Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Miaka kadhaa nyuma chuo cha Ardhi, kilikuwa kipindi cha uchaguzi wa Rais na Makamu rais wa Serikali ya wanafunzi.
Siku moja kabla ya uchaguzi, watu wakiwa kwenye harakati za kuhakikisha wagombea wao wanapata kura binti wa kisukuma alinutunuku tunda kimasihara kabisa.
Huyu binti alikuwa mwaka mmoja nyuma yangu.
Nilikuwa nimefahamiana naye kwa muda wa wiki mbili tu baada ya kukutana naye pale dispensary ya chuo, japo nilikuwa nikimuona hapo chuoni mara kwa mara.
Nilimkuta hapo amejiinamia kwenye benchi pale dispensary nikamsalimia, akainua shingo na kuitikia salamu yangu. Kiufupi alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya kichwa.
Baada ya kupata huduma ndipo nikamuuliza anaitwa nani, jina lake linafanana kabisa na jina la mama yangu. Nilimueleza kuwa jina lako na la mama yangu yanafanana.
Tukabadilishana namba na nikawa namjulia hali kuhusiana na ugonjwa wake. Lakini niligundua pia ana jamaa yake ambaye ni mfanyakazi na wanatarajia kuoana. Hii ilinifanya nirudishe majeshi na harakati zangu nyuma.
Baada ya siku chache binti alipona na mawasiliano naye yakawa yamepungua sana. Binti alikuwa haonyeshi ushirikiano sana maana licha ya kumwalika lunch na kumkaribisa room alikataa kabisa. Aliwahi kuja mpaka mlangoni mwa chumbani kwangu lakini hakuingia ndani na alisisitiza kuwa hawezi kuingia. Nikampotezea, nikaacha kupiga simu na kumwandikia meseji.
Kuna siku alinikuta Arch Plaza nimekaa na binti mmoja mrembo tukifanya assignment, akaandika meseji naona upo na wifi. Nikajibu ndio si unajua hapa bila mpenzi maisha yanakuwa magumu.
Siku mbili kabla ya uchaguzi akanipigia simu, ilikuwa majira ya saa nne usiku.Tulipokuwa tunatembea akaniuliza "hivi yule ni mwanamke wako kweli?! Nikamjibu hapana nilikutania tu. Akaniambia yupo Geti Dogo anahitaji chipsi na Cafteria zimeisha (wakati huo Cafteria zilikuwa mbili tu - Kwa Baba Frank na Geti dogo)
Aliomba nimsindikize pale darajani ili akanunue, bila kikwazo nikamsindikiza na hatimaye binti akapata chakula.
Tulipokuwa tunatembea akaniuliza "hivi yule ni mwanamke wako kweli?! Nikamjibu hapana nilikutania tu. Tulirudi na kila mtu akaenda chumbani kwake.
Sasa, usiku wa kuamkia siku ya uchaguzi majira ya saa mbili watu wakiwa wamekusanyika mbele ya jengo la High Cost wakiimba na kufanya kampeni za wagombea wao, nilikuwa nimetulia peke yangu chumbani kwangu ghorofa ya tatu.
Ghafla mlango ukagongwa nikafungua mlango na kukutana na binti akiwa amevaa skirt fupi ya jeans na t-shirt nyepesi. Nilimkaribisha na kumuuliza kulikoni saa hizi? Dada akajibu huku analengwa na machozi Joe amenisaliti.
Nikamkumbatia na kumwambia pole sana huku nikimkalisha kitandani.
Kilichofuata ni kumbembeleza kwa karibu saa nzima, ndipo nikagundua jamaa alikuwa amempa mimba binti mwingine huko mtaani. Nikajiuliza sana yaani jamaa ana mwanamke mzuri na mpole hivi bado anatembeza rungu na kutia mimba huko nje.
Katika kumshika shika na kumbembeleza binti aliweka mikono yake kwenye mapaja yangu badala ya kupata huzuni nikajikuta nyege na dushe limesimama. Mikono yangu ilikuwa inazunguka mgongoni, pembeni ya tumbo, sehemu ya pembeni za maziwa, kiunoni huku nikakutana na shanga, hizi zikanipa mzuka zaidi.
Baada ya muda binti akainua shingo tukaanza kukiss. Nilimlaza kitandani nikavua skirt na blauzi nikajilia vyangu bila kutarajia wakati wengine wakifanya kampeni huko nje.
Ule uchaguzi ndio alishinda jamaa anaitwa somebody Masawe (waliokuwa ardhi watakumbuka).
Tuliendelea kulana na huyu binti kwa kipindi chote nilichokuwa chuoni na baadaye Mwenge.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaha...Nishakujua nilikuona naye siku moja pale Seven ways


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wasalaam.

Zimesalia siku 20 tu mwaka 2019 uishe. Ni siku chache kweli kweli na zinakwenda kasi haswa.

Wengi watakuwa wanatafakari namna miezi 12 ilivyokwisha na huku wangali:

- Hawajatimiza malengo waliyojiwekea.

- Maisha yameharibika na kuvurugika.

- Familia zimesambaratika.

- Kupoteza ndugu jamaa na marafiki (misiba)

- Kuachwa/kusalitiwa ama kuachana.

- Kutimiza malengo ya kiuchumi na kifamilia.

- Kununua gari/kiwanja.

- Kujiwekea akiba.

- Kupata ulemavu.

- Kupoteza ajira nk.

Bila shaka kwa namna moja ama nyingine wengi tunaweza kuangukia katika masuala kama haya na mengine mengi.

Kwa kuanza na wale waliofanikisha malengo ya hapa na pale hongereni sana, haitoshi juhudu ziongezwe angalau mwaka ujao muwe pazuri zaidi.

Na wale kina wenzangu tuliofanikiwa kusajili kitambulisho cha NIDA, tupeane pole, maisha ndivyo yalivyo tusikate tamaa kwani kitambulisho nacho si mafanikio pia.

Mwenzangu umefanikisha nini mwaka 2019?

View attachment 1287987
 
Miaka kadhaa nyuma chuo cha Ardhi, kilikuwa kipindi cha uchaguzi wa Rais na Makamu rais wa Serikali ya wanafunzi.
Siku moja kabla ya uchaguzi, watu wakiwa kwenye harakati za kuhakikisha wagombea wao wanapata kura binti wa kisukuma alinutunuku tunda kimasihara kabisa.
Huyu binti alikuwa mwaka mmoja nyuma yangu.
Nilikuwa nimefahamiana naye kwa muda wa wiki mbili tu baada ya kukutana naye pale dispensary ya chuo, japo nilikuwa nikimuona hapo chuoni mara kwa mara.
Nilimkuta hapo amejiinamia kwenye benchi pale dispensary nikamsalimia, akainua shingo na kuitikia salamu yangu. Kiufupi alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya kichwa.
Baada ya kupata huduma ndipo nikamuuliza anaitwa nani, jina lake linafanana kabisa na jina la mama yangu. Nilimueleza kuwa jina lako na la mama yangu yanafanana.
Tukabadilishana namba na nikawa namjulia hali kuhusiana na ugonjwa wake. Lakini niligundua pia ana jamaa yake ambaye ni mfanyakazi na wanatarajia kuoana. Hii ilinifanya nirudishe majeshi na harakati zangu nyuma.
Baada ya siku chache binti alipona na mawasiliano naye yakawa yamepungua sana. Binti alikuwa haonyeshi ushirikiano sana maana licha ya kumwalika lunch na kumkaribisa room alikataa kabisa. Aliwahi kuja mpaka mlangoni mwa chumbani kwangu lakini hakuingia ndani na alisisitiza kuwa hawezi kuingia. Nikampotezea, nikaacha kupiga simu na kumwandikia meseji.
Kuna siku alinikuta Arch Plaza nimekaa na binti mmoja mrembo tukifanya assignment, akaandika meseji naona upo na wifi. Nikajibu ndio si unajua hapa bila mpenzi maisha yanakuwa magumu.
Siku mbili kabla ya uchaguzi akanipigia simu, ilikuwa majira ya saa nne usiku.Tulipokuwa tunatembea akaniuliza "hivi yule ni mwanamke wako kweli?! Nikamjibu hapana nilikutania tu. Akaniambia yupo Geti Dogo anahitaji chipsi na Cafteria zimeisha (wakati huo Cafteria zilikuwa mbili tu - Kwa Baba Frank na Geti dogo)
Aliomba nimsindikize pale darajani ili akanunue, bila kikwazo nikamsindikiza na hatimaye binti akapata chakula.
Tulipokuwa tunatembea akaniuliza "hivi yule ni mwanamke wako kweli?! Nikamjibu hapana nilikutania tu. Tulirudi na kila mtu akaenda chumbani kwake.
Sasa, usiku wa kuamkia siku ya uchaguzi majira ya saa mbili watu wakiwa wamekusanyika mbele ya jengo la High Cost wakiimba na kufanya kampeni za wagombea wao, nilikuwa nimetulia peke yangu chumbani kwangu ghorofa ya tatu.
Ghafla mlango ukagongwa nikafungua mlango na kukutana na binti akiwa amevaa skirt fupi ya jeans na t-shirt nyepesi. Nilimkaribisha na kumuuliza kulikoni saa hizi? Dada akajibu huku analengwa na machozi Joe amenisaliti.
Nikamkumbatia na kumwambia pole sana huku nikimkalisha kitandani.
Kilichofuata ni kumbembeleza kwa karibu saa nzima, ndipo nikagundua jamaa alikuwa amempa mimba binti mwingine huko mtaani. Nikajiuliza sana yaani jamaa ana mwanamke mzuri na mpole hivi bado anatembeza rungu na kutia mimba huko nje.
Katika kumshika shika na kumbembeleza binti aliweka mikono yake kwenye mapaja yangu badala ya kupata huzuni nikajikuta nyege na dushe limesimama. Mikono yangu ilikuwa inazunguka mgongoni, pembeni ya tumbo, sehemu ya pembeni za maziwa, kiunoni huku nikakutana na shanga, hizi zikanipa mzuka zaidi.
Baada ya muda binti akainua shingo tukaanza kukiss. Nilimlaza kitandani nikavua skirt na blauzi nikajilia vyangu bila kutarajia wakati wengine wakifanya kampeni huko nje.
Ule uchaguzi ndio alishinda jamaa anaitwa somebody Masawe (waliokuwa ardhi watakumbuka).
Tuliendelea kulana na huyu binti kwa kipindi chote nilichokuwa chuoni na baadaye Mwenge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi mkuu mlicheki afya kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakwambia ukweli we mama ni mtakatifu. Hakika kama kweli pepo ipo utaingia na ukikosa kuingia niite nitakupigania hadi ufike ndani.

Umeniliza baada ya kusoma hapa, nikiri wazi sio mpenzi wa masuala ya mahusiano au mapenzi lakini kitendo cha kupitiwa na kusoma hapa nimeanza amini yawezekana wapo wadada watakatifu. Wewe mama ni mtakatifu kubali kataa, wewe ni mtakatifu.

Mtakatifu Tiffany Mungu akuongoze, umeniliza hadi homa katika kichwa. Eeh Mungu nisamee nimeamini wapo watakatifu wanaishi.

Mama wewe ulibidi uwe katika pepo hivi sasa. Lahaullah la'kwata hakika nimeamini.

Nakutakia mema katika maisha. Lakini wewe ni mtakatifu utambuliwe.

Poor me.
Ni dume hilo, wewe acha kulisifia hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarehe 24/5/2013 natoka zangu Nachingwea kuja Dar na basi la Najma baada ya kumaliza shughuli iliyonipeleka ambayo ni ''submission of tender documents za miradi ya maji na barabara'',,tumetoka zetu Nachingwea na basi la Najma likiwa limejaza siti zote isipokuwa siti moja tu pembeni yangu tena ya dirishani,,,.

Tumetembea hadi kufika Lindi mjini,,wakati tunatoka kuchimba dawa pale stand,,namuona binti mmoja yupo na jamaa wanakumbatia na kupigana zile kises za mashavuni kuagana,,,baadae binti anaingia kwenye basi la letu na kuja moja kwa moja hadi kwenye siti ya pembeni yangu dirishani,,tunapeana salam then binti anaweka earphones masikioni akisikiliza nyimbo,,.

Tumeendelea na safari mpk kufika Nangurukulu ili tupate chakula na kuchimba dawa,,,jirani yangu yeye akagoma kushika akidai ataenda kula dar,,.nikamtania msafiri kafiri,,,kula japo kidogo tu,,,Nikashuka chini nikanunua chipsi kuku na chipsi samaki moja pamoja na soda za kopo mbili nikamletea then tukaendelea na safari.Kufika hapo ndo tukaanza story za hapa na pale na kutaka kumjua japo kidogo kama nae anaishi au ni mkazi wa Lindi,,, baadae ndo ananiambia alikuja kwa mpz wake ambae ndo yule aliyemsindikiza stand, na kuniambia anafanya kazi nmb bank, tawi lindi mjini.

Tumeendelea kupiga story sana mpk tukazoeana sana kiasi kwamba tunacheka mpk ananiegemea,,,wakati huo moyoni nawaza namna gani nitapata namba yake ya simu,,,Basi bana tumefika dar muda ya saa kumi na mbili hivi kasoro,,,namuliza unashukia wapi,,ananijibu mi nakaa mbezi beach,,,so naenda hadi ubungo then ndo nichukue usafiri wa daladala hadi kwao,,,namwambia kama hutojali tukifika ubungo twende hadi kimara korogwe nilipopanga then nikuchukue kwenye gari yangu nikupeleke maana kipindi hicho usafiri wa kawe,tegeta ni shida kupanda jioni.

Mtoto kakubali,,,tumefika ubungo tukachukua tax hadi kimara korogwe ambapo ndo nilipopanga ka apartment ka kizushi hivi,,,,tumefika kwangu fresh,,nikamwambia karibu ndani,,,upate japo chochote ilhali tunasubiria foleni ipungue kipande cha mwenge,- kawe,,,,mtoto kanielewa anasema oohh siburi nimwambie bebi wangu kama nimefika salama,,,,,kamaliza kuongea akaanza oohhh hapa unaishi na nani,,,namjibu nipo peke yangu,,,mchumba wangu bado yupo shule anasoma chuo,,akaanza ooohh haiwezekani lazima kuna mtu mwingine tu,,,pamepangika vizuri hivi,,,,haiwezekani,,,,,,nikamwambia kama kuna mtu hapa nisingeweza kukuleta,,,akaanza ooohhh wanaume nyie mara nyingi tu waongo,,,,nikamwambia imekuaje tena,,,,etiii ooohhh hata kule Lindi nimekuta jamaa yangu nae ana mambo mengi,,,mara najua tu atakuwa ana mwanamke huko,,,,nikamwambia acha kufikiria vitu vibaya wewe sio fresh,,, enjoy your love na jamaa,,,akaguna mhhh,,,,

Mara oohh mwanamke wako ana bahati sana unaonekana mstaarabu na mkarimu sana,,,,moyoni nikasema ungejua ungeomba tuondoke tu,,,,..

Nikamuagizia ndizi na mbuzi choma kutoka bar ya karibu miti mirefu,,,kwenye friji kulikuwa na saint Ann,nikamtolea ili wine kidogo achangamke huku tukipiga story mbili tatu,,huku mimi nikimlia timing ya kumla,,,

Baada ya muda anadai eti naomba nitumie bafu lako kuogea then nijiandae tusepe,,,nikamjibu wewe tu uchague bafu la public au chumbani kwangu,,,,alivyokuwa mjanja akachagua la public maana alijua tu akitoka kuoga lazima apite sitting room ambayo mimi nipo,,so lazima nione nyamanyama zilizofunga mwilini mwake,,,, katoka kuoga tu nikamtania naomba tu nije nikupake mafuta,,,,etiii akaa ukinipandisha genye,,,nikamwambia wewe tulia mi nakupaka tu mafuta,,,,etii aku mi sitaki huku anapotelea chumbani,,,,mi nikawa kama najishauri hivi niende au nisende,,,,mara nasikia sauti sasa mbona haujiiii,,,,moyoni nikasema usinichezee wewe,,,,,Nimetinga ndani chukua lotion anza kumpka mtoto mgogoni ilhali huku mbele kajifunika,,,,,nikashuka hadi makalioni,,,palaini kwelikweli,,,,kuja kushuka hadi miguuni ndo nikajua binti genye zake zipo miguuni maana nilivyoanza kupaka mafuta huku nafanya uchokozi flani naona mtoto anaugulia huku anakuwa kama kasinzia hivi,,,nikasema hapa hapa simuachi,,,,toa taulo lote tupa kule,,,,kitumbua hichi hapa halafu kisafiiii,,,,,nikasema lazima deki nilipige tena kwa ustadi haswa,,,,piga deki sana huku mtoto anatekenya masikio yangu kwa vidole vyake,,,,,kuja kustuka kidevu chote kimelowa na utelezi,,,,,nilimla yule mtoto na vile tena msafiiii,,,,,,jamaaa yake piga sana simu,,,,,mimi nakula tu mzigo,,,mtoto yupo siwezi pokea hizi simu,,,,,,akakiloea sana hasa nikipiga deki,,,utasikia bebi penzi lako tamu sana lazima nilipiganie,,,siwezi kuliacha unanipa vitu sijawahi kupewa huko,,,,,,mwishoni nikampeleka kwao kesho yake mchana,,,,,
Penzi letu liliendelea mpk kuja kuwa my wife na kunipatia mabinti wawili wazuri mapacha
Hongera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh izi bahat nzuri saana
Alikuwa msafiri ila mazingira ya Tz siyo mgeni sana, akaenda kuulizia lodge, ila alikuta ni gharama kubwa. Maana hiyo lodge ni ya kishua. Ndiyo maana nilimpata kirahisi pia na muonekano niliokuwa nao siku hiyo vilimfanya kuniamini fasta na Upole wangu pia.

Hivyo alikuja kama kulala siku moja hiyo ili kesho yake aondoke. Akajikuta anakaa wiki na nyongeza.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom