Ushirikina upo, ulozi upo kama vila ambavyo shetani yupo. Mungu amewapa watu uhuru wa kuchagua njia ya kuiendea. Wanyakyusa wamechagua ushirikina kwa sababu za unafiki, na uonezi, ubaguzi kwa sababu za wivu na ubinafsi. Na ndiyo sababu mji wa Mbeya ungelikuwa unawatu binadamu, bila shaka ungelikuwa mbali sana kimaendeleo.
Kwa ajili ya hayo, ni kwamba watu wa Mbeya ni washirikina na usijidanganye, ushirikina huo wanatembeaga nao kila wanakoekda. Kaa nao kwa akili.
Wewe kaa nao kwa Nguvu za Mungu. Kurogwa na kuathirika na washirikina, hakuhitaji wewe uamini kwa kuwa uamini uasiamini utaona watakayokufanyyia hao vigagula.