Hata mimi nampenda Yesu vilevile!
Lln yule Yesu original!
Yeye mwenyewe ndiyo mfano wa kwanza kwa kuweka avatar za kike wakati yeye ni dume. Na wengi humu wakati ule tuliwahi kumuuliza jinsi yake lakini hakutujibu, akaishia kuiondoa ile avatar yake ya utata.kwani wote wenye majina ya kike na Avator za kike Humu JF ni wanawake, wengine ni wanaume nadhani na wewe ndio uliowatokea
Haaa we uu she au he kwani.
Yaani mpaka huku ???????????????????????????????????????????:lie:
Hao walokole ni wanafki wakubwa. Kama si wanafki basi wanaumwa akili au wako mbioni kuumwa akili.
Wale wanafki ndo vinara wa maovu. Ulokole wao ni zuga tu. Ukiwachimba kwa kina utagundua wengi ni mafisadi mamboleo.
Wadada wa humu ni
Wagumu sana kuwanasa,
Na jibu lao kubwa ni "Nimeokoka"
Kwa nini mko hivi jamani? Nini sababu?
-mmetendwa sana
-hamtaki kuwasiliti wapenzi/waume zenu
-mmesoma sana
-mmeokoka kweli???
cc felinda nameless girl
Wadada wa humu ni
Wagumu sana kuwanasa,
Na jibu lao kubwa ni "Nimeokoka"
Kwa nini mko hivi jamani? Nini sababu?
-mmetendwa sana
-hamtaki kuwasiliti wapenzi/waume zenu
-mmesoma sana
-mmeokoka kweli???
cc felinda nameless girl
boflo hufai.mgeamalizana huko huko PM,kutongozana mtongozane PM,Vibuti mnakuja announce MMU
Mimi Nimeokoka na ninampenda sana Yesu.
Hawanitaki kivipi??
wao ndio wanani pm kwa sana, namba za simu wana nipa wao,
na mimi sicheleweshi, ndipo najibiwa ameokoka...kweli haya majanga