Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mabaharia tukiwa tunakula matunda kimasihara, tukumbe tu kuwa huu ni mwezi December, huyo anaekubali kuliwa kimasihara anakuwa kajilengesha maksudi ili uwe tegemeo lake mpaka January..hakikisha baada ya kumkula kimasihara yaani kusiwepo na mawasiliano yeyote yale baina yenu..
cheka_tu_-20191213-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • cheka_tu_-20191213-0001.jpeg
    cheka_tu_-20191213-0001.jpeg
    41.6 KB · Views: 74
Nilivyoliwa kimasihara na member wa Jf.

Huyu alikuwa rafiki yangu tu wa jf na nje ya jf tulikuwa tunashirikiana mambo mbalimbali .

Sasa wakati nimepishana na mpenzi wangu tukagombana yeye alikuwa ndiye mshauri mkubwa kwangu .

X wangu ni mtu aliyenifanya nikose raha yani nikawa naumwa sana baada ya kutokea ugomvi maana alinitapeli pesaa kama laki 8 na huyu member wa jf alinionea huruma kwa kunipa moyo na mawazo mbalimbali.

Nakumbuka wakati mambo yote yanatokea niliomba likizo ya siku 14 nikidanganya naumwa maana kitendo cha kuachana na mpenzi wangu niliyemuamini kiliniathiri sana kisaikolojia.

Kufupisha story baada ya kupata hiyo likizo nikampigia rafiki yangu wa jf juu ya likizo na ninavyotaka kwenda sehemu kupumzisha akili.
Basi akaniambia ana safar ya Songea kikazi hivyo kama nitapendezwa niende huko nikapumzike kwa hizo siku atanichukulia room hotelin nitulie kuweka sawa akili.

Kama kawaida nikapanda gari kutoka Dom mpaka songea akanipokea vizur nikafikia hotel ya Ruhuwiko hunt club ya Songea .

Akanifikishia kwenye chumba alichofikia tukapiga story za kutosha akanipa moyo akanishauri mambo mengi sana mpaka nikawa kawaida kabisaa basi usiku akatoka akaniacha mwenyewe nikaoga nikaagiza chakula nikala nikalala .

Ilipofika saa NNE usiku akaja jaman kilichotokea hapo ni kuliwa tunda kimasihara bila hata ya mtongozo .

Baada ya hapo ikawa ni mwendo wa kulana na mahaba moto moto ndani ya siku 7.

Tunamaliza miezi 10 mpaka sasa tukikutana tunakulana kwa mahaba moto moto. Kuna siku alikuja tena Dodoma nikaenda tukakulana kama kawaida na saivi nimekuja dar nasubiria arudi huko Dubai nimpe tena tunda la kimasihara.


Najua utapita hapa ila duh wewe mkaka ni mtu wa tofauti sana una mwili fulan msafi kukumbatiwaa mtamuu nataman nikutagi ila kuna mafisi hawachelewi kukupa mazagaa ya porojo.


Demiss VEO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chai ya rangi hiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka kadhaa nyuma kabla sijapata ajira ya kudumu huku bandarini nilijiajiri kwenye biashara ya bodaboda.katika harakati zangu za kazi nikatokea kuzoeana na binti mmoja hivi mbichi mweupe pe sura ya kawaida kwao mambo safi ni wa kishua kiufupi hiyo ni baada ya kumpa huduma ya usafiri.baadae akachukua namba yangu kwa minajili ya pindi ahitajipo usafiri anishtue kwa kigezo eti me ni msafi nanukia pia naendesha kwa makini amependa uendeshaji wangu na mambo kadha wa kadha kama mziki na vinginevyo!



Basi ikawa aninipigia nampeleka anakoenda ananilipa fresh na sometimes ananiambia keep change (alikua vizuri kiuchumi maana anafundisha shule moja ya English medium alikua ticha huyu bibie) nikawa nimezoeleka sana pale kwao mpaka mda mwingine aniniagiza vitu nampelekea home kwao pia mama ake alinizoea nikawa nampeleka kwenye mizunguko yake na yeye.



Katika hali isiyo ya kawaida nikajikuta nimemtongoza bila kujipanga niliamini hawezi ruka kwa sababu alikua ananisifia sana mara umependeza mara dredi zako nazipenda na sifa kedekede nikajua amenielewa! Alafu kilichonipa imani ni kwamba alikua anakulana na mshikaji mmoja hivi mfanyakazi wa hiyo shule sekta ya upishi goigoi sana Levo zangu hagusi nimemwacha mbali nikajipa moyo kwamba kama yule mchizi mluga luga hapendezi kamla me ntashindwaje? Lahaula! Kumbe kila shetani na mbuyu wake mazee demu aliruka futi mia alafu akapanic kinoma na kejeli kibao mara siwezi kudate na bodaboda Tabaka LA chini nikamaindi nikakata simu akawa akinipigia sipokei kibarua kikaota nyasi




Nipo kijiweni sina hili wala lile kaja pale kanichamba sana mbele ya kadamnasi Mimi siyo levo zake ( mabinti ambao wasomi wenye vihela nadhani mnajua nyodo na maringo yao) na vitu kama hivo shombo kibao nilpata aibu ya mwaka hili tukio sipendi kulikumbuka nikamlaani laana zote. Nikampotezea maana nilmtongoza kimasihara tu hata angekataa fresh maana nilkua na mademu wengi kama mjuavyo bodaboda hawanaga demu mmoja. Ila kikubwa nilitaka kuhakikisha kama ni squirter maana mpishi wake baada ya kuachana nae alitangazia jamii kwamba demu anamwaga maji ukikulana nae kitandani utandike turubai maana kitanda kitalowa



Siku wiki zikapita siku ya siku mamake kanipigia nimfuate mahali nimpeleke nyumbani kwake. Wakati tupo safarini kuelekea home akawa amenikambatia sana akiogopa kuanguka maana alikua tungi kiasi flani sio cha kutojielewa halafu barabara ilkua mashimo kibao. Nimemfikisha kwake kaniomba nikamuwashie taa za nje saa moja na nusu usiku wakati natoka tukakutana mlangoni zero distance alivyonishika nikajua bibi mdashi ana nyege akanisukumia ndani anataka mpini nikakumbuka jinsi binti yake alivyonidhalilisha nikaona pale ndo kulipia kisasi nilmchapa nao palepale sebuleni kwenye masofa aisee nilmpelekea moto yule mama sio kwa hisia ila kwa hasira na dharau za binti yake. Shoo ilipgwa pale huku chombo yangu nimeipaki nje ya geti na funguo nimeacha nje sikujali nia yangu nilipe kisasi. Baadae maza kaleta mapenzi sana mpaka mwanae kaja kujua akanilaani na yeye na kuninunia. Nilivyomaliza kanipa elfu kumi akasema chenchi Baki nayo huku akisisitiza kwamba aninielewa kitambo nikajua kumbe ilkua janja ya yule mama lile tukio zima alikua amelipanga




Baadae nikaja sikiaga stori kwamba yule mama Mme wake alikufa kwa umeme aisee niliishi kwa mashaka sana siendi kupima nikikohoa kidogo najua tayari ukimwi huo.siku ya siku nikaumwa serious mpaka kufikia kutokujitambua bro kanipekeka hospital alinifanyia chekapu mwili mzima kanipima magonjwa kibao kanipima mpaka ukimwi kuja kupona ndo kanielekeza sina ngoma alinipima maradhi kibao.


Aisee kula tunda kimasihara kunaambatana na stress na manyanyaso yake wazee. Yangu ni hiyo tu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom