Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,850
Kwa msukuma huyu utasubiri sana mama[emoji23]
Kwa msukuma huyu utasubiri sana mama[emoji23]
Mie mbesa tu zantosha,hayo mengine bakini nayoCharty hana hiyana. Vizuri anapenda kula na nduguze....
Mwenzangu nishaanza kuona nyotanyota hapaKwa msukuma huyu utasubiri sana mama[emoji23]
[emoji87]Mie mbesa tu zantosha,hayo mengine bakini nayo
Teh kaa mbali na Ngabu hana maana huyo
Teh kaa mbali na Ngabu hana maana huyo
Mimi kwa kawaida huwa si mchoyo kabisa.
Pia ni mtu mwenye huruma sana. Kwa mfano huwa nikiona ombaomba [silipendi hili neno sema basi tu sina neno jingine lililo zuri] barabarani huwa ninapatwa na simanzi kubwa sana.
Hususan kama ombaomba huyo ni mtoto au ni watoto. Kama nina hela mfukoni huwa nawapa tu bila hata ya kujiuliza mara mbili.
Kwa hiyo mtu akinijia na shida yake aombe nimkopeshe hela mara nyingi sana huwa sikatai.
Lakini kwa vile huwa ni mkopo basi huwa ninatoa masharti yangu. Huyo mtu akiyakidhi na kama hicho kiasi ninacho basi namkopesha.
Sasa inapotokea mtu anakuja kukukopa na kukuahidi kuwa atakulipa siku fulani, yaani anakubembeleza kweli hadi anataka kulia, na wewe kwa huruma zako unamkopa kwa masharti.
Siku ya kurudisha mkopo ikifika yeye hatokei. Ukianza kumtafuta ili akulipe anaanza kukukwepa.
Ukizidisha kumtafuta anaanza kukasirika na kukuletea jeuri.
Watu wa hivi siwapendi kabisa mimi. Kwa nini unikasirikie wakati nakudai hela zangu?
Kama hutaki nikufuatilie nilipe hela zangu na mimi wala sitakutafuta hata kwa salamu tu.
Umejileta mwenyewe na vishida vyako na kuanza kujiliza halafu unaniletejea jeuri kunilipa hela zangu.
Mijitu mingine sijui ikoje tu. Kama unadai hela uliyokopa ni ndogo nisikusumbue iweje hukuwa nayo sasa?
Shenzi pambaaf kabisa. Siku ingine ukinijia na vishida vyako ntakwambia nenda baa ukategeshe.
Nyani Ngabu hivi bado unakumbuka?
Aaaah!! Mimi na wewe majirani bwana hatuwezi kuwa maadui.Huwa sisahaugi mimi....ukinichomesha mahindi tutakuwa maadui....
Mimi kwa kawaida huwa si mchoyo kabisa.
Pia ni mtu mwenye huruma sana. Kwa mfano huwa nikiona ombaomba [silipendi hili neno sema basi tu sina neno jingine lililo zuri] barabarani huwa ninapatwa na simanzi kubwa sana.
Hususan kama ombaomba huyo ni mtoto au ni watoto. Kama nina hela mfukoni huwa nawapa tu bila hata ya kujiuliza mara mbili.
Kwa hiyo mtu akinijia na shida yake aombe nimkopeshe hela mara nyingi sana huwa sikatai.
Lakini kwa vile huwa ni mkopo basi huwa ninatoa masharti yangu. Huyo mtu akiyakidhi na kama hicho kiasi ninacho basi namkopesha.
Sasa inapotokea mtu anakuja kukukopa na kukuahidi kuwa atakulipa siku fulani, yaani anakubembeleza kweli hadi anataka kulia, na wewe kwa huruma zako unamkopa kwa masharti.
Siku ya kurudisha mkopo ikifika yeye hatokei. Ukianza kumtafuta ili akulipe anaanza kukukwepa.
Ukizidisha kumtafuta anaanza kukasirika na kukuletea jeuri.
Watu wa hivi siwapendi kabisa mimi. Kwa nini unikasirikie wakati nakudai hela zangu?
Kama hutaki nikufuatilie nilipe hela zangu na mimi wala sitakutafuta hata kwa salamu tu.
Umejileta mwenyewe na vishida vyako na kuanza kujiliza halafu unaniletejea jeuri kunilipa hela zangu.
Mijitu mingine sijui ikoje tu. Kama unadai hela uliyokopa ni ndogo nisikusumbue iweje hukuwa nayo sasa?
Shenzi pambaaf kabisa. Siku ingine ukinijia na vishida vyako ntakwambia nenda baa ukategeshe.
Aaaah!! Mimi na wewe majirani bwana hatuwezi kuwa maadui.
Alafu hiyo ya kudharau kiasi cha pesa unachodaiwa wakati kipindi unakopa haukuwa nayo huwa inanichosha kweli, ubinadamu kazi.
Waoh!! Heaven Sent come this way.Basi natumai utatokea.
Ukishindwa kutokea mtume hata Heveni Senti...naye hataondoka na mikono mitupu.
Nina Degree yake moja hivi....
Si ndio hapo sasa! Na kama ndi ndogo si arudishe sasa!Utasikia...hela yenyewe elfu mbili tu inayokufanya unisumbue...
Huku kasahau hiyo hiyo elfu mbili hakuwa nayo hadi akaamua kukopa.
USA baby. Aisee ngoja hata nisiongee, thanks in advanceBasi natumai utatokea.
Ukishindwa kutokea mtume hata Heveni Senti...naye hataondoka na mikono mitupu.
Nina Degree yake moja hivi....
Uichomeshe mahindi degree? Usinisahau tu kichupaWaoh!! Heaven Sent come this way.
Basi shukrani in advance, na hakika sitokuchomesha mahindi.
Vp sugu mmeshindwa kumchana nackia mbeya bucha ndo kimbilio la ajira [emoji1] [emoji23]Mtaje ..
Tukusaidie kumchana.