ULOZI: Mbeya mnafaidikaje?

ULOZI: Mbeya mnafaidikaje?

Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.

Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.

WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.
Umejuaje kuwa unarogwa na Wanyakyusa na sio kabila lingine? Mbeya kuna wasafwa, wandali, wamalila, na makabila Mengi mnginewe kwanini useme Wanyakyusa?
Wanyakyusa na uchawi wa Kiarabu Wapi na Wapi?
 
Huyo jamaa ilimshinda biashara tu analeta visinguzio visivyo na ushahidi. Mimi nimefungua banda la Chipsi Ilala Gwantanamo nimeambiwa ni mwepesi sana a eti kila mtu pale ameoga. Lakin nimeridhika na kuuza sahani 5-11 huku nikitafuta mbinu ya kibiashara ya kupata wateja wapya na si kuongeza uzito na kuoga.
 
Huyo mnafiki ..Mbeya kuna makabila mengi wanafanya biashara Wakinga hata Kariakoo,Mwanza na Arusha wamejaa wewe tu wakuroge?inawezekana huna mtaji Singida sio jiji kama Mbeya lazima uwe na mtaji mkubwa!
 
Mbona kama huu uzi nishausoma miaka miwili iliyopita halafu naona kama umepostiwa masaa 9 tu yaliyopita!!au ndiyo mambo ya kuji update kuendana na mwaka 2017.
 
Mtoa Mada ntakugeuza kuwa nyoka mda si mrefu we endelea tu kutuponda watu wa mbeya
 
Uchawi na biashara vinausiana vip me nijuavo biashara ni imani na hakuna sehemu isiyo na ushirikina sababu ni sehemu ya utamaduni wetu weusi,naona umekimbia baridi Mbona sie tupo Mbeya biashara zinaenda vizuri tu na hatulogeki epuka kufanya shiriki utorogeka sababu nguvu ya uchawi haipenyi pasipo na kipenyo.
 
we angalia tu mikoa ya kusini watu wana sura mbaya roho zao mbaya sana....nenda arusha na moshi wana sura zuri na roho zao nzuri
Mmh huko ulikokutaja hapana kwakwelii tena most angelic faces ndo wanaroho za kishetani kabisaa
 
Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.

Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.

WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.
1.Sasa mbona umeshajijibu mwenyewe, kwamba ni maneno ya kiarabu sasa mnyakyusa na uarabuni ana mahusiano gani. Kama ulikuta ya kinyakyusa hapo sawa sasa origin ya uarabu ni mbeya kwani?
2. Mbona mnapenda kudhalilisha uislamu au uarabu sana? Kwanini kila neno la uchawi mnahisi kuwa ni la kiarabu? Unamaanisha kuwa hata ukiona kitabu kitakatifu cha Quran utasema uchawi au? Mimi binafsi sijakuelewa.
3. Nakushauri fuatilia kwenye ukoo wako lazima kuna tatizo na siyo kusingizia mbeya
 
Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.

Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.

WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.
 
Nimetembelea mikoa ya Mwanza, Geita, Simiyu, Kagera (yote), Morogoro, Dar es salaam, Pwani, Rukwa, Katavi, Mbeya (Nyumbani) na Shinyanga. Ila hakuna mikoa yenye uchawi na ushirikina wa wazi kama DAR ES SALAAM NA pwani.
Ingawa kila sehemu uchawi upo ila Mikoa ya Pwani ni wamezidi.
mtangulize mungu kwa kila jambo
 
Wanyaki bila kualika/kuwakaribisha wawekezaji nje ya meya huo mji utabaki kuwa magofu na mbavu za mbwa kama ulivyo sasa! Badilikeni.
Acha uongo ww
Kwanza wafanyabiashara wengi mbeya ni wakinga and not nyakyusa
Pili it seems huwajui wanyakyusa kabisa
 
Nilifungua ofisi ya bima Mbeya (Mwanjelwa, Stendi kuu, Mbeya & baadae Tunduma) lakini hawa jamaa (wanyakyusa) hawapend kuona mtu wa mbali (ukitoa Sumbawanga, Songea & Iringa=Wachawi wenzao) amefanikiwa hapo Mbeya.

Maana kila siku asubuhi mfanyakaz anakuta hiriz na maneno ya kiarabu. Mpaka sasa nimefunga ofs ya Mwanjelwa & Stendi kuu na ya Tunduma naangalia upepo.

WANYAKYUSA punguzen ULOZI mtakufa macho wazi.

Mkuu kwenye products zako kwenye kampuni yako ya BIMA hukuwa na BIMA DHIDI YA ULOZI???? 🙂
 
Usipende kuchafua watu bila sababu za msingi.

Nani kakuambia lazima wawe wanyakyusa kwa kuwa ni Mbeya? Hivi unajua wanyakyusa kwao ni Rungwe na Kyela na Mbeya ni wahamiaji tu kama wengine?

Wafanyabiashara wakubwa Mbeya kama ilivyo Kariakoo kwa sasa ni wakinga. Mkinga akiingia sehemu, hakuna cha mchagga wala nani, wote wanaondoka wenyewe tu. Huko ndiyo kuna hayo mazingaombwe unayosema.
 
Back
Top Bottom