Umejifunza nini kuhusu orodha hii!

Umejifunza nini kuhusu orodha hii!

Iyo list ni ya wazee wa zamani, kwa kipindi chao mwanaume alikua anaoa mke ambae amemzidi miaka mingi kwaiyo hata sequence ya vifo probability ya mwanaume kutangulia inakua kubwa zaidi

Kikwete kamzidi mkewe miaka 13, kwa gap iyo uwezekano wa kikwete kuwa mgane ni mdogo sana, ukilinganisha na uwezekano wa mkewe kuwa mjane.

Miaka inavyoenda iyo sequence itapungua na haitakua ajabu tena mke kutangulia kwa sababu sasa hivi kuna ongezeko kubwa sana la mahusiano/ndoa ambayo mwanaume na mwanamke wamelingana umri, hawajazidiana sana au mwanamke ndie kamzidi mwanaume
Yule wa JK , ninamwaza sana!
 
Wote ni Mama za watu kama alivyokua Mama wako.

Pia, ni wake wa Viongozi wa kutoka serikalini.

Mengine yote ni porojo zisizo na tija.

Ww pena Mama yako anaitwa mke wa nani😇😇😇😇 na yumo kwenye orodha gani?
Soma #26
 
Ukijifanya bingwa wa kumwaga lazima ufe mapema jitahidi ubanie manii yako utumie kuzaa tu ukitaka kuwaridhisha eti na yeye akojoe umeisha. Kama huamini mcheki jirani yako anavyotembea kama Isuzu imekata sentabolt
 
Dhana ya ujane ndiyo inayo trend tangu kale wajane wanatajwa sana hata kwenye biblia mistari yao ipo ila wagane hawavumi sana labda ni very rare kwa kuwa wanaume ndio hutangulia kufa zaidi kuliko wake zao
 
Mke wa Samuel Sitta, Mke wa Mahiga, Mke wa Dr Mvungi, Mke wa Mafuru, Mke wa Membe, Mke wa Patel, Mke wa Asasi, Mke wa Beno Nduru, Mke wa Balali, orodha ndefu sana.

Jibu ni rahisi sana Dunia Ina jinsia ya kike, Jua , Mwezi vyote jinsia ya kike, Dunia ni Mali ya viumbe na vitu vyenye Majira.

Sisi wengine ni kwa ajili reproduction purpose basi mengine ni bonus
Mama Samia atawale aisee…
 
Nimejifunza kwamba, Mungu anatupa maisha marefu wanawake ili tuweze kufurahia miaka yetu ya mwisho duniani bila kero na mahangaiko!
Life expectancy average kwa takwimu za kidunia kwa mwanaume ni 79 na mwanamke ni 73. Kwaiyo wanaume ndio wanaishi maisha marefu.

Kwenye suala la ujane na ugane kwenye ndoa za wazee wetu ni kwa sababu kipindi chao wanaume walikua wanawazidi miaka mingi sana wake wanaowaoa, kwaiyo uwezekano wa mwanaume kutangulia unakua mkubwa zaidi
 
Mke wa Samuel Sitta, Mke wa Mahiga, Mke wa Dr Mvungi, Mke wa Mafuru, Mke wa Membe, Mke wa Patel, Mke wa Asasi, Mke wa Beno Nduru, Mke wa Balali, orodha ndefu sana.

Jibu ni rahisi sana Dunia Ina jinsia ya kike, Jua , Mwezi vyote jinsia ya kike, Dunia ni Mali ya viumbe na vitu vyenye Majira.

Sisi wengine ni kwa ajili reproduction purpose basi mengine ni bonus
Asasi wako wangapi?
 
Back
Top Bottom