400 kwenda mpaka wa Tanzania na Zambia. Hili ni pigo kwa viongozi wa upinzani hasa Chadema wakiongozwa na TUNDU kwa upuuzi waliokuwa wakiufanya kuzurura kuisingizia nchi mambo mabaya ili tu kuona nchi inakwama kupiga hatua za kimaendeleo. Sasa wataaibika na ndio mwanzo wa mwisho wa siasa zao za matukio na kupiga madili.
Nilitegemea mleta mada ungejenga kwanza hoja kuhusu hizo pesa kama zinatoka kwa mabeberu ama zinatoka kwenye vyanzo vyetu vya ndani.
Ni kwa nini tusaudiwe. Kwani sisi ni walemavu tusioweza kujitegemea?Hizi ni habari njema kwa nchi yetu...
Ahahahahahahha utawaweza hawa mbulungwambaHao jamaa wa Ufipa hawakawii kukwambia kuwa mikataba iliishaniwa enzi za Mzee Mwinyi ndio maana wameleta mkopo. Ahahahahahahahah!
Hao jamaa wa Ufipa hawakawii kukwambia kuwa mikataba iliishaniwa enzi za Mzee Mwinyi ndio maana wameleta mkopo. Ahahahahahahahah!
Ukifuatilia sana unaweza kuta ni ukamilishaji tu wa makubaliano ya miaka mingi nyuma. Huwa hawatoi Hapo hapo. Tunachosubiri ni makubaliano mapya ya kutusaidia yatakayoendekea baada ya Mckalister kusimama kidete.Hata wakitokea hiyo misaada, msimamo wetu uko pale pale.Haramu ni haramu tu.
Hakuna fedha ya msaada au mmkopo inayoweza kulingana na utu wa mwanadamu, hivyo misaada au mikopo haiwezi kutunyamazisha wala ku-justfy uovu dhidi ya wanadamu...
Swali langu ni moja tu.mkataba wa mkopo kwa ajiri ya ujenzi wa barabara ya njia sita kati ya ubungo na chalinze,uliwahi kusainiwa kati ya serikali yetu na WB?EU na WB zimetoa msaada kwa Tanzania kufadhili miradi mbalimbali ikiwemo njia ya umeme wa KV 400 kwenda mpaka wa Tanzania na Zambia. Hili ni pigo kwa viongozi wa upinzani hasa Chadema wakiongozwa na TUNDU kwa upuuzi waliokuwa wakiufanya kuzurura kuisingizia nchi mambo mabaya ili tu kuona nchi inakwama kupiga hatua za kimaendeleo. Sasa wataaibika na ndio mwanzo wa mwisho wa siasa zao za matukio na kupiga madili...