Ulokole wa wana Jf

Ulokole wa wana Jf

hahahahaaaaaa........ Boflo bado tu unatongozanga humu jf?
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu kunidanganya tu,
ungeokoka kwangu si ningekuwa napika futari saa hii,
haaaa, shauri zako.

Aafu wewe ndo swaga zako hizo, unakumbuka ulivyonambia ili nikupate nianze kusalí kwa Tb Joshua..!? nilivyokuonesha madolari tu ukaweka baibo kando. (asiione Mr Rocky)
 
Last edited by a moderator:
Wadada wa humu ni
Wagumu sana kuwanasa,
Na jibu lao kubwa ni "Nimeokoka"


Kwa nini mko hivi jamani? Nini sababu?
-mmetendwa sana
-hamtaki kuwasiliti wapenzi/waume zenu
-mmesoma sana
-mmeokoka kweli???

cc felinda nameless girl

nyooooo........unalo hilo.........
 
Baba V si unajua tena kwenye njaa utasoma bible kweli? MziziMkavu ameamua kunivika baibui mwaka huu, tena nitavaa lile la kuzika hadi pua,
ngoja nihitimu tu hiki kisomo hapa madrasa. Mr Rocky alikuwa anatembea na nyota yangu, ni afadhali tu alivyonipa talaka.

Aafu wewe ndo swaga zako hizo, unakumbuka ulivyonambia ili nikupate nianze kusalí kwa Tb Joshua..!? nilivyokuonesha madolari tu ukaweka baibo kando. (asiione Mr Rocky)
 
Last edited by a moderator:
... " Boflo unazungumza kwa niaba ya wanaume ua inakuwaje, mbona hueleweki, we inakuhusu nini kama wanaume tukijibiwa hivyo...??
 
ha ha ha, shuka verse zenye vina uone kama hawataingia line:fish2:, acha longo longo, go straight to the point. :sad😡Madame B and evelyne Salt walikuambia hivyo pia?:behindsofa:
Hawanitaki kivipi??
wao ndio wanani pm kwa sana, namba za simu wana nipa wao,
na mimi sicheleweshi, ndipo najibiwa ameokoka...kweli haya majanga
 
Last edited by a moderator:
mi hujajaribu kuninasa boflo!!!! Hahaha so u cnt justify ur research!!ila so u knw! Mi pia
nimeokoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom