Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,160
- 126,219
Sio kweli 😂Hasa wapare.
Sio kweli 😂Hasa wapare.
...mke wa dereva!!!Mke wa Sarungi, mke wa Gissima ( Tanesco)
Laughable 😂 Naomba source ya takwimu zako maana kila data na tafiti nilizoziona zinaonyesha ulichosema ni uongo.Life expectancy average kwa takwimu za kidunia kwa mwanaume ni 79 na mwanamke ni 73. Kwaiyo wanaume ndio wanaishi maisha marefu.
Kwenye suala la ujane na ugane kwenye ndoa za wazee wetu ni kwa sababu kipindi chao wanaume walikua wanawazidi miaka mingi sana wake wanaowaoa, kwaiyo uwezekano wa mwanaume kutangulia unakua mkubwa zaidi
Mada imelenga kipengere cha mjane na mgane, yaani wanandoa ambao mmoja wao katangulia kufa. Tena ninkatika jamii zetu za kiafrika wewe unakuja na takwimu za ujerumani na marekani. Sababu kubwa ya mwanaume kutangulia ni tofauti ya umri kati ya mume na mke sio upendeleo wa Mungu kama ulivyosema.Laughable 😂 Naomba source ya takwimu zako maana kila data na tafiti nilizoziona zinaonyesha ulichosema ni uongo.
View attachment 3303181
View attachment 3303182
View attachment 3303183
View attachment 3303184
Hi nayo fact.Endapo Nina miaka 30 nikao mwanamke Ana miaka 20 je kisayansi atatangulia kufa nani ?.
😃😂😂😂😂Mwanaume lazima utangulie kwenda kuandaa mazingira ya familia wakati ujao... Au nasema uongo ndugu zangu?😄😄
Iyo list ni ya wazee wa zamani, kwa kipindi chao mwanaume alikua anaoa mke ambae amemzidi miaka mingi kwaiyo hata sequence ya vifo probability ya mwanaume kutangulia inakua kubwa zaidi
Kikwete kamzidi mkewe miaka 13, kwa gap iyo uwezekano wa kikwete kuwa mgane ni mdogo sana, ukilinganisha na uwezekano wa mkewe kuwa mjane.
Miaka inavyoenda iyo sequence itapungua na haitakua ajabu tena mke kutangulia kwa sababu sasa hivi kuna ongezeko kubwa sana la mahusiano/ndoa ambayo mwanaume na mwanamke wamelingana umri, hawajazidiana sana au mwanamke ndie kamzidi mwanaume
Kwanini hairuhusiwi? Nani kakataza?Hairuhusiwi abadani ndio maana hao wote kwenye orodha hawajaolewa.
Lakini swali langu lipo hiviSasa wewe unamiaka 40 unaoa Binti wa Miaka 25 unategemea yeye ndio atangulie Kufa?
Kisayansi mwenye umri Mkubwa ndio anatarajiwa Kufa mapema kuliko mwenye umri Mdogo
Wapare mmefikiwaSio kweli 😂
Amewaonea hao wanawake wa kipareWapare mmefikiwa
Mke wa Dr. MgimwaMke wa Samuel Sitta, Mke wa Mahiga, Mke wa Dr Mvungi, Mke wa Mafuru, Mke wa Membe, Mke wa Patel, Mke wa Asasi, Mke wa Beno Nduru, Mke wa Balali, orodha ndefu sana.
Kodi zetu na wwatoto wetuGharama za kuwatunza wooote hao ni za serikali.
Wananunuliwa mpaka lipstickGharama za kuwatunza wooote hao ni za serikali.
Waulize wao kwann hawajaolewa Hadi Leo? Ni kwamba hawana nyege?Kwanini hairuhusiwi? Nani kakataza?
Tena ile sheria aliyopigania Salma nadhani ilipitishwa na bunge. Wanapata pesa nyingi sana hao.Wananunuliwa mpaka lipstick
Kuliwa wanalika ila KUOLEWA ndo kama unavyoona wote hao hawana waumeHuduma wanaipata wapi