Umejifunza nini kuhusu orodha hii!

Umejifunza nini kuhusu orodha hii!

Mwanaume lazima utangulie kwenda kuandaa mazingira ya familia wakati ujao... Au nasema uongo ndugu zangu?😄😄
Kabisa mkuu, mwanaume ni kichwa lazima atangulie kuweka mazingira vizuri kwa familia yake… 😹
 
Sasa wanaume mnalalamika nini? Mnataka muishi mpk mfunge dunia?? Tangulieni sisi tubaki kulinda watoto…!! 😜😹😹
 
Mtume amesema "IOGOPENI DUNIA WAOGOPENI WANAWAKE" WANAWAKE na DUNIA ni kidole na Pete
 
Mke wa Samuel Sitta, Mke wa Mahiga, Mke wa Dr Mvungi, Mke wa Mafuru, Mke wa Membe, Mke wa Patel, Mke wa Asasi, Mke wa Beno Nduru, Mke wa Balali, orodha ndefu sana.

Jibu ni rahisi sana Dunia Ina jinsia ya kike, Jua , Mwezi vyote jinsia ya kike, Dunia ni Mali ya viumbe na vitu vyenye Majira.

Sisi wengine ni kwa ajili reproduction purpose basi mengine ni bonus
Mke wa Balali
Mke wa Nimrodi Mkono
Mke Maalim Seif
Mke wa Kijazi
Mke wa Werema
Mke wa Ndungulile
Mke wa Apson Mwang'onda
 
1. Mke wa Mwalimu
2. Mke wa Mkapa
3. Wake wa Mwinyi
4. Mke wa Karume Sr
5. Mke wa Lowassa
6. Mke wa JPM
7. Wake wa Sokoine
8. Mke wa A. Jumbe
9. Mke wa I. Wakili
Wanawake wameumbwa wakiwa na nguvu mwilini ya kutunza watoto. Inapotokea njaa au magonjwa wana uwezo mkubwa wa kuvunilia. Kwa upande mwingine wanaume tunafanya kazi ngumu sana maishani. Vita, zege, kufikiri sana. Nawashangaa wanawake wanataka 50/50
 
Tena ile sheria aliyopigania Salma nadhani ilipitishwa na bunge. Wanapata pesa nyingi sana hao.
Nyerere alisema tunataka mtu atakayetuambia ataifanyia nini Tanzania
Hawa wamekuja wanataka Tanzania iwafanyie, tena siyo Salma aliyechomeka hiyo ni mumewe kupitia kinywa cha mkewe
 
Mwanaume lazima utangulie kwenda kuandaa mazingira ya familia wakati ujao... Au nasema uongo ndugu zangu?😄😄
Hilo ni fumbo zito, kinamama wengi ndio chanzo cha vifo vya waume zao. full stress and chaos at home
 
Hivi kwa nini wake wa viongozi wakuu bongo wakifiwa waume hawaolewi tena?
 
Back
Top Bottom