Uliza chochote kuhusu Rwanda

Kwakuwa Rwanda ni ndogo sana ni kwanini isifanywe mkoa wa Tanzania.
Kwa kuwa Tanzania ni kubwa kuliko Rwanda, kwa nini isiunganishwe na Rwanda, mikoa yake iongezeke kwa huo mmoja wa Rwanda?
Pia, hilo swali ulipomuuliza rais Samia, alikujibu nini?

Rwanda ni nchi. Kila nchi, kimataifa ina namna inavyotambulika. Kwa hiyo, mawazo mengine ni ya kitoto.


Tena naona wewe kuna siku utamuomba mpangaji mwenzio mkewe ahamie kwako.
 
Umejibu vizur sana kaka mkubwa nimetosheka. Ila mbunye vip zinapatikana kwa usahihi ama
 
Umejibu vizur sana kaka mkubwa nimetosheka. Ila mbunye vip zinapatikana kwa usahihi ama
Ndo maana watanzania wengi akili zenu ni za bandia. yaani, vitu vyoooote, umewaza ukaona mbunye tuuuu! Shenyeta siku moja na wewe utashenyetwa tu.

Anyway, sijui usahihi unamaanisha nini.
Ila, ukikaa, kama unataka za sitara, utapata. Ukiwa unapitapita tu, zile za kupima ndo utapata.
 
Ni
Vile umeongelea Watanzania na wew ni mtanzania sio mbaya sana. Tuchakate mbususu😁
 
Nakataa, kigali kubwa karibia Mwanza, kahama bado sana kuilinganisha na chigali kwa miundombinu mpaka idadi ya watu
Acha uongo.

Rwanda yote ukubwa wake ni sawa na mkoa wa Tanga.

Hiyo Kigali ni kisehemu kidogo sana, labda ulingnishe na Magufuli City
 
Acha uongo.

Rwanda yote ukubwa wake ni sawa na mkoa wa Tanga.

Hiyo Kigali ni kisehemu kidogo sana, labda ulingnishe na Magufuli City
Utabishana nae kama anaijua!!! Kama ni mwenyeji Mwanza( Nadhani ukitoka Buhongwa kwenda Buzuruga) Kigali umesha imaliza.
 
Nakataa, kigali kubwa karibia Mwanza, kahama bado sana kuilinganisha na chigali kwa miundombinu mpaka idadi ya watu
Unajua wapi na wapi mkuu! Kutoka Kabuga-Giti cy'inyoni au Kabuga-Nyabarongo, na pikipiki, ni zaidi ya dakika 25-30?
 
Hahahahaha waache waulize. Wakati mwingine pia inasaidia kujua watu wana pesa za kuchezea, akili zao zimekaeje. Kuna maswali mhimu na ya maana, kuna na wengine kama vile hawana cha kuuliza
Hao wasio na cha kuuliza ndo wananichosha😃
 
Rwanda wanataka kuimega Tanzania kama wanavyofanya DRC wanataka kupanua nchi yao.waambie wasijaribu Watapigwa vibaya.
 
Hivi Rwanda kuna wazee wafupi ambao ni watutsi
 
Acha uongo.

Rwanda yote ukubwa wake ni sawa na mkoa wa Tanga.

Hiyo Kigali ni kisehemu kidogo sana, labda ulingnishe na Magufuli City

Ukubwa wa Kigali unalingana na Mwanza Jiji. Magufuli City padogo Sana.
 
Kwenda kutalii siku mbili nikiwa huko. Malazi chakula na vivutio. Gharama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…