Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Atuache na jukwaa letuasituchoshe hapa.
Atuache na jukwaa letuasituchoshe hapa.
Akwende, asituchoshe.Hana akili.. Jukwaa la dini lipo, kazi kutuhangaisha tu
Usikute watu wa hivi ndo vitombi na vitombwi hatari
Akwende, asituchoshe.
Umesema vizuri kwamba mambo ya Mungu si ya kulazimisha, tuache tutiane usitulazimisheYesu anaponya na Mambo ya Mungu si ya kulazimishana. Usipopokea wewe atapokea mwingine humu humu wala usijal. Ukijiona mkal ujue ujumbe sio wako. Wewe endelea kuchapa mbususu
Umesema vizuri kwamba mambo ya Mungu si ya kulazimisha, tuache tutiane usitulazimishe
Atuache na jukwaa letu
PoteaHata mimi langu maana naleta Habari njema. Hili jukwaa sio la uchafu
mkuu umeoa una mke?Mtachoka sana kama ndo hivo mana Nipo sana. Najua Najibiwa na mashetani yaliowafunga lakini niseme tu ninyi mlio na Nyama hamna kosa. Nipo kuwaponya hutaki dawa unakaa pembeni utaitaka hata mwakani.
Endeleza injili yako ukichoka utahamia jukwaa husika.Mtachoka sana kama ndo hivo mana Nipo sana. Najua Najibiwa na mashetani yaliowafunga lakini niseme tu ninyi mlio na Nyama hamna kosa. Nipo kuwaponya hutaki dawa unakaa pembeni utaitaka hata mwakani.
Hana akili.. Jukwaa la dini lipo, kazi kutuhangaisha tu
Fyokooo..!!!Bora kukosa akili. Nimepatia nasema na nyie ambao mmefungwa sbb ya dhambi za wazazi wenu, Babu na koo zetu Nipo hapa kuwapa Habari njema mwenye masikio ya kusikia atasikia. Aliye kipofu ataona mimi sina akili wala haina shida. Na itajulikana kila goti litapigwa kwa Bwana Yesu. Usipopokea wewe atapokea mwingine. Si mnasema thread inafatiliwa si mbaya nikahubir ntafatiliwa pia. Tuishi mkuu. Na vile mnaenda na kusali jumapil, jumamos na ijumaa mnatoa na sadaka. Amin nakwambia kwa miandiko hii bado mnayatolea mapepo sadaka. Haiwezekani ukaabudu na bado uasherati na uzinzi vikuandame. Hivo ni vifungo ni pingu, ni magereza ni minyororo shetani kawafunga kwenye dini hizi. Hamna msaada.
Kama Mungu aishivyo mkawe huru kwa Jina lake Yesu
mkuu umeoa una mke?
Nenda kagawe huko, na ulee watoto wakoMke na watoto wawil ninao ndoa ina miaka 5 na nina miaka 37. Nna degree ya Ugavi na nimeokoka nampenda Yesu
Fyokooo..!!!
Ishia hapo hapoYesu alichapwa hadi mijeredi mkuu na mate juu, makofi pia wala usijar Neema ya Mungu yani tosha. Lakini Mungu aliyeniokoa mimi basi kwa upendo wake akusaidie na wewe. Akipenda haya asipopenda sawa pia hatumpangii
Nenda kagawe huko, na ulee watoto wako


mmekwisha kufa kiroho Nipo hapa kuwapa Neema itakayowafufua ndicho kilichomleta Yesu duniani nami niliye mjoli wake sitishwi na sauti za kunikemea bali ndo kwanza Sijaanza yaan namtafuta Mtu mmoja tu ambae atakutana na Bwana wangu. Yesu Kristo, Mungu mwenye nguvu na Baba wa Milele si tulia. Bado sana Nipo si hukumu mtu mimi bali nahubir injil wewe utahukumiwa na matendo yako mwenyeweIshia hapo hapo