nyanyantole
JF-Expert Member
- Jun 22, 2015
- 674
- 1,064
Akulinde wewe hapo, si wewe tu na familia yako. Akutenge na Uzinzi na uasherati bali akupe Neema ya kumjua Yeye. Hofu ya Mungu iwe Fungu lako, wala asiukumbuke uovu wako, bali akukuze katika kumjua Yeye, macho yako yafunguliwe magamba yadondoke, masikio yazibuke upate kuiskia sauti yake. Vinaenda na zumaridi bikubembeleze usiku huu. Bana anapowatembelea wengine akutembelee na wewe hapo na mkeo/mumeo , uache uongo uwe mkweli Yeye akuwezeshe
Yaani huyo Muumba wako, akuvue mavazi ya uovu,machafu na akuvike mavazi safi ya kitani safi. Usiitwe alieachwa bali mmbarikiwa. Pokea busu kutoka kwangu mimi rafiki yako nikupendaye. Mwaaaaah[emoji3059][emoji3059][emoji3059] I love u Rikboy also