Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

Ditto!

Kwa siku mbili tatu hizi Museveni kapewa plaudits na watu humu kwa kinachodaiwa kutia saini muswada wa sheria inayokataza wanawake nchini Uganda kuvaa nguo fupi.

Kaitwa mfano wa kuigwa, kiongozi imara, na sifa nyinginezo kama hizo.

Watu hawaoni ubaya wowote wa hiyo sheria na ghafla bin vuu ni kama wamesahau kama lijamaa ni lidikteta na just like that, with the stroke of a pen, limegeuka kuwa shujaa!!

Viwango vya Waafrika ni vya chini sana aisee.
Kuna wakati maamuzi ya kidikteta yanasaidia, demokrasia ikizidi ni kero pia
 
Mkuu mbona we umekimbia TZ na haiko chini ya Mugabe? acha kuongea hayo maneno, mbona Ireland, Estonia, Romania na hata NZ ni watu waliosambaa zaidi na karibu waishe katika nchi zao na ziko poa tu? Kukimbia nchi kuna factor nyingi (ambazo hata wewe mtz) umeathiriwa. Mugabe is a hero (it may be doing wrong in the right direction)

Eti kiboko ya wazungu?misifa ya kijinga kabisa and seems huijui Zimbabwe inawezekana haikuwa developed world like US lakini pia haikuwa third world like other African States,kaua waafrica wenzake kuliko mkoloni na millions of Zimbabweans wameishia nje Kukimbia njaa na umaskini,democracy kutawala 40 yrs?matatizo mengine Africa ni ya kujitakia..endeleeni kumsifia huku njaa ikiwamaliza
 
Eti kiboko ya wazungu?misifa ya kijinga kabisa and seems huijui Zimbabwe inawezekana haikuwa developed world like US lakini pia haikuwa third world like other African States,kaua waafrica wenzake kuliko mkoloni na millions of Zimbabweans wameishia nje Kukimbia njaa na umaskini,democracy kutawala 40 yrs?matatizo mengine Africa ni ya kujitakia..endeleeni kumsifia huku njaa ikiwamaliza

Ha ha haaa mkuu punguza jazba, taratibu tu. Piont yangu ni personal stand ya GM. Hayo ya kuuwa waafrika wenzake ni ishu tofauti, lets delve on his statements towards morden colonialists.
 
Kiongozi mzuri ni yule anaangaliwa kwa uongozi na matendo yake kwa ujumla na hasa kiuchumi na siyo kwa kudonoa donoa kwa maana kwamba, kama siasa ni safi basi zitapelekea hata jamii kuwa na uchumi endelevu.

Viongozi wengi wa nchi za Kiafrika wanaficha mapungufu yao ya kiuongozi kwa kusingizia nchi za Magharibi kama ndiyo chanzo cha matatizo au mapungufu yao.

Yes, Nchi za Magharibi zinaweza zikawa wamechangia matatizo katika taifa la Zimbabwe lakini huwezi kuzilaumu katika matatizo hayo kwa vile lilikuwa ni jukumu la viongozi wa Zimbabwe kuyakataa au kuyakubali.


Ni ajabu kumwita kiongozi ana msimamo mzuri au shujaa kwa maswala ambayo ni uamuzi wa binadamu ndani ya vyumba vyao kwa kiwango ambacho mpaka yanasahaulika maswala ambayo niya msingi kabisa nchini kama vile mwenendo wa kiuchumi kwa kila raia.

Sisi Waafrika ni wazuri sana katika kazi ya kushughurika (kushadadia) na mambo ambayo hayana maana katika kipimo cha umuhimu kitaifa na kimataifa.

Ni jambo la kusikitisha kuwa kwa nchi za Kiafrika kuwa masikini siyo tatizo kubwa na kwa maana hiyo, kuondoa umasikini siyo jukumu la kwanza kwa hizi nchi. Maswala ya unyumba (mapenzi) ndiyo swala muhimu sana na kwa maana hiyo, hili ni jukumu la kwanza kupambana nalo. Haishangazi kwa Rais Mugabe kuitwa mpambanaji (hero)kwa sababu anapambana na swala ya unyumba (mapenzi)

Mfano halisi uko hapa kwenye vijiwe vya Jamiiforums. Ukileta thread ya mwanasiasa kuhusu mapenzi, itapata wachangiaji wengi sana lakini ukileta thread ya mwanasiasa kuhusu uchumi, hiyo itakuwa kwenye ignore list na wengi.

Usishangae hiyo sentensi inaweza kumfanya Rais Mugabe kuchaguliwa tena kuwa Rais wa Zimbabwe.

Matatizo yetu ni makubwa na yako ndani kabisa na ndiyo hayo yanayo akisi utendaji wa viongozi wetu.
 
Haya majibu yake hayaitaji swali la nyongeza
 
Mnamsifia mjinga huyo alichukuwa nchi ikiwa first world kaifanya third world na nusu ya wananchi wake wameishia ukimbizini kuwa manamba..poleni kwa ujinga

Huyu ni kidume haswaa, hizo takwimu za wamagharibi zinakufaa wewe, Mugabe sio kama Kagame.
 
Mugabe amebakia na kazi ya kutafuta misifa kwa kuwashambulia wazungu ili kuwatoa watu kwenye ukweli kwamba ni dikteta aliyeiharibu kabisa Zimbabwe na kuwamasikinisha kabisa watu wake. Nchi haina hata pesa yake kwa sababu yake kuua uchumi!
 
Mnamsifia mjinga huyo alichukuwa nchi ikiwa first world kaifanya third world na nusu ya wananchi wake wameishia ukimbizini kuwa manamba..poleni kwa ujinga

Kama we ulivyokuwa Manamba kutoka Rwanda kwa muuaji Kagame.
 
Ni jibu zuri tu kwa watu kama hao!!!!

Hata kama dikteta na kaiyumbisha nchi,kwa hiyo wanaume wakioana ndio atakuwa sio dikteta au nchi itapanda ki uchumi???!!!!!

Ana mapungufu yake sawa ila kwa hili yuko sawa kabisa!!!!!!
 
"If Obama wants me to allow gays marriage in Zimbabwe,I should marry him first to show the good example"-Robert Mugabe..

Ndio huyu huyu mzee,ambaye alipoulizwa na wanahabari wa Uingereza kuwa kwanini asiachie ngazi ilhali ameshazeeka, aliwauliza kama walishawahi kumuuliza swali kama hilo malkia wao..

Salute kwako uncle mugabe..


Huyu ndio simba Wa Africa!
 
Wewe ndugu Yangu uliesoma Ng'wamapalala Bado hujajenga hoja ya kumkandamiza shujaa wetu Mugabe!

Na hayo mazungu yaliyokuzungu ndio mamtu mabaya kabisa yaliyoiingiza Zimbabwe ktk matatizo yote! Kwasababu mazungu ndio chanzo cha matatizo yote ya Zimbabwe! Mugabe ni shujaa Wa mambo yote, sio ktk Hiyo sentesi Moja ya watu chumbani Km ulivyo sema!

Kiongozi mzuri ni yule anaangaliwa kwa uongozi na matendo yake kwa ujumla na hasa kiuchumi na siyo kwa kudonoa donoa kwa maana kwamba, kama siasa ni safi basi zitapelekea hata jamii kuwa na uchumi endelevu.

Viongozi wengi wa nchi za Kiafrika wanaficha mapungufu yao ya kiuongozi kwa kusingizia nchi za Magharibi kama ndiyo chanzo cha matatizo au mapungufu yao.

Yes, Nchi za Magharibi zinaweza zikawa wamechangia matatizo katika taifa la Zimbabwe lakini huwezi kuzilaumu katika matatizo hayo kwa vile lilikuwa ni jukumu la viongozi wa Zimbabwe kuyakataa au kuyakubali.


Ni ajabu kumwita kiongozi ana msimamo mzuri au shujaa kwa maswala ambayo ni uamuzi wa binadamu ndani ya vyumba vyao kwa kiwango ambacho mpaka yanasahaulika maswala ambayo niya msingi kabisa nchini kama vile mwenendo wa kiuchumi kwa kila raia.

Sisi Waafrika ni wazuri sana katika kazi ya kushughurika (kushadadia) na mambo ambayo hayana maana katika kipimo cha umuhimu kitaifa na kimataifa.

Ni jambo la kusikitisha kuwa kwa nchi za Kiafrika kuwa masikini siyo tatizo kubwa na kwa maana hiyo, kuondoa umasikini siyo jukumu la kwanza kwa hizi nchi. Maswala ya unyumba (mapenzi) ndiyo swala muhimu sana na kwa maana hiyo, hili ni jukumu la kwanza kupambana nalo. Haishangazi kwa Rais Mugabe kuitwa mpambanaji (hero)kwa sababu anapambana na swala ya unyumba (mapenzi)

Mfano halisi uko hapa kwenye vijiwe vya Jamiiforums. Ukileta thread ya mwanasiasa kuhusu mapenzi, itapata wachangiaji wengi sana lakini ukileta thread ya mwanasiasa kuhusu uchumi, hiyo itakuwa kwenye ignore list na wengi.

Usishangae hiyo sentensi inaweza kumfanya Rais Mugabe kuchaguliwa tena kuwa Rais wa Zimbabwe.

Matatizo yetu ni makubwa na yako ndani kabisa na ndiyo hayo yanayo akisi utendaji wa viongozi wetu.
 
Last edited by a moderator:
Mugabe amebakia na kazi ya kutafuta misifa kwa kuwashambulia wazungu ili kuwatoa watu kwenye ukweli kwamba ni dikteta aliyeiharibu kabisa Zimbabwe na kuwamasikinisha kabisa watu wake. Nchi haina hata pesa yake kwa sababu yake kuua uchumi!


Kauua vp huo uchumi? Huo udikteta Wa Mugabe ukoje?

Mbona propaganda za wazungu Wa maghalibi zimekutawala sn? Mtu akikataa sera zako ndio anakua dikteta? Unajua chanzo cha mizozo yote ya Zimbabwe? Au unasema tu?
 
Mnamsifia mjinga huyo alichukuwa nchi ikiwa first world kaifanya third world na nusu ya wananchi wake wameishia ukimbizini kuwa manamba..poleni kwa ujinga


Waingereza na wamaghalibi wanahusika kuihujumu Zimbabwe na kusababisha uchumi kufa na wakimbizi! Na Mugabe upende usipende ndio kiboko Yao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom