Umejifunza nini kuhusu orodha hii!

Umejifunza nini kuhusu orodha hii!

Hapo nikutafuta namba ya lishangazi limoja kusaidia nalo kula mafao ya mume wake
 
Lakini umefatilia hao wanaume zao walikufa na miaka mingapi na umefatilia kujua umri walionao hao wajane ?

Mfano Nyerere alikufa na late 70 na Leo mama maria Ana late 90

Umeona ?

Hapo hoja ni life expectancy .

Ukimtoa Mkapa aliyefariki na 80+ Ila hao wengine hawakufika 80+

Kwahiyo kuna utofauti wa kuishi umri mrefu kati ya mwanamke na mwanaume.
List ni ndefu lakini umemtolea mfano Nyerere peke ake. Kikwete alikua mgane kabla ya kumuoa mama salma
 
Mwanaume anawahi kufariki Kwa sababu ya majukumu ya kuhudumia Nchi na umri kuwa mkubwa kuliko umri wa mke aliyemuoa fullstop
 
Muoe mishangazi ili wawahi kufa na sio vidogo dogo mnakufa mapema na kuviacha
1. Mke wa Mwalimu
2. Mke wa Mkapa
3. Wake wa Mwinyi
4. Mke wa Karume Sr
5. Mke wa Lowassa
6. Mke wa JPM
7. Wake wa Sokoine
8. Mke wa A. Jumbe
9. Mke wa I. Wakili
 
Dhana ya ujane ndiyo inayo trend tangu kale wajane wanatajwa sana hata kwenye biblia mistari yao ipo ila wagane hawavumi sana labda ni very rare kwa kuwa wanaume ndio hutangulia kufa zaidi kuliko wake zao
Mwanaume akifiwa na mke anaoa Tena🤣🤣🤣
 
1. Mke wa Mwalimu
2. Mke wa Mkapa
3. Wake wa Mwinyi
4. Mke wa Karume Sr
5. Mke wa Lowassa
6. Mke wa JPM
7. Wake wa Sokoine
8. Mke wa A. Jumbe
9. Mke wa I. Wakili
Wanaume tunaishi na kuishia km madume ya malkia nyuki yakishafanya jukumu kumtunga mimba malkia basi na ndio mwisho wa maisha yao.
 
Usizungumzie viongozi tu. Hata kwenye familia nyingi wanaume ndio wanakufa wanabaki wamama...wala sio jambo la ajabu sana.
 
1. Mke wa Mwalimu
2. Mke wa Mkapa
3. Wake wa Mwinyi
4. Mke wa Karume Sr
5. Mke wa Lowassa
6. Mke wa JPM
7. Wake wa Sokoine
8. Mke wa A. Jumbe
9. Mke wa I. Wakili
Nimejifunza wanaume wengi hufa wakiwacha wake zao hai,sababu mwanaume amebeba mambo mazito katika familia hata kama kiongozi mwisho huchukua uhai wake
Au wengine wamekufa katika majukumu ya kutafuta
 
Back
Top Bottom