charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 6,004
Mie bana lembebez nikopeshe serious nitakulipa Jan 2018,yaani mdhamin wangu Valentina anapajua kwangu!hahahaIkija kwenye kukopeshana sioni aibu ku operate kama benki aisee.
Mie bana lembebez nikopeshe serious nitakulipa Jan 2018,yaani mdhamin wangu Valentina anapajua kwangu!hahahaIkija kwenye kukopeshana sioni aibu ku operate kama benki aisee.
Mie bana lembebez nikopeshe serious nitakulipa Jan 2018,yaani mdhamin wangu Valentina anapajua kwangu!hahaha
2000$ tu, lakini usiniwekee riba.Unataka dola ngapi?
2000$ tu, lakini usiniwekee riba.
hee lembebez asante kwa kunirekebisha, japokua ndo nawaandikiaga wateja hivo kwenye risiti....Huwa ni $2,000.00.....siyo 2000$ kama ulivyoiandika wewe.
Taratibu utaelewa tu le mchumbaz ze mtindiz😀
hee lembebez asante kwa kunirekebisha, japokua ndo nawaandikiaga wateja hivo kwenye risiti....
Kwahyo mkopo napewa jomonii, mie sio le tapeliz!
Sawa ngoja nikaambie..ila yule mchaga atahakikisha namtumia 10% ya mkopo ili awe shahidi.Mkopo unapata.
Ngoja niuandike mkataba hapa...kaambie ka Valentina kawe tayari kuwa shahidi....
Sawa ngoja nikaambie..ila yule mchaga atahakikisha namtumia 10% ya mkopo ili awe shahidi.
Naomba mkataba usiwe na masharti magumu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kama ni mwanaume, tafuta namba ya mke wake alafu umpigie usiku wa saa tano huyo Mke wake ukiwa na uhakika Jamaa yupo home.
Mazungumzo yawe hivi;
( Simu inaita Kwa muda mpaka inakata bila kupokelewa. Nyani Ngabu anapiga tena. Mara hii inapikelewa).
Mke wa X: Hellow!
Nyani Ngabu: Hellow, naongea na Mke wa X.
Mke wa X: Ndio, kwani wewe Nani?
Nyani Ngabu: Hiyo haikuhusu. Mlipie mmeo deni lake. Naona yeye kashindwa labda wewe uliyemuoa utamsaidia.
Mke wa X;( anasikiliza huku akimwangalia Mr. X aliyelala). Una mdai kiasi gani?.
Nyani Ngabu: Milioni tatu.
Mke wa X: Milioni tatu?
Nyani Ngabu: kama atashindwa mwambie nitakuja nikuchukue.
Mke wa X: Embu jiheshimu we Baba uliekosa haya mwanaizaya.
Nyani Ngabu: am gonna **** you and your husband. Rubiishh potate.
(Simu inakata, Mke wa X anamuamsha Mume wake).
Wakiwa wanagombana baada ya dakika tano inaingia Meseji kwenye simu ya mke wa X. Kimya kinatokea huku macho Yao wote wakiikodolea simu.
Mke wa X anachukua Simu na kukuta ujumbe kutoka Kwa Nyani Ngabu;
"I will marry you even though I don't want. Plz tell your husband I will take you if he failed to payback my money.
[HASHTAG]#USA[/HASHTAG] babby"
Anaisoma kisha anamrushia Simu Mr.x
Hapo ndipo Sterling atakapokufa na picha limeisha.
Maandishi yanapanda ya Washiriki.
WASHIRIKI
1. Nyani Ngabu. Sterling
2. Mr. X.
3. Mke wa X
DIRECTOR
1. Michaelray22
PRODUCER
1. Michaelray22
LOCATION
Jamii Forum
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa naendelea kusubir masharti matamu...[emoji39] [emoji6]Oh no...huu wako utakuwa na masharti matamu matamu ya tam tam za Ngabu😛
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aki sikua na mpango wa kucheka sahiziMkopo unapata.
Ngoja niuandike mkataba hapa...kaambie ka Valentina kawe tayari kuwa shahidi....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aki sikua na mpango wa kucheka sahizi
Kwanza nambie mie kama shahidi mtiifu napata asilimia ngapi hapo?Nini we Muree....
Bonge hajambo?
Kwanza nambie mie kama shahidi mtiifu napata asilimia ngapi hapo?
Coz siwi shahidi wa burebure mjue kabisa
Charty hana hiyana. Vizuri anapenda kula na nduguze....
Haswaaa ulichopewa na Mungu kumnyima mwenzio dhambi[emoji3]Charty hana hiyana. Vizuri anapenda kula na nduguze....