and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,105
Mbeya wenzenu Arusha na Kilimanjaro wanaleta watalii nchini. Ninyi mmekalia uchhawi. Mnakwama wapi????
Nina uhakika huyo sio mnyakyusa. Watu wakija huku mjini hawataji makabila yao. Katika sifa wanyaki walizonazo usafi na kumbuka walikuwa watu wa kwanza kuvaa nguo hapa Tz. Nenda Rungwe na Busokelo uone tu hata mazingira yanayozunguka nyumba zao. Tofauti na sehemu nyingine nilizopita ambako nyasi zinaota mpaka mlangoni. Nina experience ya kuwa na mahusiano na mdada wa kinyaki nilipokuwa kijana. Amazing. Bahati mbaya sikumuoa (najuta).Wanyakyusa kutooga ni sehemu ya maisha yao, huwezi kutaja uchafu bila kutaja wanyakyusa, Achana na Tukuyu Au kyela nenda huko Keko Dar mtu anaweka chupi chafu za watoto kwenye friji, ni wavivu sana kwenye usafi wanawaza uchawi tu, Huko Tukuyu misiba mingi utasikia amerogwa na Mzee fulani, Kyela huko ndio matatizo zaidi siwezi yasema hapa ni shidaa
Mtoa mada labda unazungumzia wasafwa, wanyaki wapo poa tu.Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.
Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.
WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.
Wee nawe si bure utakua una lako si biashara tuunimefungulia Singida maisha yanaenda kama kawa...Mbeya sitakaa nikanyage tena mijitu mibinafsi imejaa roho mbaya kama mashetani
AiseeWee nawe si bure utakua una lako si biashara tuu
...Wanakuchezea tu akili nawe umekubali! Anayekuroga has a hana hana ya kukuwekea hirizi wazi wazi ili uione!Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.
Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.
WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.
Kwani tumelala na m.m yako mpaka utuchukie!!lakini Mbeya kumezidi aisee ushirikina nje nje watu wa mbeya wana roho mbaya kama sura zao.
Stand up comedyWanyaki sasa mule makanisani mnafuataga nini? Acheni komedi.
Duuh mimi nikadhani kule ni wacha Mungu wazuri...wanyakyusa na wakinga wote wale wale washirikina Mbeya yote i uchawi umetamalaki kuanzia Kyela mpaka Tunduma
Unatusingizia wakinga.Usikariri...wafanyabiashara wengi hapo mjini sio wanyakyusa ni wakinga..na hao ndio wenye hayo mandumbwendumwe
kuwa na hakika yule si mnyakyusa na mbalali hawaishi wanyakyusaUsisahau kuna Wanyakyusa wenye Asili ya Kibulushi mkuu....Kama yule jamaa wa Mbarali.