ULOZI: Mbeya mnafaidikaje?

ULOZI: Mbeya mnafaidikaje?

lakini Mbeya kumezidi aisee ushirikina nje nje watu wa mbeya wana roho mbaya kama sura zao.
Mbona huo uchawi mbeya sijawai kuona,uchawi ni pia mkuu

Ukiamini upo unakuwepo kweli japo haupo..uoga wako unekuponza


Maduka pale yamejaa yawachaga na wakinga wazawa ni machache sanaa

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
 
Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.

Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.

WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.
Hahahaha

Watakufa macho wazi
 
Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.

Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.

WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.
Wafanye vyote.lakini wakuache salama.wasije wakagusa uchumi.
 
Wachuna ngozi za binadamu wako mbeya
Wachuna ngozi umewai kuwasikia siku karibuni msimeze mambo..??

Vipi mambo ya viungo vya albin.huko kanda ya ziwa...

Vipi tanga kuwekana msuiule nk

Scendo za uchawi zipo kila kona ila hakuna kabila la mbeya linalotisha kwa hayo mambo
Wanyakyusa
Wasafwa
Wasangu
Wabungu
Wamalira
Wanyiha
Wanyamwanga
Wabungu
Nk

Ni.watu wapole sana ila mnawatafutaga,

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
 
Usisahau kuna Wanyakyusa wenye Asili ya Kibulushi mkuu....Kama yule jamaa wa Mbarali.
Waislam mbeya wachache sana, na hao waislamu waliopo wanyakyusa nadhani 0.05%!!!!
 
Wakuuu naona mnawakosea sana hawa ndugu zetu wanyakyusa, uchawi hauna kabila!!! Na kwasasa mbeya inamakanila mengi sana, na kwenye biashara nadhani mnge walaamu wa kinga walio dominate biashara hapa labda ndio wachawi
 
Ukija kwa Shari jipange kupambana na wafanya Shari ukija kwa wema utavuna kwa wema kuwa makini na ulivyo jipanga
 
Nimetembelea mikoa ya Mwanza, Geita, Simiyu, Kagera (yote), Morogoro, Dar es salaam, Pwani, Rukwa, Katavi, Mbeya (Nyumbani) na Shinyanga. Ila hakuna mikoa yenye uchawi na ushirikina wa wazi kama DAR ES SALAAM NA pwani.
Ingawa kila sehemu uchawi upo ila Mikoa ya Pwani ni wamezidi.
Haha nasikia dar hasa huko kwenye maduka kuna mambo na soko la kariakoo ndio majanga huko kwenye makorido ndio usipime na mtaa wakongo mazombi kibao ila wenye macho ya rohoni ndio wanayaonaga haya makitu wenzangu na mie tunaona watu kumbe viatu mwanangu kuwa uyaone
 
Mbona huo uchawi mbeya sijawai kuona,uchawi ni pia mkuu

Ukiamini upo unakuwepo kweli japo haupo..uoga wako unekuponza


Maduka pale yamejaa yawachaga na wakinga wazawa ni machache sanaa

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
kama wewe sio mfanyabiashara huwezi uona huo uchawi....fungua duka hapo Mwanjelwa au Kabwe, Sayi , Soweto ndio utauona uchawi....
 
Wanyakyusa kutooga ni sehemu ya maisha yao, huwezi kutaja uchafu bila kutaja wanyakyusa, Achana na Tukuyu Au kyela nenda huko Keko Dar mtu anaweka chupi chafu za watoto kwenye friji, ni wavivu sana kwenye usafi wanawaza uchawi tu, Huko Tukuyu misiba mingi utasikia amerogwa na Mzee fulani, Kyela huko ndio matatizo zaidi siwezi yasema hapa ni shidaa
 
Huyo mnafiki ..Mbeya kuna makabila mengi wanafanya biashara Wakinga hata Kariakoo,Mwanza na Arusha wamejaa wewe tu wakuroge?inawezekana huna mtaji Singida sio jiji kama Mbeya lazima uwe na mtaji mkubwa!
AF hizi sifa za kuita mbeya jiji ni za kiboya sana mji wa kipuuzi sana
 
Back
Top Bottom