Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Eti kiboko ya wazungu?misifa ya kijinga kabisa and seems huijui Zimbabwe inawezekana haikuwa developed world like US lakini pia haikuwa third world like other African States,kaua waafrica wenzake kuliko mkoloni na millions of Zimbabweans wameishia nje Kukimbia njaa na umaskini,democracy kutawala 40 yrs?matatizo mengine Africa ni ya kujitakia..endeleeni kumsifia huku njaa ikiwamaliza
Bora democracy isiwepo kulikoni kuyaruhusu mazungu yaendelee kuhodhi Mali nyingi na ardhi kubwa Zimbabwe!