Ulokole wa wana Jf

Ulokole wa wana Jf

Hao walokole ni wanafki wakubwa. Kama si wanafki basi wanaumwa akili au wako mbioni kuumwa akili.

Wale wanafki ndo vinara wa maovu. Ulokole wao ni zuga tu. Ukiwachimba kwa kina utagundua wengi ni mafisadi
mamboleo.

Dont generalise a few u met with many you hardily know and met!!!!!! True and genuine Christians wapo tena wengi tuu!!!! Nakushauri mambo ya kiroho au ya Mugu dont point fingers just leave it to God to judge!!!!

Hata hivyo hakuna mkamilifu, wote tumepungukiwa na utukufu wa Mungu.
 
Mungu akusaidie maana hujui unenalo wala usemalo?
Laiti ungekuwa na akili ya kupembuana kuchuja nafaka
usingeandika ifimwalo like that
waitaji nikupe ushauri wa kiroho zaidi
njoo parokiani upate kutubu
Wadada wa humu ni
Wagumu sana kuwanasa,
Na jibu lao kubwa ni "Nimeokoka"


Kwa nini mko hivi jamani? Nini sababu?
-mmetendwa sana
-hamtaki kuwasiliti wapenzi/waume zenu
-mmesoma sana
-mmeokoka kweli???
 
umepotelea wapi wewe mkaka jamani mpaka napata walinzi humu ndani wewe umehama mji uko south Africa hivi ulishawaachia ule unga wa sembe akina matabane?
ok sawa....
Swali gani ebu nikumbushe tena mumy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom