baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 2,196
- 2,925
Kichwa cha Habari
iPhone 13 Pro Imetungikwa Lock ya Mkopo. Natafuta Fundi wa Kazi, Matapeli na Wapiga Blah Blah Kaeni Mbali
Wakuu, nina iPhone 13 Pro 128GB niliyoichukua kwa mkopo. Mambo yalikaa vibaya, nikakaa nayo ndani miezi 4 bila kulipa marejesho, sasa hivi kampuni wameipiga lock ya Lost iPhone.
Nimeongea nao nianze kulipa sasa hivi wamegoma wanataka malimbikizo yote ya miezi minne kwa mkupuo. Ukweli ni kwamba hiyo hela ya mkupuo sina, na kama ningerikuwa nayo nisingekopa simu tangu mwanzo
Natafuta fundi mtaalamu wa kweli wa software anayeweza kuifungua (kutoa MDM/Lost Mode) ili itumike
ANGALIZO HUU SIO MTEGO
Najua humu ndani kuna watu wana hofu nanyoosha maelezo mapema kabisa kuwa huu sio mtego wa aina yoyote na wala sio mtego wa polisi au wa kampuni. Nina shida ya kifaa changu kweli na ndio maana nimekuja kiume hapa kutafuta suluhisho la kazi
SITAKI USHAURI
Sitaki ushauri wa kisheria au wa maadili. Hao wenye simu wamegoma kusikiliza hoja zangu niliwalipa pesa ya kwanza na sikutumia hii simu hata siku moja, lakini wamegoma kupokea kidogo kidogo sasa hivi. Kama wao hawataki kunisikiliza, mimi sitaki kusikia ushauri wa mtu yeyote humu ndani. Nahitaji fundi wa kazi tu
(Hata hivyo, kama kuna mtu wa hiyo kampuni ya mkopo yupo humu jukwaani na yuko tayari kuongea na mimi kistaarabu na kukubaliana namna ya kulipa kidogo kidog nicheki PM tuyajenge
MASHARTI YA KAZI
Niko tayari kwa lolote Hata simu ikifa): Piga kazi yako. Niko tayari kwa matokeo yoyote hata simu ikifa kabisa ikiwa kwenye hii kazi, iwe ndio basi tena yaishe, haina shida
Malipo ni BAADA YA KAZI TU
Unapiga kazi, simu inawaka na kusoma laini hapa mbele yangu, nakupa chako. Hakuna cha tuma hela ya credit au tool Kwanza Ukianza hadithi hizo za kitapeli naku-block papo hapo
Kama hujui kazi pita kando Sifanyi majaribio na sitaki kupotezewa muda
Kama wewe ni fundi unayejiamini na una ofisi yako, nicheki PM tuyajenge Kama sivyo, pita kushotoView attachment 3596087
iPhone 13 Pro Imetungikwa Lock ya Mkopo. Natafuta Fundi wa Kazi, Matapeli na Wapiga Blah Blah Kaeni Mbali
Wakuu, nina iPhone 13 Pro 128GB niliyoichukua kwa mkopo. Mambo yalikaa vibaya, nikakaa nayo ndani miezi 4 bila kulipa marejesho, sasa hivi kampuni wameipiga lock ya Lost iPhone.
Nimeongea nao nianze kulipa sasa hivi wamegoma wanataka malimbikizo yote ya miezi minne kwa mkupuo. Ukweli ni kwamba hiyo hela ya mkupuo sina, na kama ningerikuwa nayo nisingekopa simu tangu mwanzo
Natafuta fundi mtaalamu wa kweli wa software anayeweza kuifungua (kutoa MDM/Lost Mode) ili itumike
ANGALIZO HUU SIO MTEGO
Najua humu ndani kuna watu wana hofu nanyoosha maelezo mapema kabisa kuwa huu sio mtego wa aina yoyote na wala sio mtego wa polisi au wa kampuni. Nina shida ya kifaa changu kweli na ndio maana nimekuja kiume hapa kutafuta suluhisho la kazi
SITAKI USHAURI
Sitaki ushauri wa kisheria au wa maadili. Hao wenye simu wamegoma kusikiliza hoja zangu niliwalipa pesa ya kwanza na sikutumia hii simu hata siku moja, lakini wamegoma kupokea kidogo kidogo sasa hivi. Kama wao hawataki kunisikiliza, mimi sitaki kusikia ushauri wa mtu yeyote humu ndani. Nahitaji fundi wa kazi tu
(Hata hivyo, kama kuna mtu wa hiyo kampuni ya mkopo yupo humu jukwaani na yuko tayari kuongea na mimi kistaarabu na kukubaliana namna ya kulipa kidogo kidog nicheki PM tuyajenge
MASHARTI YA KAZI
Niko tayari kwa lolote Hata simu ikifa): Piga kazi yako. Niko tayari kwa matokeo yoyote hata simu ikifa kabisa ikiwa kwenye hii kazi, iwe ndio basi tena yaishe, haina shida
Malipo ni BAADA YA KAZI TU
Unapiga kazi, simu inawaka na kusoma laini hapa mbele yangu, nakupa chako. Hakuna cha tuma hela ya credit au tool Kwanza Ukianza hadithi hizo za kitapeli naku-block papo hapo
Kama hujui kazi pita kando Sifanyi majaribio na sitaki kupotezewa muda
Kama wewe ni fundi unayejiamini na una ofisi yako, nicheki PM tuyajenge Kama sivyo, pita kushotoView attachment 3596087
