Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Akiweka muendelezo niite nami. Nimeipenda





Nakumbuka 2010 nilikula tunda kimasihara kwa rafiki wa mpenzi wangu.
Enzi za kusoma nilikua na demu flan hivi wa kusini, sasa alikua na rafiki yake kutoka Tanga. Baada ya kumaliza kidato cha Sita mi nikaendelea na Elimu ya juu ile demu wangu na rafiki yake hawakuweza kuendelea, sasa katika harakati za kutafuta elimu likizo moja niko morogoro nikakutana na huyo rafiki wa aliyekua demu wangu, basi story za hapa na pale tukabadirishana namba za simu. Tukapanga tuonane ili tupige story za maisha na aliomba Nimshauri jambo Fulani.
Tukapanga tukutane sehemu tulivu, mtu Mzima nikachukua chumba lodge karibu na saba saba , kuna hotel kwa pembeni. Mara nikapokea ujumbe " uko wapi shem" nikampa maelekezo achukue Bodaboda Hadi nilipo. Mara pap mtoto huyu hapa kala suluali ya jinsi imemkaa vizuri na top nyeupe juu, yaani mate ya uchu yalinitoka kwa uzuri wake. Alikua na jicho , mwanya na weupe usio na harara wala chunusi, nikasema waoooo! .
Nikamkaribisha pale hotel akaketi, tukapiga story za rafiki yake kidogo, Mara Oooh story zako ninazo jinsi ulivyokua unampagawisha rafiki yangu. Hapo nikajua tayari navua Samaki wangu bila chambo.Nikaahiza misosi tukala watu walipoanza kuongezeka nikamwambia macho yatu hayo tuhamie private kana hutojali shem wangu, akakubal tukazama room.
Amekaa kwenye kiti cha mgeni mi nipo kitandani, nikamtest "karibu kitandani kupumzika ", akaguna ! Kisha akasogea, basi nikaanza kumsifia pale alivyoumbika anajichekesha, nikimuangalia kitopu kimepanda naona kitovu cha kutitia damu Inakwenda mbio si mchezo.
Nikaanza kumchezea hakuleta upinzani , basi nikashusha jinsi mtoto kavaa bikini flani ya pink very attractive, papuch imevimba kumbe alikua na nyege za kutosha kaloa tepetepe.
Basi nilikula mzigo bao zangu 3 safi, tukaagana, ikawa kila nikitaka nakula mzigo hadi nilimaliza chuo na kuanza maisha mengine.
Namkumbuka ndiyo demu mweupe niliyewahi kumla Tangu nianze kuchezea papuchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupenda bure, upo real Sana, kuliko hawa wanaojifanya watakatifu uchwara wanaoishia kuliwa na viongozi wao wa dini.Malaya wapo wengi ila hawana saut wacha njwasaidie kujieleza na kama wewe siyo Malaya huwez pita kwenye huu uzi kuja kucoment kwenye comment ya demiss jiulize sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupenda bure, upo real Sana, kuliko hawa wanaojifanya watakatifu uchwara wanaoishia kuliwa na viongozi wao wa dini.
Hongera sana.
Haya ni mapito tu ya maisha na hapa tupo kupeana experience na sio kunyoosheana vidole.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ninyi ndyo mlihamishiwa Mwenge University kipindi kile?Miaka kadhaa nyuma chuo cha Ardhi, kilikuwa kipindi cha uchaguzi wa Rais na Makamu rais wa Serikali ya wanafunzi.
Siku moja kabla ya uchaguzi, watu wakiwa kwenye harakati za kuhakikisha wagombea wao wanapata kura binti wa kisukuma alinutunuku tunda kimasihara kabisa.
Huyu binti alikuwa mwaka mmoja nyuma yangu.
Nilikuwa nimefahamiana naye kwa muda wa wiki mbili tu baada ya kukutana naye pale dispensary ya chuo, japo nilikuwa nikimuona hapo chuoni mara kwa mara.
Nilimkuta hapo amejiinamia kwenye benchi pale dispensary nikamsalimia, akainua shingo na kuitikia salamu yangu. Kiufupi alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya kichwa.
Baada ya kupata huduma ndipo nikamuuliza anaitwa nani, jina lake linafanana kabisa na jina la mama yangu. Nilimueleza kuwa jina lako na la mama yangu yanafanana.
Tukabadilishana namba na nikawa namjulia hali kuhusiana na ugonjwa wake. Lakini niligundua pia ana jamaa yake ambaye ni mfanyakazi na wanatarajia kuoana. Hii ilinifanya nirudishe majeshi na harakati zangu nyuma.
Baada ya siku chache binti alipona na mawasiliano naye yakawa yamepungua sana. Binti alikuwa haonyeshi ushirikiano sana maana licha ya kumwalika lunch na kumkaribisa room alikataa kabisa. Aliwahi kuja mpaka mlangoni mwa chumbani kwangu lakini hakuingia ndani na alisisitiza kuwa hawezi kuingia. Nikampotezea, nikaacha kupiga simu na kumwandikia meseji.
Kuna siku alinikuta Arch Plaza nimekaa na binti mmoja mrembo tukifanya assignment, akaandika meseji naona upo na wifi. Nikajibu ndio si unajua hapa bila mpenzi maisha yanakuwa magumu.
Siku mbili kabla ya uchaguzi akanipigia simu, ilikuwa majira ya saa nne usiku.Tulipokuwa tunatembea akaniuliza "hivi yule ni mwanamke wako kweli?! Nikamjibu hapana nilikutania tu. Akaniambia yupo Geti Dogo anahitaji chipsi na Cafteria zimeisha (wakati huo Cafteria zilikuwa mbili tu - Kwa Baba Frank na Geti dogo)
Aliomba nimsindikize pale darajani ili akanunue, bila kikwazo nikamsindikiza na hatimaye binti akapata chakula.
Tulipokuwa tunatembea akaniuliza "hivi yule ni mwanamke wako kweli?! Nikamjibu hapana nilikutania tu. Tulirudi na kila mtu akaenda chumbani kwake.
Sasa, usiku wa kuamkia siku ya uchaguzi majira ya saa mbili watu wakiwa wamekusanyika mbele ya jengo la High Cost wakiimba na kufanya kampeni za wagombea wao, nilikuwa nimetulia peke yangu chumbani kwangu ghorofa ya tatu.
Ghafla mlango ukagongwa nikafungua mlango na kukutana na binti akiwa amevaa skirt fupi ya jeans na t-shirt nyepesi. Nilimkaribisha na kumuuliza kulikoni saa hizi? Dada akajibu huku analengwa na machozi Joe amenisaliti.
Nikamkumbatia na kumwambia pole sana huku nikimkalisha kitandani.
Kilichofuata ni kumbembeleza kwa karibu saa nzima, ndipo nikagundua jamaa alikuwa amempa mimba binti mwingine huko mtaani. Nikajiuliza sana yaani jamaa ana mwanamke mzuri na mpole hivi bado anatembeza rungu na kutia mimba huko nje.
Katika kumshika shika na kumbembeleza binti aliweka mikono yake kwenye mapaja yangu badala ya kupata huzuni nikajikuta nyege na dushe limesimama. Mikono yangu ilikuwa inazunguka mgongoni, pembeni ya tumbo, sehemu ya pembeni za maziwa, kiunoni huku nikakutana na shanga, hizi zikanipa mzuka zaidi.
Baada ya muda binti akainua shingo tukaanza kukiss. Nilimlaza kitandani nikavua skirt na blauzi nikajilia vyangu bila kutarajia wakati wengine wakifanya kampeni huko nje.
Ule uchaguzi ndio alishinda jamaa anaitwa somebody Masawe (waliokuwa ardhi watakumbuka).
Tuliendelea kulana na huyu binti kwa kipindi chote nilichokuwa chuoni na baadaye Mwenge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu Mwenge ya hapo ni Mwenge ebeo wilaya Kinondoni.
Kweliiiii de cuteYani elimu inahitajika kwa baadhi ya watu uhuru wa kujieleza unatusumbua misukule ya Africaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli na wengine maisha yamekuwa magumu sana kwao yaani wamesahau kabisa kwamba wanahitaji kuwa na furaha.Yani elimu inahitajika kwa baadhi ya watu uhuru wa kujieleza unatusumbua misukule ya Africaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app




kweli kabisa mkuu
Nachokipenda kwnye huu uzi kwakwl hauna ubaguzi tunadinda wote wasomaji na mods!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli na wengine maisha yamekuwa magumu sana kwao yaani wamesahau kabisa kwamba wanahitaji kuwa na furaha.
Wamebaki na chuki, hasira na roho mbaya ku-judge watu wengine badala ya kushughulika na maisha yao. Achana naye mwache atangulie mbinguni na utakatifu wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake tunaliwa sana kimasihara ila tukisema tuandike mnasema sisi Malaya duuuh
Sent using Jamii Forums mobile app
Si mzee baba katika rekodi zake, rangi nyeupe kakutana nayo Mara moja maisha yake yote.
Anakwamaa sanaaSi mzee baba katika rekodi zake, rangi nyeupe kakutana nayo Mara moja maisha yake yote.





Leta visa tu mdada, achana na watu wenye frustrations za maisha, hapa kuna visa zaidi ya 3000, means kwenye visa hivi kuna wanawake zaidi ya 3000 pia walio liwa kimasihara,ina maana wote malaya hao??
Kwenye visa vingi vinaelezea mmoja wapo anakuwa anatengeneza mazingira,vingine vinaelezea wote Me/Ke wanatengeneza mazingira na vingine vinaelezea wote mnakuwa mamtarajii inatokea tu!! Huyo anaejiona decent sana atupishe asituharibie uzi wetu, aanzishe wake wa ma decent wenzie!!
Sent using Jamii Forums mobile app




daah baharia kazingua
Mzee wacha na mimi niilete hii!!
Kipindi niko o'level nilikuwa nikisoma Moshi ila kuna msala nilifanya shule ikabidi nihamishwe shule,so nikahamishiwa mkoani Iringa kwa uncle,ilikuwa shule ya day na mimi nlikuwa natokea home kwa uncle,basi bwana kama unavyojua shule za mikoani ukihamia mgeni shobo nyingi madem ata washkaji walikuwa wananikubali sana ukizingatia nilikuwa vizuri sana kwenye mathematics na football winga mmoja hatari sana!!
Basi kuna wana wakawa washkaji, hawa wana wapo 3 wamepanga geto moja kwa sababu kwao ni mbali na shule,na lile geto tulikuwa tukiliita "Old Trafford" mtu akiwa na demu anapeleka pale kutanfuna ila sheria ni moja "lazima aache wana tupige chabo"...
Basi kuna mwanetu akaopoa dem (wale wa kukosea namba)dem alikuwa na sauti nzuri balaa, hakuna aliyewahi kumuona huyo dem ni kuongea nae kwenye simu tu,siku hio jamaa akapanga na dem aibuke aje kumchek jamaa (dem alikuwa anatoka sehem moja panaitwa tanangozi),basi ikabidi tutoroke shule kwenda kumpokea huyu shemeji yetu maana kila mtu alikuwa na hamu sana ya kumuona kutokana na sauti yake kwenye simu!
Picha linaanza tupo stand pale dem kashuka kavaa tracksut(zile za wakuu wa mikoa wanavaaga jumamosi) dem mweusi tii,anachunusi kubwa hatari alafu zimeiva za njanoo mbaya kishenzi,jamaa akataka amkimbie tukampliz sio poa nenda tu, jamaa akamchukua dem mpaka mageton sisi tupo nyuma yao tunacheka balaa mpaka jamaa akaishiwa pozi, tumefika mageton makubaliano dem alale siku moja kesho arudi kwao,sisi tupo dirishan apo tunacheka hatari dem anamshika shika mwana, mwana kajikausha kama sio yeye, jamaa akawa anaombwa mchezo na dem jamaa hataki sisi huku tunacheka sana, tumekaa dirishani pale mpaka saa 7 hola tukasepa!!
Kesho yake ambayo dem ilibidi arudi kwao,dem hataki kwao kakaza palepale magetoni hataki kuondoka dem alikuja na viazi kibao kuja kuanza maisha na mwamba, ilibidi tuingilie kati tutumie nguvu dem asepe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ilikua chai haifikirishi hata kidogo yaan huo ujasiri hauwezekani jamaa atoke kwenda kuongea na Simu alafu wewe upige viwili hapana aiseeHivyo jamaa aliporudi alimla demu wake au iliishia hivyo hivyo