Wana vitu gani vya kitofauti katika Biashara vinavyofaa kuleta TanzaniaUna chochote unachojiuliza kuhusu Rwanda?
Una chochote unachotaka kujua kiundani zaidi?
Una chochote ulichokisikia na bado umebaki njia panda!!
Iwe jambo la maana, iwe utani, iwe siasa, chochote, uliza utajibiwa hapa hapa.
Rwanda ndo nchi pekee barani Afrika, ukiingia huulizwi utakaa siku ngapi na unaenda kufanya nini. Kama unataka, funga mizigo yako hamia, kama una biashara yako, fanya, kama una ujuzi wako, omba ajira, ukipewa hakuna wa kuja kuuliza mbona huyu si mnyarwanda, kasoro serikalini tu. Ila na penyewe ikiwa una ujuzi ambao wanyarwanda hawana, kupata ajira ni simple.
-Kuna vitu vya viwanda vya ndani, kama maziwa, juice,beer, Liquors,..........Wana vitu gani vya kitofauti katika Biashara vinavyofaa kuleta Tanzania
Asante sana, Vipi Gharama za sehemu ya kuishi, mfano kupanga?-Kuna vitu vya viwanda vya ndani, kama maziwa, juice,beer, Liquors,..........
-Vingine imported, hapo ndo sijajua wanaleta kutoka nchi mbalimbali.
Nachokichua tu ni kwamba, RSB(sawa na TBS), wapo makiini sana,sana. Ukiona kitu kipo sokoni, Rwanda, hata nchi zinazoitwa zimeendelea, kina soko la uhakika.
Kingine, ni export ya matunda. Matunda wanapeleka nje sana, tena sana. Ukijua njia wanazotumia(vibari vinavyotumika) na vigezo vya vinavyopelekwa, nadhani ni fursa nyingine. Parachichi mnazosagia juice, wenyewe UAE na Uraya wanauza kwa kilo, na bei ya kilo, ni hela unayotoa kijiji kizima
Maisha ya rwanda ni ghari si kama kwenu. pesa ya Rwanda iko juu. Kwenu, nyumba ya laki 5 ni nyumba kweli. Lakini ya aina hiyo, kwa Rwanda, kuipata ni kama Milioni na nusu au na zaidi. Na kiukweli, kama hujiwezi, ni ngumu. Kupata chumba self, ni nadra. Chumbo kinachoweza kuingia kitanda 6*6, ni nadra.Asante sana, Vipi Gharama za sehemu ya kuishi, mfano kupanga?
Tangu mwanzo umeandika taarifa ambazo si sahihi, na bado unaendelea kuandika taarifa ambazo si sahihi.Nimeshatembelea vikosi vya jeshi vyote nchini kasoro viwili na kufanya tenda za wizara ya ulinzi siongei nadharia ndugu yangu. Tanzania hatuna jeshi.
Rwanda ninaipenda kwa sababu ya PKMaisha ya rwanda ni ghari si kama kwenu. pesa ya Rwanda iko juu. Kwenu, nyumba ya laki 5 ni nyumba kweli. Lakini ya aina hiyo, kwa Rwanda, kuipata ni kama Milioni na nusu au na zaidi. Na kiukweli, kama hujiwezi, ni ngumu. Kupata chumba self, ni nadra. Chumbo kinachoweza kuingia kitanda 6*6, ni nadra.
Gharama, zinategemea na kipato.
Uozo upi?Jeshi wapi wakati mkuu wa majeshi ana ndugu Rwanda na Uganda ? Mbona unaleta mambo ambayo hayapo nenda hata hapo Lugalo ingia ndani utaona uozo mpaka utashangaa ? Nyie mnatetea ujinga wakati kila kitu kipo wazi.
Hujui unachokiongelea!Yaani umesema nilichokuwa nataka kumaanisha kuwa Rwanda ipo makini kuliko sisi watanzania asante kwa pole nimeshapoa.
Kwa mara ya kwanza nitafanya nini ili nipate sehemu ya kuishiMaisha ya rwanda ni ghari si kama kwenu. pesa ya Rwanda iko juu. Kwenu, nyumba ya laki 5 ni nyumba kweli. Lakini ya aina hiyo, kwa Rwanda, kuipata ni kama Milioni na nusu au na zaidi. Na kiukweli, kama hujiwezi, ni ngumu. Kupata chumba self, ni nadra. Chumbo kinachoweza kuingia kitanda 6*6, ni nadra.
Gharama, zinategemea na kipato.
Kwa mara ya kwanza nitafanya nini ili nipate sehemu ya kuishi
Si kweli.nikweli mke wa kagame ni mdogowake na mke WA mseveni
Wa Belgiji ndo wameipa jina hilo.Asili ya Jina Rwanda limetokea wapi?
sikweli ,tafuta jibu ulete.... sisi kawe Ina asili yakeWa Belgiji ndo wameipa jina hilo
Likimaanisha?Wa Belgiji ndo wameipa jina hilo.
Nirekebishe nilipoandika uongo kwa kuleta facts.Tangu mwanzo umeandika taarifa ambazo si sahihi, na bado unaendelea kuandika taarifa ambazo si sahihi.
Swali, ni kwa faida ya nani?
Leta facts ndugu yanguHujui unachokiongelea!
Unaruka ruka tu na stori za hapa na pale!
Nawe mkuu kuna nn cha kuchukuwa RwandaKwa Nini hasa mtu mgeni au Raia wa Kigeni ukifika nchini Rwanda unakuwa unafuatiliwa sana kwa Siri na Mapolisi wa Siri wanaoitwa SEPO? Kwa nini hali ipo hivi ya kufuatiliwa sehemu zote kabisa utakazokuwepo kama vile nyumbani, Hotelini, Lodge, Sokoni na mahali kwingine kote utakapoenda?
Je, ina maana Jeshi la Rwanda limewapatia Raia wake wote Matunzo ya kuwafuatilia (Surveillances) Wageni wote wanaowasili kwenye nchi hiyo ya Rwanda?
Je, hamuoni kwamba hilo ni tatizo kubwa sana kwa Wageni au Watalii wenye nia ya kuzuru kwenye nchi hiyo hususani kuhusiana na Kampeni yenu ya Visit Rwanda???