Umejifunza nini kuhusu orodha hii!

Umejifunza nini kuhusu orodha hii!

Sujajua kikatiba imekaaje endapo mjane wa raisi mstaafu akaanua kuolewa. Huyo mume wake atazingatiwaje kimaslahi?

Endapo huyu mjane aliyolewa akafariki Tena, huyu mume atakaemuacha itakuwaje?
 
Sujajua kikatiba imekaaje endapo mjane wa raisi mstaafu akaanua kuolewa. Huyo mume wake atazingatiwaje kimaslahi?
Endapo huyu mjane aliyolewa akafariki Tena, huyu mume atakaemuacha itakuwaje?
Swali Muhimu sana!
 
Sujajua kikatiba imekaaje endapo mjane wa raisi mstaafu akaanua kuolewa. Huyo mume wake atazingatiwaje kimaslahi?
Endapo huyu mjane aliyolewa akafariki Tena, huyu mume atakaemuacha itakuwaje?
Salma ninamsubiri kwa hamu!
 
Endapo Nina miaka 30 nikao mwanamke Ana miaka 20 je kisayansi atatangulia kufa nani ?.
Nakumbuka nyerere kafariki 1999, ni miaka mingapi mpaka leo? na Je, gape la umri wake na mke wake lilikuwa sawa na miaka hii aliyoiishi mke wake baada ya yeye kufariki?
 
1. Mke wa Mwalimu
2. Mke wa Mkapa
3. Wake wa Mwinyi
4. Mke wa Karume Sr
5. Mke wa Lowassa
6. Mke wa JPM
7. Wake wa Sokoine
8. Mke wa A. Jumbe
9. Mke wa I. Wakili
Orodha ni ndefu zaidi lakini la kujifunza ni kwamba wanaume wanabeba mizigo mizito kwa ajili ya familia na taifa. Hatemaye msongo wa mawazo na changamoto za kihisia na kisaikolojia zinazoambatana na wajibu wao katika nyanja mbali, zinawatanguliza mbele ya haki mapema zaidi kuliko wanawake.
 
Iyo list ni ya wazee wa zamani, kwa kipindi chao mwanaume alikua anaoa mke ambae amemzidi miaka mingi kwaiyo hata sequence ya vifo probability ya mwanaume kutangulia inakua kubwa zaidi

Kikwete kamzidi mkewe miaka 13, kwa gap iyo uwezekano wa kikwete kuwa mgane ni mdogo sana, ukilinganisha na uwezekano wa mkewe kuwa mjane.

Miaka inavyoenda iyo sequence itapungua na haitakua ajabu tena mke kutangulia kwa sababu sasa hivi kuna ongezeko kubwa sana la mahusiano/ndoa ambayo mwanaume na mwanamke wamelingana umri, hawajazidiana sana au mwanamke ndie kamzidi mwanaume
Ila katika orodha hiyo, wengine wamekufa zamani sana. Kwa hoja yako, baada ya kama miaka 10-15 wenzao wangefuata.
 
Nadhani hili huwa linaibuka mara kwa mara humu jukwaani.

Nawezekana nakosea ila nahisi mwanamke ana siri kubwa moyoni ya kutotamani afariki kabla ya mumewe. Asili ya wanawake kutopendana inawajengea "nightmare" vichwani na mioyoni mwao kwamba akiondoka kabla ya mumewe, siyo tu atasahaulika mapema ila mumewe ataoa mwingine.
 
1. Mke wa Mwalimu
2. Mke wa Mkapa
3. Wake wa Mwinyi
4. Mke wa Karume Sr
5. Mke wa Lowassa
6. Mke wa JPM
7. Wake wa Sokoine
8. Mke wa A. Jumbe
9. Mke wa I. Wakili
Mke wa John Heche
Mke wa Tundu Lissu
Mke wa John Mnyika
Mke wa Mbowe
Mke wa Lema
Mke wa Golugwa
Mke wa Nshala
Mke wa Ally Kibao
Mke wa Soka
Mke wa Wangwe
Mke wa Mchome
Mke wa Boni Yai
 
Back
Top Bottom