sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Okay.
Kumbe no freedom. Anyway ngoja tupige kimya. Maana hawakawii kutula vichwa na sisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe no freedom. Anyway ngoja tupige kimya. Maana hawakawii kutula vichwa na sisi.
Alikula ban kwa kulalamika dhidi ya tabia za mods kufuta baadhi ya nyuzi.zilizokuwepo humu. Wasingefuta nadhani zingekuwa zaidi ya 7000.
Nami nililalamika sana maana sikuona sababu ya kufutwa. Hazikuwa na kitisho chochote dhidi ya usalama wa mtu binafsi (human security) au usalama wa kikundi/jamii (societal security) wala usalama wa taifa (national security). Naamini walifuta kwa sababu zao za hovyo tu nadhani wivu baada ya kudindisha kwa kusoma pono
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app

