Yakumbuke Maji yale ya ubatizo ama Mengi ama madogo kwa ajir ya ondoleo la dhambi[emoji16][emoji16][emoji16].
Wengine walibatizwa wakiwa watoto hawajijui FUNGUA ALBAMU ucheki. Ndo siku ati uliambiwa umekuwa MKRISTO. Umekuwa ki mwili na kiakili ukitambua hilo leo nakukumbusha ikiwa bado una mawazo ya kula kimasihara kwamba wewe ni mwanadini ambae mpagani anakushinda. Hujachelewa wewe piga mashine usisahau toba wewe omba toba achana na Mambo ya Tubu walau mara moja kila Mwaka utachengwa maana hujui siku wala saaa. Usiku Tubu asubuh tubu tafuta kimasihara[emoji16]
Mtu mmoja hali KITIMOTO NI HARAMU KWAKEyaani ni NAJISI lakini Mtu huyo kafungwa na Roho ya kuchakata mbususu mpka dole gumba linauma jinsi anavosimamia Kucha. Shida sio mapenzi shida utulivu namkumbusha si Yeye bali ni vifungo shetani katufunga wakuu tusione,tusisikie kwamba tuwe viziwi na vipofu. Mwanamke ni mtamu sana jamani ukute ka issue tight[emoji3059][emoji3059]magoti mpaka yanatetemeka. Imagine Mbususu ya muhindi nyie nyie. Kweli kama KITIMOTO NI DHAMBI NA UNAPIGA UASHERATI NA UZINZI na masihara unawakumbuka na wapenzi wako wa shule si ule tu MDUDU maana dhambi zote ni sawa.
Hilo kitimoto unavuta sigara, huli nyabe unakunywa pombe wote walewale.
Neema ya Bwana Yesu ifungue kila mmoja hiyo Nira shetani ameweka ili tukifa TUSOMEWE DUA KILA MWAKA ATI MUNGU APUNGUZE ADHABU YAANI TUSHAJUA TUMEADHIBIWA, atuweke mahala pema, namwombea Mungu amsamehe Kaka yangu, mdogo wangu. Maombi hayo ni kujifariji. Mungu sio mshamba matendo yako yatakusindikiza unapopaswa kwenda. Kuombea mtu ameshakufa kwenye dhambi au kwenye haki ni uduanzi na Machukizo
Muda ndo huu ukiwa kijana Tengeneza Njia yako na Mungu kwa Toba tu ndugu yangu. Mungu atupenda.
Unaweza kuona nachekesha lakini tazama Si mimi nifanyayo haya bali Mungu aliyenituma nihubir Habari njema. Kama Mungu katika ,
Kutoka : 7 : 1 - Bwana akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa kama Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruni atakuwa nabii wako.
Alimfanya Musa kuwa KAMA Mungu kwa Pharao(shetani) kuna ubaya gani basi Mungu kunifanya Mimi(Nyanyantole) kuwa KAMA Mungu kwako ili nipambane na Pharao huyo Fala Ibilisi aliekamata Roho yako isimuone bwana. Yeye aliyeweka giza ili usione Nuru mtoto wa Baba
Nakamata hiyo Roho ya uharibifu kwa jinsi ya Roho, naiteka Nyara naifunga kwa kamba ya Moto wa Roho mtakatifu naiua kwa Moto ulao. Maana imeandikwa katika Waebrania 12:29 - maana Mungu wetu ni moto ulao. Naangusha kila mafatilizi juu yako kutoka katika Roho za kulidhi za hilo jina lako kwako na kwa watoto wako na ukoo wako naziiiiii pingaaaaaa kwa damu ya Yesu.
Bali ukawe huru. Bwana akusamehe, Bwana akulinde.