Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Ungechukua moja ukakaa nayo mwenyewe,
Na kubadilisha kila siku, tofauti yake Ni Nini?
Na umepata faida gani?
Umepata hasara gani?
Linganisha hasara na faida kipi kikubwa? Alafu nipe jibu.

The same energy men put into women, should be put towards their goals.
 
Masawe alikuwa classmate wangu tosa huyu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Miaka kadhaa nyuma chuo cha Ardhi, kilikuwa kipindi cha uchaguzi wa Rais na Makamu rais wa Serikali ya wanafunzi.
Siku moja kabla ya uchaguzi, watu wakiwa kwenye harakati za kuhakikisha wagombea wao wanapata kura binti wa kisukuma alinutunuku tunda kimasihara kabisa.
Huyu binti alikuwa mwaka mmoja nyuma yangu.
Nilikuwa nimefahamiana naye kwa muda wa wiki mbili tu baada ya kukutana naye pale dispensary ya chuo, japo nilikuwa nikimuona hapo chuoni mara kwa mara.
Nilimkuta hapo amejiinamia kwenye benchi pale dispensary nikamsalimia, akainua shingo na kuitikia salamu yangu. Kiufupi alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya kichwa.
Baada ya kupata huduma ndipo nikamuuliza anaitwa nani, jina lake linafanana kabisa na jina la mama yangu. Nilimueleza kuwa jina lako na la mama yangu yanafanana.
Tukabadilishana namba na nikawa namjulia hali kuhusiana na ugonjwa wake. Lakini niligundua pia ana jamaa yake ambaye ni mfanyakazi na wanatarajia kuoana. Hii ilinifanya nirudishe majeshi na harakati zangu nyuma.
Baada ya siku chache binti alipona na mawasiliano naye yakawa yamepungua sana. Binti alikuwa haonyeshi ushirikiano sana maana licha ya kumwalika lunch na kumkaribisa room alikataa kabisa. Aliwahi kuja mpaka mlangoni mwa chumbani kwangu lakini hakuingia ndani na alisisitiza kuwa hawezi kuingia. Nikampotezea, nikaacha kupiga simu na kumwandikia meseji.
Kuna siku alinikuta Arch Plaza nimekaa na binti mmoja mrembo tukifanya assignment, akaandika meseji naona upo na wifi. Nikajibu ndio si unajua hapa bila mpenzi maisha yanakuwa magumu.
Siku mbili kabla ya uchaguzi akanipigia simu, ilikuwa majira ya saa nne usiku.Tulipokuwa tunatembea akaniuliza "hivi yule ni mwanamke wako kweli?! Nikamjibu hapana nilikutania tu. Akaniambia yupo Geti Dogo anahitaji chipsi na Cafteria zimeisha (wakati huo Cafteria zilikuwa mbili tu - Kwa Baba Frank na Geti dogo)
Aliomba nimsindikize pale darajani ili akanunue, bila kikwazo nikamsindikiza na hatimaye binti akapata chakula.
Tulipokuwa tunatembea akaniuliza "hivi yule ni mwanamke wako kweli?! Nikamjibu hapana nilikutania tu. Tulirudi na kila mtu akaenda chumbani kwake.
Sasa, usiku wa kuamkia siku ya uchaguzi majira ya saa mbili watu wakiwa wamekusanyika mbele ya jengo la High Cost wakiimba na kufanya kampeni za wagombea wao, nilikuwa nimetulia peke yangu chumbani kwangu ghorofa ya tatu.
Ghafla mlango ukagongwa nikafungua mlango na kukutana na binti akiwa amevaa skirt fupi ya jeans na t-shirt nyepesi. Nilimkaribisha na kumuuliza kulikoni saa hizi? Dada akajibu huku analengwa na machozi Joe amenisaliti.
Nikamkumbatia na kumwambia pole sana huku nikimkalisha kitandani.
Kilichofuata ni kumbembeleza kwa karibu saa nzima, ndipo nikagundua jamaa alikuwa amempa mimba binti mwingine huko mtaani. Nikajiuliza sana yaani jamaa ana mwanamke mzuri na mpole hivi bado anatembeza rungu na kutia mimba huko nje.
Katika kumshika shika na kumbembeleza binti aliweka mikono yake kwenye mapaja yangu badala ya kupata huzuni nikajikuta nyege na dushe limesimama. Mikono yangu ilikuwa inazunguka mgongoni, pembeni ya tumbo, sehemu ya pembeni za maziwa, kiunoni huku nikakutana na shanga, hizi zikanipa mzuka zaidi.
Baada ya muda binti akainua shingo tukaanza kukiss. Nilimlaza kitandani nikavua skirt na blauzi nikajilia vyangu bila kutarajia wakati wengine wakifanya kampeni huko nje.
Ule uchaguzi ndio alishinda jamaa anaitwa somebody Masawe (waliokuwa ardhi watakumbuka).
Tuliendelea kulana na huyu binti kwa kipindi chote nilichokuwa chuoni na baadaye Mwenge.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata sijui aisee. Ila huenda ni huu uzi maana alikwa analalamika some of the stories zinafutwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikula ban kwa kulalamika dhidi ya tabia za mods kufuta baadhi ya nyuzi.zilizokuwepo humu. Wasingefuta nadhani zingekuwa zaidi ya 7000.

Nami nililalamika sana maana sikuona sababu ya kufutwa. Hazikuwa na kitisho chochote dhidi ya usalama wa mtu binafsi (human security) au usalama wa kikundi/jamii (societal security) wala usalama wa taifa (national security). Naamini walifuta kwa sababu zao za hovyo tu nadhani wivu baada ya kudindisha kwa kusoma pono

Bazazi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Actually wewe ni Malaya tu unaonekana.
Achana na story za uzi huu, hata story za nyuzi zingine, nature ya comments zako, nyuzi unazoandika mwenyewe.

Kifupi hulka ya mtu huonekana kwa mambo matatu... Uongeaji wake, Uvaaji wake na Ulaji wake.

Kwa kuwa hapa hatuongei, tunaagalia uandikaji.

Wewe ni Malaya. Wanaume wa humu hawakuambii tu, wanakupa misifa ya kijinga ili ufunguke wee ujivue nguo wafurahi.

Kuna hulka ya wanawake yani mwanaume mwenye akili tumamu anaona kabisa hapa zero tu. Hamna kitu.
Mfano nzuri wewe na Mzigua90.
Akireply naomba plz unitag...ngoja nifate popcorn
 
Mama ugumu ulikuwa unamsumbua nyegezi za kutosha,huyo demu aliona utamshushia credit anatombwaje na boda boda watu wasiojitambua marasta kama kr mulla o da baba.
Miaka kadhaa nyuma kabla sijapata ajira ya kudumu huku bandarini nilijiajiri kwenye biashara ya bodaboda.katika harakati zangu za kazi nikatokea kuzoeana na binti mmoja hivi mbichi mweupe pe sura ya kawaida kwao mambo safi ni wa kishua kiufupi hiyo ni baada ya kumpa huduma ya usafiri.baadae akachukua namba yangu kwa minajili ya pindi ahitajipo usafiri anishtue kwa kigezo eti me ni msafi nanukia pia naendesha kwa makini amependa uendeshaji wangu na mambo kadha wa kadha kama mziki na vinginevyo!



Basi ikawa aninipigia nampeleka anakoenda ananilipa fresh na sometimes ananiambia keep change (alikua vizuri kiuchumi maana anafundisha shule moja ya English medium alikua ticha huyu bibie) nikawa nimezoeleka sana pale kwao mpaka mda mwingine aniniagiza vitu nampelekea home kwao pia mama ake alinizoea nikawa nampeleka kwenye mizunguko yake na yeye.



Katika hali isiyo ya kawaida nikajikuta nimemtongoza bila kujipanga niliamini hawezi ruka kwa sababu alikua ananisifia sana mara umependeza mara dredi zako nazipenda na sifa kedekede nikajua amenielewa! Alafu kilichonipa imani ni kwamba alikua anakulana na mshikaji mmoja hivi mfanyakazi wa hiyo shule sekta ya upishi goigoi sana Levo zangu hagusi nimemwacha mbali nikajipa moyo kwamba kama yule mchizi mluga luga hapendezi kamla me ntashindwaje? Lahaula! Kumbe kila shetani na mbuyu wake mazee demu aliruka futi mia alafu akapanic kinoma na kejeli kibao mara siwezi kudate na bodaboda Tabaka LA chini nikamaindi nikakata simu akawa akinipigia sipokei kibarua kikaota nyasi




Nipo kijiweni sina hili wala lile kaja pale kanichamba sana mbele ya kadamnasi Mimi siyo levo zake ( mabinti ambao wasomi wenye vihela nadhani mnajua nyodo na maringo yao) na vitu kama hivo shombo kibao nilpata aibu ya mwaka hili tukio sipendi kulikumbuka nikamlaani laana zote. Nikampotezea maana nilmtongoza kimasihara tu hata angekataa fresh maana nilkua na mademu wengi kama mjuavyo bodaboda hawanaga demu mmoja. Ila kikubwa nilitaka kuhakikisha kama ni squirter maana mpishi wake baada ya kuachana nae alitangazia jamii kwamba demu anamwaga maji ukikulana nae kitandani utandike turubai maana kitanda kitalowa



Siku wiki zikapita siku ya siku mamake kanipigia nimfuate mahali nimpeleke nyumbani kwake. Wakati tupo safarini kuelekea home akawa amenikambatia sana akiogopa kuanguka maana alikua tungi kiasi flani sio cha kutojielewa halafu barabara ilkua mashimo kibao. Nimemfikisha kwake kaniomba nikamuwashie taa za nje saa moja na nusu usiku wakati natoka tukakutana mlangoni zero distance alivyonishika nikajua bibi mdashi ana nyege akanisukumia ndani anataka mpini nikakumbuka jinsi binti yake alivyonidhalilisha nikaona pale ndo kulipia kisasi nilmchapa nao palepale sebuleni kwenye masofa aisee nilmpelekea moto yule mama sio kwa hisia ila kwa hasira na dharau za binti yake. Shoo ilipgwa pale huku chombo yangu nimeipaki nje ya geti na funguo nimeacha nje sikujali nia yangu nilipe kisasi. Baadae maza kaleta mapenzi sana mpaka mwanae kaja kujua akanilaani na yeye na kuninunia. Nilivyomaliza kanipa elfu kumi akasema chenchi Baki nayo huku akisisitiza kwamba aninielewa kitambo nikajua kumbe ilkua janja ya yule mama lile tukio zima alikua amelipanga




Baadae nikaja sikiaga stori kwamba yule mama Mme wake alikufa kwa umeme aisee niliishi kwa mashaka sana siendi kupima nikikohoa kidogo najua tayari ukimwi huo.siku ya siku nikaumwa serious mpaka kufikia kutokujitambua bro kanipekeka hospital alinifanyia chekapu mwili mzima kanipima magonjwa kibao kanipima mpaka ukimwi kuja kupona ndo kanielekeza sina ngoma alinipima maradhi kibao.


Aisee kula tunda kimasihara kunaambatana na stress na manyanyaso yake wazee. Yangu ni hiyo tu



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eeeeh hii ni vita mbona..... Sijui ni ya Waajemi na Marekani ama Marekani na Mr Rocket man
Actually wewe ni Malaya tu unaonekana.

Hulka ya mtu huonekana kwa mambo matatu... Uongeaji wake, Uvaaji wake na Ulaji wake.

Kwa kuwa hapa hatuongei, tunaagalia uandikaji.

Wewe ni Malaya. Wanaume wa humu hawakuambii tu, wanakupa misifa ya kijinga ili ufunguke wee ujivue nguo wafurahi.

Kuna hulka ya wanawake yani mwanaume mwenye akili timamu anaona kabisa hapa zero tu. Hamna kitu.
Mfano nzuri wewe na Mzigua90.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakijibu na wewe ujibu vilevile sisi tupo kusikiliza hapa hapa
Actually wewe ni Malaya tu unaonekana.

Hulka ya mtu huonekana kwa mambo matatu... Uongeaji wake, Uvaaji wake na Ulaji wake.

Kwa kuwa hapa hatuongei, tunaagalia uandikaji.

Wewe ni Malaya. Wanaume wa humu hawakuambii tu, wanakupa misifa ya kijinga ili ufunguke wee ujivue nguo wafurahi.

Kuna hulka ya wanawake yani mwanaume mwenye akili timamu anaona kabisa hapa zero tu. Hamna kitu.
Mfano nzuri wewe na Mzigua90.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay.

Kumbe no freedom. Anyway ngoja tupige kimya. Maana hawakawii kutula vichwa na sisi.
Alikula ban kwa kulalamika dhidi ya tabia za mods kufuta baadhi ya nyuzi.zilizokuwepo humu. Wasingefuta nadhani zingekuwa zaidi ya 7000.

Nami nililalamika sana maana sikuona sababu ya kufutwa. Hazikuwa na kitisho chochote dhidi ya usalama wa mtu binafsi (human security) au usalama wa kikundi/jamii (societal security) wala usalama wa taifa (national security). Naamini walifuta kwa sababu zao za hovyo tu nadhani wivu baada ya kudindisha kwa kusoma pono

Bazazi



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama debora mama la mama....heshima kwako.

Hebu tupe kisa ulivyo toa tunda kimasihara enzi za ujana bwana.....

Sio umalaya mama bali ni just life coincidence...

Mwache demis aongee kile anachotaka.
Actually wewe ni Malaya tu unaonekana.

Hulka ya mtu huonekana kwa mambo matatu... Uongeaji wake, Uvaaji wake na Ulaji wake.

Kwa kuwa hapa hatuongei, tunaagalia uandikaji.

Wewe ni Malaya. Wanaume wa humu hawakuambii tu, wanakupa misifa ya kijinga ili ufunguke wee ujivue nguo wafurahi.

Kuna hulka ya wanawake yani mwanaume mwenye akili timamu anaona kabisa hapa zero tu. Hamna kitu.
Mfano nzuri wewe na Mzigua90.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mkuu kimasihara ukapata mpaka jiko

Sent from my SM-A105F using Tapatalk

sasa jamaa wa lindi branch nawajua wote alafu wanangu daah umepiga mwanamke wa kija John,Kalist na bwana lucas, kama sio yule mzee alostaaf, uliwaonea sana washkaji zangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣...kwa hili bwana john ntamcheka sana 🤣🤣🤣🤣, kujifanya mjanya alafu kazidiwa ujanja


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Actually wewe ni Malaya tu unaonekana.

Hulka ya mtu huonekana kwa mambo matatu... Uongeaji wake, Uvaaji wake na Ulaji wake.

Kwa kuwa hapa hatuongei, tunaagalia uandikaji.

Wewe ni Malaya. Wanaume wa humu hawakuambii tu, wanakupa misifa ya kijinga ili ufunguke wee ujivue nguo wafurahi.

Kuna hulka ya wanawake yani mwanaume mwenye akili timamu anaona kabisa hapa zero tu. Hamna kitu.
Mfano nzuri wewe na Mzigua90.
Duuh mkuu hawa watu unaugomvi nao binafsi?? Sasa kama huyo shemej yangu Mzigua90 anahusikaje kwnye huu uzi kwnza tu sijamuona akitia mguu hapa tangu uzi umeanza, pili kumuhukumu mtu kwa kumuita malaya kwa kile anachokitirirsha hapa eti ni kwasbabu mwanamke kaumbwa na aibu hawez kusema mambo ya ndani public, unaweza kukuta wewe ni mchafu na unamatukio ya kutisha kuliko hata huyo Demis anaefunguka hapa jukwaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni dume hilo, wewe acha kulisifia hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke na ni daktari hospital fulani Old Bagamoyo Road....
Wengine hawajali sana hizo detail za kujaza kama ni KE au ME wanachotaka ni ID ya JF tu.
Wengine wameandika wamezaliwa 1920 sasa wewe ukisoma profile yake utaanza kubishana naye kuwa hawezi kuzaliwa 1920.
Ndio maana ya "anonymous" kuwa na ID inayoficha utambulisho wako.
Sasa jina feki halafu wewe unahangaika na details nyingine kwa shughuli gani? Unataka kumpa kitambulisho cha taifa?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Booooh boooh yani kiulaini sanaa huu uzi unatibu malazi mengi sana kwa hiyo dawa iongezeke

Baada ya kumaliza chuo nilipata kazi wilaya fulani morogoro uko ndanii sana kwanza nilipofika sikuamini kama kule ni moro ,nilijua dar moro karibu alafu weekend bata batani dsm weeh nilichoka kwanza ilichukua masaa 12 kufika tuuh ,yani nilitamani nilie mazingira ovyoo sana alafu ilikuwa masika barabara mbovuu kishenzi

Kesho nikaripoti job kishingo upande sana ,wakanionesha mazingira kwa kuwa nilifikia guest ,kuna jamaa akaniambia tukakae geto kwangu kwanza kipindi unacheki mazingira ya kupata nyumba daah nikasema poa tulivyotoka job tukaenda mpka alipokuwa anaishi nikaoga nin jioni misele kama kawaida kitaa lakin mazingira ovyoo ayakunishawishi kabisa

Weekend mi uwa napenda kutoka yani club kama kawa si unajua ukizoea mambo ya chuo nin mitoko kama kawa ,akanipeleka pande fulani bush bush madem ovyoo niliboreka saa 5 tukarudi geto yani nilikonda kishenzi .Ikapita miezi kadhaa nikanunua vitu nikaamia kwangu na kazi ikawa inaendelea

Kuna siku moja mchana nikaenda bank kucheki salary mdogo mdogo sina habari mala napigwa bonge la ngumi la mgongo mmamae nilimind kugeuka nijibu mapigo kucheki kumbe mdada, ila anaonekana kama chizi chizi na gunia lake alafu ana fimbo sasa nikasimama saa ngapi fimbo ilo nikatoka nduki nikaingia bank kwa kuwa haikuwa mbali na pale bank.Nikaingia bank nikacheki balance zangu nikasepa sasa natoka askari akaniambia yule kichaa anakusubiria pale pita kwa uku mkwepe mhmh nikamjibu hapana ngoja nimpe chochote labda anashida .Kweli nafika pale nikatoa noti ya elfu 10 nikampa alifurahi aliruka ruka kagala gala mi nikasepa zangu

Sasa nikajiuliza uyu kichaa niaje mbona ana cheza pale karibu na bank na awamfukuzi aaah buushit nikapotezea .Bana bana toka siku ile akiniona ananikimbilia mpaka uwa namkwepa ,kuna siku tunapita na mshikaji usiku saa 2 kakusanya kuni kawasha moto nikajificha kwa mshikaji saa ngapi asinione alinirukia akatoa ndizi mfukon akanipa , nikampa elf 2 alifurah sis tukasepa njiani mi nikamenya ile ndizi nakula mshkaji alicheka yani we unakula uchafu uyo anaokota dampo kule mi nakutana nae kila siku .Tukaachana mi nikaenda home ,kumbe bana yule kichaa anatufata nyuma nyuma akajua napoishi sas ndio ilikuwa kero nikiludi job yupo nje ya getin ananiita mpenz wangu mwaaah anakimbia.

Weekend moja tukaenda bush part na jamaa angu kulikuwa na kipaimara alialikwa,tulipiga pombe sana dadeki niko chakari sanaa kufika saa 7 nikamwambia aisee jomba twende hom .Kule job kuna mdada nilikuwa namind sema akawa analeta mizinguo ooh mpaka unioe alikuwa anakujaga hom mala moja moja .Ile tunaludi mshikaji akaniambia leo umelewa sana aisee mpaka unayumba utafika hom kweli , nikamjibu nifikishe mpaka pale kwenye njia ya hom alafu we uludi , jamaa akanifikisha pale mi mdogo mdogo mala nashikwa mkono mpenzi wangu kugeuka yule kichaa, nikajikwaa nataka kuanguka akanidaka uku namsikia kwa mbali leo una nin mpenz jamani akanikokota mpaka hom nikafungua mlango yey akabaki nje uku mlango sijafunga mi kwenye kochi tiii .Sasa nikastuka nikaenda kufunga mlango nikamkuta akaniambia unanifungia mpenzi sasa na pombe nikamwambia ingia.Mala nikapepesuka nikampalamia wote chini ,ile chini pale joto joto la mwili tukagusana nikaona alaah na tungi mmboo hiyo nikamgusa chuchu ana cheka cheka tuuh nikapandisha gauni juu alafu lilikuwa chafu kishenzi navuta chupi akanishika mkono mhmh mhmh usifanye hivyo ,mi nikaendelea tukavutana nika win chupi kulee sas akabana mapaja nilishangaa alikuwa na nguvu sana ,si unajua wa jando tunajua wapi pakugusa mapaja yaachie akaguswa sehem 3 ngumu napanua tena nikakuta pwaaa mi uyo alikuwa na vvuzi dadeki ila nikapeleka mmboo ikakubali aisee kchaa kilitulia mbona

Dadeki alinikaba shingoni kwa nguvu mpaka pombe iliniisha ,baadae akatulia na mim nikajikamua lile bao lilikuwa zitoo sana nilihema ile naegemea kochi usingizi pale pale .Nastuka asubuhi lile dem la job linaniita nacheki pembeni hamna mtu kumbukumbu zina nijia dadeki nilijutia nikawaza uyu dem akumwona kweli .Nikaeka mazingira fresh lile dem likaingia tukapiga story mpaka mchana akasepa .Juma3 job jamaa akanivuta pembeni akasema jana umefanyaje sas nauliza kwa nin ,akajibu nanii kamwambia dem wangu, kafika kwako kamkuta yule kichaa ana toka ndani kwako alafu kavaa shati lako

Iliniuma kwa sababu ilienea sana kazini yani niloona bonge la noma ,Ila nikajiuliza maana machache nakumbuka alivaa chupi alafu ndani akuwa ovyo kama nilivyofikiria .Ikapita wiki 3 jamaa akaniambia mbona yule chizi simuoni tena shem wangu yule nilimind sema utani nin.Nikamwambia lakini mtam yani jamaa akasema tukitoka twende tukamcheki ,tulivyofika pale hamna uchafu wala nin tukawauliza wale maaskari wakasema ana karibia mwezi hawajamuona tena pale.

Wazee hii itaendelea.................. hofu itakuwa ndefu mnoo maana kuna kisa kingine mbelee yake xoooooo stay waiiiiiiiiit

Mr jjjjjjjj
Jamaaa mwenye hichi kisa kagoma kabisaa kuendeleaaa [emoji29][emoji29][emoji29]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom