Na mimi je?Basi natumai utatokea.
Ukishindwa kutokea mtume hata Heveni Senti...naye hataondoka na mikono mitupu.
Nina Degree yake moja hivi....
Bahati nzuri kishasema nawe una kichupa chako, so wory not sweetheart.Uichomeshe mahindi degree? Usinisahau tu kichupa
Aaah nataka na cha kwako pia kikishaisha nikiweke kwa dressing tableBahati nzuri kishasema nawe una kichupa chako, so wory not sweetheart.
Hahahaaa!! Yaani we mtoto! Basi usijali.Aaah nataka na cha kwako pia kikishaisha nikiweke kwa dressing table
Bahati nzuri kishasema nawe una kichupa chako, so wory not sweetheart.
Huku si kunitia majaribuni ngabu!!Halafu totoz...nina hizi hapa...sijui nimgaie nani.
Hebu pendekeza basi...
Hii apate nani?
View attachment 588629
Hizi je?
View attachment 588630
Atuongezee tu sisi jamani. Me nahisi sitozitumia kabisa, zisije zikaisha, ntakuwa naziweka tu kwa dressing tableHuku si kunitia majaribuni ngabu!!
Nipewe mimi tu maana nikipendekeza mwingine wengine watanuna[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Atuongezee tu sisi jamani. Me nahisi sitozitumia kabisa, zisije zikaisha, ntakuwa naziweka tu kwa dressing table
Bora nipewe mie tuHuku si kunitia majaribuni ngabu!!
Nipewe mimi tu maana nikipendekeza mwingine wengine watanuna[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ndio aje aone mauza uza ya mkewe.Asije mpaka nijue muafaka wa hili gawio...
Ha haa we mwanamke hebu uniwache,mwisho utaniuliza naenda kwa mchepuko upi sasaKwahiyo akipumzika we unapuyanga tu!!