Ulokole wa wana Jf

Ulokole wa wana Jf

kwani wote wenye majina ya kike na Avator za kike Humu JF ni wanawake, wengine ni wanaume nadhani na wewe ndio uliowatokea

kuna watu humu wana ID nyingi za ke na me..
 
Hawanitaki kivipi??
wao ndio wanani pm kwa sana, namba za simu wana nipa wao,
na mimi sicheleweshi, ndipo najibiwa ameokoka...kweli haya majanga

Nilitaka nikwambie ututake radhi!ila kwavile wanaku'pm' wenyewe hapo no comment
 
Wadada wa humu ni
Wagumu sana kuwanasa,
Na jibu lao kubwa ni "Nimeokoka"


Kwa nini mko hivi jamani? Nini sababu?
-mmetendwa sana
-hamtaki kuwasiliti wapenzi/waume zenu
-mmesoma sana
-mmeokoka kweli???

cc felinda nameless girl

wE11WvIhkkKMwAAAABJRU5ErkJggg==

NAONA UMEAMUA KUMTAJA KABISA....EHEE...FELINDA NAMELESS GIRL, PLZ USIFANYE HIVYO BANA..
 
halafu nikwambie kitu
wakati natumia ile avatar ya yule mhubiri maarufu kule nigeria
nahisi ni Boflo alinitokea akijua i am a man,
jamani daaah, Boflo niseme au nisiseme.

Haa ha ha ha, you a brave woman, nimekupenda zaid sasa, nipe hints, Baba mkwe na mama mkwe wanapendaga nini, ili niwatangulizie kabisa, cause wanaweza kuleta kauzibe.
 
Imekula kwako Boflo... waonyeshe wallet uone.. ahahahaaaa.. !!

Bila kufungua wallet huwezi pata msichana hapa;waliniambia wenyewe hivyo siku ile kwenye kongamano la Regina Mtema(RIP)
 
Last edited by a moderator:
Hivi #Boflo hua unawajuaje kijinsia maana huku ndani mi hua nahisi wapo wanaume watupu alafu wote majoka ya kibisa....eti hawajawahi kuniaproach ( sio mnitongoze sasa) . Hapa jiongeze tuma pesa kwnz ndo utaopoa watoto wazuuuuri.
 
tatizo ni kwamba wale ambao unawahitaji wenyewe hawakutaki ndio maana wanasingizia wameokoka. Penda unapopendwa.

Dah kuna madame A, madame B na madame X..

NAPITA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom