kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 10,407
- 17,119
Nikome!!!Kwa hiyo hapo Masihara ipo wapi mtu amekufatilia amekwambia umeona unapendwa. Utakuja kulala na majini. Ni wewe mimi hainihusu lakini mwanao ataridhi hiyo roho chafu ndani yako. Dunia si sehemu Salama sbb ya Mambo haya. Sawa tafuta mwingine ule ki masihara hayo siyo masihara. Yaan wewe umeliwa na umebaki na laana za huyo ulomla Ndio principle subir matunda
Kweli ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu. Hiyo ni kimasihara plus.Nimerudi sasa tuendelee....
Kama mjuavyo wageni wanapoingia kijijini lazima wajulikane.....watu mbalimbali walijenga mazoea na sisi akiwemo yule kijana (hasa mimi). Nikienda mgahawani kula chakula nakuta naambiwa kimelipwa, nikienda dukani kununua maji ya kunywa pia maana hapa duka lilikuwa karibu na hardware yao pia naambiwa rajab amelipa.
Sasa akaomba tukutane tuongee me bila hiyana nikakutana nae...akatuma mistari yake paleee me nkamwambia sijamuelewa...
Akaendelea na udhamini lakini me moyoni najua si naondoka tu mda wowote hatanipata. Na kweli week hiyo nkaamua kurudi zangu dar. Basi mchana wake nkamwambia kwamba me ntaenda kulala mtwara ili kesho yake niwepo dar nimepata dharura.
Mda ukafika me nkapanda zangu gari hadi mtwara mjini nkachukua Lodge...mida ya jioni nimepoa si akapiga simu ..eti yupo njiani anakuja mtwara Town nimwambie nilipo ili tuagane tu yeye arudi kijijini. Nkataka kumwambia asije lakini ashasema yuko njiani. Basi nkasema kwakuwa amesema anarudi jioni ile ile ukute hatataka mengi....
Kweli akafika nikampokea tukakaa nje kwenye hyo Lodge kuna bar kwa nje tukakaa tukapiga story mbili tatu huku tunakunywa soda .
Basi akasema yeye anataka kurudi ila anataka aone room kwangu tuu...
Tukaenda room....kumbe ilikuwa mbinu yeye alishaipanga na kweli ikasaidia akaanza uchokoziii wake hadi akashinda kula tunda...
Hii siku nilisikitika sana asee
Pale ninapojua nimeondoka kijijini salama na nimeshinda vishawishi vya wakaka wengi tu huko sokoni nkaja kutua mikononi mwa haka kakijana kijiiingaaa
Nimepokea Sala hi kwa mikono miwili mkuuNilikuwa kama wewe. Lakini nilipo kutana na Yesu nililia na kuomboleza kwa kuwa nilikuwa mjinga na mpumbafu nilitubu na kuwatubia wote nlofanya nao upuuzi ili niwe huru na mke wangu. Nisiwawaze wao nikiwa na mke wangu. Asante Mungu kwa kuniwezesha na kunifuta ktk kitabu cha hukumu na kuniandika upya ktk kitabu cha Uzima. Naskia uchungu kwa Ajir yako maana naona unachekelea kumbuka kuna kulia na kusaga Meno hakuna ufahar juu ya uasherati. Lakini Yesu alienikomboa mimi akukomboe na wewe. Maana u ktk kifungo, Nafsi yako imefungwa na shetan anaitumikisha anavotaka wala si ww bali vifungo. Usomapo Msg hii Moto Ulao ukateketeze hiyo Roho ya uzinzi na uasherati ika Ng’oke na Hofu ya Mungu ikatawale. Hakuna uzinzi tena kwako uwe huru.
Nasubir ushuhuda wa hii kwa wote watakao soma. Yupo mmoja Mungu atamfungua.
Nikidikiaga demu katiwa Sana na mm nimela huwa najilaumu sanaaa yaaani na nitateseka kumsahau. Lkn nashindwa Khali hyo
Nimepokea Sala hi kwa mikono miwili mkuu
Mkuu naomba unifanyie ibada fupi niachane na uasherati naomba mkuuAmani Kabisaa. Hakuna magonjwa, hakuna ajari, nalikuwa kipofu sijui dhambi wala sion dhambi sasa naona, kuna uzima, naijua kesho yangu, na uhakika wa kuishi miaka timilifu na ikibid kuongezwa kama ntazid kumfurahisha Mungu kama Ali Poa Muongezea Hezekia. Ndugu zangu wanalindwa na Bwana, hakuna kulogwa, mashetani yakiniona yanatetemeka. Yote haya ni kwa sbb Yesu amenipa Neema. Hiyo Neema kiu yangu uipate na ww. Ila kwa mapenzi yake Mungu maana Mungu hachanganywi. Hivo nitokapo Ni kwema na sitoki kwa Yesu maana ni kwema
Babu endeleaa kuwwpo humu ndani Hadi waikimbiee huu Uzi na kujeuzwa kuwa la jukwaa la tobaa mkuu washa Moto ulaoooMtachoka sana kama ndo hivo mana Nipo sana. Najua Najibiwa na mashetani yaliowafunga lakini niseme tu ninyi mlio na Nyama hamna kosa. Nipo kuwaponya hutaki dawa unakaa pembeni utaitaka hata mwakani.
Nimefurahi Sana unajuwaaa kukemee endeleaa babu usichoke fanya kuwepo uku babuWapi umelazimishwa. Neno sio lako peke yako wapo wanaopokea. Shetani rudi nyuma kazi ya bwana izidi kusonga

Tubu kwa ajir hiyo utakuwa huru. Ni roho yake kmechukua nafasi ndan yako ni machukizo. Ndiyo maana ya kusema njia ni nyembamba iendayo uzimani Siri ni kutubu juu yako ju yake mpaka u hisi amani moyoni. Usije sema hukujua.Umetisha mkuuu naungna na wewKazi yangu ni pamoja na hii nayoifaanya mkuu. Nalipwa na Yesu ulinzi, uzima,hakuna ajar, hakuna magonjwa. Naskia hata mnaulizana habari za kutumia kinga kondom katika kujamiiana mnaogopa KUFAmmekwisha kufa kiroho Nipo hapa kuwapa Neema itakayowafufua ndicho kilichomleta Yesu duniani nami niliye mjoli wake sitishwi na sauti za kunikemea bali ndo kwanza Sijaanza yaan namtafuta Mtu mmoja tu ambae atakutana na Bwana wangu. Yesu Kristo, Mungu mwenye nguvu na Baba wa Milele si tulia. Bado sana Nipo si hukumu mtu mimi bali nahubir injil wewe utahukumiwa na matendo yako mwenyewe
Mkuu naomba unifanyie ibada fupi niachane na uasherati naomba mkuu
uliliwa mbususu kimasiharaNimerudi sasa tuendelee....
Kama mjuavyo wageni wanapoingia kijijini lazima wajulikane.....watu mbalimbali walijenga mazoea na sisi akiwemo yule kijana (hasa mimi). Nikienda mgahawani kula chakula nakuta naambiwa kimelipwa, nikienda dukani kununua maji ya kunywa pia maana hapa duka lilikuwa karibu na hardware yao pia naambiwa rajab amelipa.
Sasa akaomba tukutane tuongee me bila hiyana nikakutana nae...akatuma mistari yake paleee me nkamwambia sijamuelewa...
Akaendelea na udhamini lakini me moyoni najua si naondoka tu mda wowote hatanipata. Na kweli week hiyo nkaamua kurudi zangu dar. Basi mchana wake nkamwambia kwamba me ntaenda kulala mtwara ili kesho yake niwepo dar nimepata dharura.
Mda ukafika me nkapanda zangu gari hadi mtwara mjini nkachukua Lodge...mida ya jioni nimepoa si akapiga simu ..eti yupo njiani anakuja mtwara Town nimwambie nilipo ili tuagane tu yeye arudi kijijini. Nkataka kumwambia asije lakini ashasema yuko njiani. Basi nkasema kwakuwa amesema anarudi jioni ile ile ukute hatataka mengi....
Kweli akafika nikampokea tukakaa nje kwenye hyo Lodge kuna bar kwa nje tukakaa tukapiga story mbili tatu huku tunakunywa soda .
Basi akasema yeye anataka kurudi ila anataka aone room kwangu tuu... 🤣🤣🤣🤣
Tukaenda room....kumbe ilikuwa mbinu yeye alishaipanga na kweli ikasaidia akaanza uchokoziii wake hadi akashinda kula tunda...
Hii siku nilisikitika sana asee
Pale ninapojua nimeondoka kijijini salama na nimeshinda vishawishi vya wakaka wengi tu huko sokoni nkaja kutua mikononi mwa haka kakijana kijiiingaaa
Hakika mkuu tutawasiliana na nimesha ku DM tayari Nina Nia kbsaMungu huangalia Nafsi ya mtu yale matamanio yake ni yapi nae hutenda. Hakika kama Mungu aishivyo, Yeye aliyeniokoa mimi hapa niliyekuwa Mwasherati na mlevi mnywaji ,katika mauti akanitoa ya kwamba Nalikuwa uchi mimi(hapa) akanihurumia akanivika nguo, akanitakasa uovu wangu wote asiukumbuke akanifanya mwanae, HUYO akukumbuke na wewe mpendwa wake ktk hili. Nataman kuomba na ww lakin Mungu ajuaye sirini ataniwezesha pamoja tutavuka mkuu
Babu endeleaa kuwwpo humu ndani Hadi waikimbiee huu Uzi na kujeuzwa kuwa la jukwaa la tobaa mkuu washa Moto ulaooo
Mashetani ya nchi gan yanayotetemeka kwa mtu anaetembea na thread ya kula tunda, bas wasalimie kina musa hapo na akina petro na mitume wengine.Amani Kabisaa. Hakuna magonjwa, hakuna ajari, nalikuwa kipofu sijui dhambi wala sion dhambi sasa naona, kuna uzima, naijua kesho yangu, na uhakika wa kuishi miaka timilifu na ikibid kuongezwa kama ntazid kumfurahisha Mungu kama Ali Poa Muongezea Hezekia. Ndugu zangu wanalindwa na Bwana, hakuna kulogwa, mashetani yakiniona yanatetemeka. Yote haya ni kwa sbb Yesu amenipa Neema. Hiyo Neema kiu yangu uipate na ww. Ila kwa mapenzi yake Mungu maana Mungu hachanganywi. Hivo nitokapo Ni kwema na sitoki kwa Yesu maana ni kwema


.

magoti mpaka yanatetemeka. Imagine Mbususu ya muhindi nyie nyie. Kweli kama KITIMOTO NI DHAMBI NA UNAPIGA UASHERATI NA UZINZI na masihara unawakumbuka na wapenzi wako wa shule si ule tu MDUDU maana dhambi zote ni sawa. Mashetani ya nchi gan yanayotetemeka kwa mtu anaetembea na thread ya kula tunda, bas wasalimie kina musa hapo na akina petro na mitume wengine.

ukiona hivo basi unahitaji Nguvu ya Mungu. Nyenyekea tu ufalme wa Mungu utatekwa na Wenye nguvu. Nipo hapo kukupa njia ya kuuteka uamuzi ni wako upite kushoto au kuliaMtumishi acha Mambo mengi wewe shusha kimasihara yako weekend isiishe kizembe hiviYakumbuke Maji yale ya ubatizo ama Mengi ama madogo kwa ajir ya ondoleo la dhambi.
Wengine walibatizwa wakiwa watoto hawajijui FUNGUA ALBAMU ucheki. Ndo siku ati uliambiwa umekuwa MKRISTO. Umekuwa ki mwili na kiakili ukitambua hilo leo nakukumbusha ikiwa bado una mawazo ya kula kimasihara kwamba wewe ni mwanadini ambae mpagani anakushinda. Hujachelewa wewe piga mashine usisahau toba wewe omba toba achana na Mambo ya Tubu walau mara moja kila Mwaka utachengwa maana hujui siku wala saaa. Usiku Tubu asubuh tubu tafuta kimasihara
Mtu mmoja hali KITIMOTO NI HARAMU KWAKEyaani ni NAJISI lakini Mtu huyo kafungwa na Roho ya kuchakata mbususu mpka dole gumba linauma jinsi anavosimamia Kucha. Shida sio mapenzi shida utulivu namkumbusha si Yeye bali ni vifungo shetani katufunga wakuu tusione,tusisikie kwamba tuwe viziwi na vipofu. Mwanamke ni mtamu sana jamani ukute ka issue tightmagoti mpaka yanatetemeka. Imagine Mbususu ya muhindi nyie nyie. Kweli kama KITIMOTO NI DHAMBI NA UNAPIGA UASHERATI NA UZINZI na masihara unawakumbuka na wapenzi wako wa shule si ule tu MDUDU maana dhambi zote ni sawa.
Hilo kitimoto unavuta sigara, huli nyabe unakunywa pombe wote walewale.
Neema ya Bwana Yesu ifungue kila mmoja hiyo Nira shetani ameweka ili tukifa TUSOMEWE DUA KILA MWAKA ATI MUNGU APUNGUZE ADHABU YAANI TUSHAJUA TUMEADHIBIWA, atuweke mahala pema, namwombea Mungu amsamehe Kaka yangu, mdogo wangu. Maombi hayo ni kujifariji. Mungu sio mshamba matendo yako yatakusindikiza unapopaswa kwenda. Kuombea mtu ameshakufa kwenye dhambi au kwenye haki ni uduanzi na Machukizo
Muda ndo huu ukiwa kijana Tengeneza Njia yako na Mungu kwa Toba tu ndugu yangu. Mungu atupenda.
Unaweza kuona nachekesha lakini tazama Si mimi nifanyayo haya bali Mungu aliyenituma nihubir Habari njema. Kama Mungu katika ,
Kutoka : 7 : 1 - Bwana akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa kama Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruni atakuwa nabii wako.
Alimfanya Musa kuwa KAMA Mungu kwa Pharao(shetani) kuna ubaya gani basi Mungu kunifanya Mimi(Nyanyantole) kuwa KAMA Mungu kwako ili nipambane na Pharao huyo Fala Ibilisi aliekamata Roho yako isimuone bwana. Yeye aliyeweka giza ili usione Nuru mtoto wa Baba
Nakamata hiyo Roho ya uharibifu kwa jinsi ya Roho, naiteka Nyara naifunga kwa kamba ya Moto wa Roho mtakatifu naiua kwa Moto ulao. Maana imeandikwa katika Waebrania 12:29 - maana Mungu wetu ni moto ulao. Naangusha kila mafatilizi juu yako kutoka katika Roho za kulidhi za hilo jina lako kwako na kwa watoto wako na ukoo wako naziiiiii pingaaaaaa kwa damu ya Yesu.
Bali ukawe huru. Bwana akusamehe, Bwana akulinde.