Mm sijawahi kuwa mtata, Mm n mstaarabu hadi naboa sasaWapi wewe wakati una tabia za akina Mbaga tu wengine..utata utata tu😂
1. Mke wa Mwalimu
2. Mke wa Mkapa
3. Wake wa Mwinyi
4. Mke wa Karume Sr
5. Mke wa Lowassa
6. Mke wa JPM
7. Wake wa Sokoine
8. Mke wa A. Jumbe
9. Mke wa I. Wakili
Mimi bibi ameolewa.Hairuhusiwi abadani ndio maana hao wote kwenye orodha hawajaolewa.
Swali muhimuBila kusahau inamaana hawana wapenzi???????
Wa Njombe alikuwa mzuri hatari
- Wa filikunjombe
- Wa kijazi etc
Sheria ya hovyo sana, Nchi yetu ni maskini sana lakini Viongozi hawajali.Tena ile sheria aliyopigania Salma nadhani ilipitishwa na bunge. Wanapata pesa nyingi sana hao.
Utaanza kufa wewe mkuu andaa wosiaEndapo Nina miaka 30 nikao mwanamke Ana miaka 20 je kisayansi atatangulia kufa nani ?.
Yeyote anaweza kutanguliaEndapo Nina miaka 30 nikao mwanamke Ana miaka 20 je kisayansi atatangulia kufa
Avatar yako inaonesha tu wewe unamsumbua sana mmeo... NNafikiri utakuwa mwenyeji wa kitambaa cheupe pale mitaa bungeni.Nimejifunza kwamba, Mungu anatupa maisha marefu wanawake ili tuweze kufurahia miaka yetu ya mwisho duniani bila kero na mahangaiko!
Sokoine alikua na wake wengi? Si mkiristo alikuwa? Halafu wakiristo uchwara humu wanakandia wake wengi, wao haisimami vizuri wanataka waharamishe kwa wote1. Mke wa Mwalimu
2. Mke wa Mkapa
3. Wake wa Mwinyi
4. Mke wa Karume Sr
5. Mke wa Lowassa
6. Mke wa JPM
7. Wake wa Sokoine
8. Mke wa A. Jumbe
9. Mke wa I. Wakili
Bila ya mume wa Samia hili bandiko halitanoga!. 😳1. Mke wa Mwalimu
2. Mke wa Mkapa
3. Wake wa Mwinyi
4. Mke wa Karume Sr
5. Mke wa Lowassa
6. Mke wa JPM
7. Wake wa Sokoine
8. Mke wa A. Jumbe
9. Mke wa I. Wakili

Lakini swali langu lipo hivi
Wanaume tunakufa tukiwa na umri dogo mfano Nyerere na aangalia na umri alionao mke wake Maria
Waziri wa fedha, na Mwingi nae akiwa Rais Waziri wa fedha alikufa Ndugu KibonaMke wa Dr. Mgimwa
Nyerere died at 77, Mwinyi 95 Mkapa 82 , Magufuli 61Inategemea na ukoo aliotoka mwanaume na huyo Mwanamke.
Ingawaje koo nyingi wanaume wanakufa mapema na umri Mdogo ukilinganisha na wanawake
Wengi wana generations kadhaaAsasi wako wangapi?