Umekopa mwenyewe, nikikudai unakasirika!

Umekopa mwenyewe, nikikudai unakasirika!

Nimepoteza marafiki ajili ya kuwakopesha fedha.

Kwa kifupi mi nawaita waizi.
Mbaya kabisa ni pale unafuatilia fedha zako
halafu unaemdai anakufanya ujisikie vibaya
kisa unamdai. Nimejifunza siku hizi sikopeshi
tena. Nikikupa nimekupa sitaki urudishe. Na mtu
akiomba mfano $100 nampa $25. Maana sitaki arudishe.
 
Nimepoteza marafiki ajili ya kuwakopesha fedha.

Kwa kifupi mi nawaita waizi.
Mbaya kabisa ni pale unafuatilia fedha zako
halafu unaemdai anakufanya ujisikie vibaya
kisa unamdai. Nimejifunza siku hizi sikopeshi
tena. Nikikupa nimekupa sitaki urudishe. Na mtu
akiomba mfano $100 nampa $25. Maana sitaki arudishe.
It's called guilt-tripping 'Denzi.

Yaani mtu anakufanya ujisikie kama vile unam harrass kwa kumdai hela zako ambazo aliahidi atazirudisha.

Nafurahi kuona unajua tofauti ya kumpa mtu na kumkopesha mtu.

Unlike some folks....
 
People are so ungrateful. . Mi sasa hivi hata uniombe hela ninayo nakwambia sina sababu ishu za kudaiana siziwezi
 
People are so ungrateful. . Mi sasa hivi hata uniombe hela ninayo nakwambia sina sababu ishu za kudaiana siziwezi

Lakini kuombwa [msaada] na kuombwa mkopo ni tofauti.

Mimi nikitoa kama msaada sitegemei kurudishiwa na kwa kawaida misaada huwa hairudishwi.

Mikopo ndiyo hurudishwa. Hapa ndipo kwenye kimbembe.

Watu wakiwa wanakujia kukukopa wengine huwa wako hata radhi kukupigia magoti uwakopeshe.

Na wanakupa kila aina ya ahadi na uhakikisho kuwa watakulipa siku fulani.

Siku ya siku ikifika wanaanza yao. Ukiwapigia simu hawapokei. Au wakipokea wanaanza kukupa simulizi ambazo hazikuhusu.

Ukikomaa kudai hela yako, ambayo wao wenyewe waliahidi watairudisha siku fulani, wanamaindi.

Akili ya ajabu sana hiyo.
 
Aisee, hata mimi hicho kitu kinanikera sana, mpaka najiuliza hivi mtu haoni aibu??? Unakuta mtu anakuja kukulilia shida ukimsaidia tu nduki.........
Ni bora uniombe kama nnacho ntakupa ila ukija kwa gia ya mkopo sitokuelewa maana nimeshapigwa sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee, hata mimi hicho kitu kinanikera sana, mpaka najiuliza hivi mtu haoni aibu??? Unakuta mtu anakuja kukulilia shida ukimsaidia tu nduki.........
Ni bora uniombe kama nnacho ntakupa ila ukija kwa gia ya mkopo sitokuelewa maana nimeshapigwa sana.


Sent using Jamii Forums mobile app

Ikija kwenye kukopeshana sioni aibu ku operate kama benki aisee.
 
Mimi kwa kawaida huwa si mchoyo kabisa.

Pia ni mtu mwenye huruma sana. Kwa mfano huwa nikiona ombaomba [silipendi hili neno sema basi tu sina neno jingine lililo zuri] barabarani huwa ninapatwa na simanzi kubwa sana.

Hususan kama ombaomba huyo ni mtoto au ni watoto. Kama nina hela mfukoni huwa nawapa tu bila hata ya kujiuliza mara mbili.

Kwa hiyo mtu akinijia na shida yake aombe nimkopeshe hela mara nyingi sana huwa sikatai.

Lakini kwa vile huwa ni mkopo basi huwa ninatoa masharti yangu. Huyo mtu akiyakidhi na kama hicho kiasi ninacho basi namkopesha.

Sasa inapotokea mtu anakuja kukukopa na kukuahidi kuwa atakulipa siku fulani, yaani anakubembeleza kweli hadi anataka kulia, na wewe kwa huruma zako unamkopa kwa masharti.

Siku ya kurudisha mkopo ikifika yeye hatokei. Ukianza kumtafuta ili akulipe anaanza kukukwepa.

Ukizidisha kumtafuta anaanza kukasirika na kukuletea jeuri.

Watu wa hivi siwapendi kabisa mimi. Kwa nini unikasirikie wakati nakudai hela zangu?

Kama hutaki nikufuatilie nilipe hela zangu na mimi wala sitakutafuta hata kwa salamu tu.

Umejileta mwenyewe na vishida vyako na kuanza kujiliza halafu unaniletejea jeuri kunilipa hela zangu.

Mijitu mingine sijui ikoje tu. Kama unadai hela uliyokopa ni ndogo nisikusumbue iweje hukuwa nayo sasa?

Shenzi pambaaf kabisa. Siku ingine ukinijia na vishida vyako ntakwambia nenda baa ukategeshe.
Kama ni mwanaume, tafuta namba ya mke wake alafu umpigie usiku wa saa tano huyo Mke wake ukiwa na uhakika Jamaa yupo home.

Mazungumzo yawe hivi;

( Simu inaita Kwa muda mpaka inakata bila kupokelewa. Nyani Ngabu anapiga tena. Mara hii inapikelewa).

Mke wa X: Hellow!
Nyani Ngabu: Hellow, naongea na Mke wa X.
Mke wa X: Ndio, kwani wewe Nani?

Nyani Ngabu: Hiyo haikuhusu. Mlipie mmeo deni lake. Naona yeye kashindwa labda wewe uliyemuoa utamsaidia.

Mke wa X;( anasikiliza huku akimwangalia Mr. X aliyelala). Una mdai kiasi gani?.

Nyani Ngabu: Milioni tatu.
Mke wa X: Milioni tatu?

Nyani Ngabu: kama atashindwa mwambie nitakuja nikuchukue.

Mke wa X: Embu jiheshimu we Baba uliekosa haya mwanaizaya.

Nyani Ngabu: am gonna *** you and your husband. Rubiishh potate.

(Simu inakata, Mke wa X anamuamsha Mume wake).

Wakiwa wanagombana baada ya dakika tano inaingia Meseji kwenye simu ya mke wa X. Kimya kinatokea huku macho Yao wote wakiikodolea simu.

Mke wa X anachukua Simu na kukuta ujumbe kutoka Kwa Nyani Ngabu;

"I will marry you even though I don't want. Plz tell your husband I will take you if he failed to payback my money.
[HASHTAG]#USA[/HASHTAG] babby"

Anaisoma kisha anamrushia Simu Mr.x



Hapo ndipo Sterling atakapokufa na picha limeisha.

Maandishi yanapanda ya Washiriki.

WASHIRIKI
1. Nyani Ngabu. Sterling
2. Mr. X.
3. Mke wa X

DIRECTOR
1. Michaelray22

PRODUCER
1. Michaelray22

LOCATION
Jamii Forum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni mwanaume, tafuta namba ya mke wake alafu umpigie usiku wa saa tano huyo Mke wake ukiwa na uhakika Jamaa yupo home.

Mazungumzo yawe hivi;

( Simu inaita Kwa muda mpaka inakata bila kupokelewa. Nyani Ngabu anapiga tena. Mara hii inapikelewa).

Mke wa X: Hellow!
Nyani Ngabu: Hellow, naongea na Mke wa X.
Mke wa X: Ndio, kwani wewe Nani?

Nyani Ngabu: Hiyo haikuhusu. Mlipie mmeo deni lake. Naona yeye kashindwa labda wewe uliyemuoa utamsaidia.

Mke wa X;( anasikiliza huku akimwangalia Mr. X aliyelala). Una mdai kiasi gani?.

Nyani Ngabu: Milioni tatu.
Mke wa X: Milioni tatu?

Nyani Ngabu: kama atashindwa mwambie nitakuja nikuchukue.

Mke wa X: Embu jiheshimu we Baba uliekosa haya mwanaizaya.

Nyani Ngabu: am gonna **** you and your husband. Rubiishh potate.

(Simu inakata, Mke wa X anamuamsha Mume wake).

Wakiwa wanagombana baada ya dakika tano inaingia Meseji kwenye simu ya mke wa X. Kimya kinatokea huku macho Yao wote wakiikodolea simu.

Mke wa X anachukua Simu na kukuta ujumbe kutoka Kwa Nyani Ngabu;

"I will marry you even though I don't want. Plz tell your husband I will take you if he failed to payback my money.
[HASHTAG]#USA[/HASHTAG] babby"

Anaisoma kisha anamrushia Simu Mr.x



Hapo ndipo Sterling atakapokufa na picha limeisha.

Maandishi yanapanda ya Washiriki.

WASHIRIKI
1. Nyani Ngabu. Sterling
2. Mr. X.
3. Mke wa X

DIRECTOR
1. Michaelray22

PRODUCER
1. Michaelray22

LOCATION
Jamii Forum

Sent using Jamii Forums mobile app

😀😀
 
Mpaka USA vyuma vimekaza Hamia Zimbabwe

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Joseverest Unaendelea kunenepa wakati nakudai, ni ishara ya dharau. [emoji104][emoji104][emoji104]
 
Kuopa harusi kulipa matanga, hapo mpaka msumbuane kwanza at the end utalipwa lakin jasho litakuwa limeshakutoka licha ya kuwa that money ni zako mkuu
 
Common sense tu.

Kama nakukopesha basi ni lazima uwe na ajira.

Ni lazima tuandikishane makubaliano ya mkopo.

Ni lazima uwe na makazi ya kudumu.

Ila, masharti mahsusi yatategemea na kiasi cha mkopo uombwao.

Kuna kilicho unreasonable hapo?

Kumbuka, hapa nazungumzia kumkopesha mtu na siyo kumsaidia tu....
Bora umeweka wazi hayo masharti yako mkuu
 
Kama ni mwanaume, tafuta namba ya mke wake alafu umpigie usiku wa saa tano huyo Mke wake ukiwa na uhakika Jamaa yupo home.

Mazungumzo yawe hivi;

( Simu inaita Kwa muda mpaka inakata bila kupokelewa. Nyani Ngabu anapiga tena. Mara hii inapikelewa).

Mke wa X: Hellow!
Nyani Ngabu: Hellow, naongea na Mke wa X.
Mke wa X: Ndio, kwani wewe Nani?

Nyani Ngabu: Hiyo haikuhusu. Mlipie mmeo deni lake. Naona yeye kashindwa labda wewe uliyemuoa utamsaidia.

Mke wa X;( anasikiliza huku akimwangalia Mr. X aliyelala). Una mdai kiasi gani?.

Nyani Ngabu: Milioni tatu.
Mke wa X: Milioni tatu?

Nyani Ngabu: kama atashindwa mwambie nitakuja nikuchukue.

Mke wa X: Embu jiheshimu we Baba uliekosa haya mwanaizaya.

Nyani Ngabu: am gonna **** you and your husband. Rubiishh potate.

(Simu inakata, Mke wa X anamuamsha Mume wake).

Wakiwa wanagombana baada ya dakika tano inaingia Meseji kwenye simu ya mke wa X. Kimya kinatokea huku macho Yao wote wakiikodolea simu.

Mke wa X anachukua Simu na kukuta ujumbe kutoka Kwa Nyani Ngabu;

"I will marry you even though I don't want. Plz tell your husband I will take you if he failed to payback my money.
[HASHTAG]#USA[/HASHTAG] babby"

Anaisoma kisha anamrushia Simu Mr.x



Hapo ndipo Sterling atakapokufa na picha limeisha.

Maandishi yanapanda ya Washiriki.

WASHIRIKI
1. Nyani Ngabu. Sterling
2. Mr. X.
3. Mke wa X

DIRECTOR
1. Michaelray22

PRODUCER
1. Michaelray22

LOCATION
Jamii Forum

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha haa we ni shida
 
Back
Top Bottom