Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Walio wa Mungu wanaelewa sipo hapa kwa ajir ya chakula cha Baba na watoto wake kuwapa Nguruwe ni mpaka pale Nguruwe wanapo badilika kuwa kondoo ndo hup ata. Hivo hupati kitu kutoka kwangu
Walio wa Mungu wanaelewa .. we jamaa boya Sana hivi shetani aliumba lini.....?
 
Walio wa Mungu wanaelewa sipo hapa kwa ajir ya chakula cha Baba na watoto wake kuwapa Nguruwe ni mpaka pale Nguruwe wanapo badilika kuwa kondoo ndo hup ata. Hivo hupati kitu kutoka kwangu
Wee ndugu roho ameniambia unakaribia kufa...ndio maana unabehave hivi ...sio kosa lako ...ni hatua tu ya kuupambania uzima wa milele unao hisi ndio unaenda so sorry for you
 
Baada ya kimya kirefu Leo nawaletea kimasihara ya moto kabisa wala haijapoa kwa hisani ya mkoa mmoja maarufu kwa barabara za namba .
Last weekend nilitoka na wafanyakazi wenzangu kuosha macho. Kati yao wawili mie wa watu ndio nilikuwa mwanaume pekee. Sasa baada ya chakula tulisogea kwenye bar mkabala na uwanja wa mpira wenye kibali cha TFF kuchezewa mechi za ligi kuu.
Sasa mie na moja ya staff mwenzangu mwenye jishepu lake mjini hapa tukishamwagilia moyo tunakuwaga na vibe fulani la kucheza mziki hasa wa mbele . Na this time Mr. Dj wala hakutuangusha alikuwa na playlist ya manyimbo ya zamani mfano : I know what you want by Busta rhymes ft Mariah Carey n.k
Kumbe wakati tunacheza pale kuna dada alikaa meza ya chini ( tunapaita shimoni) akawa anatucheck kwa juu na alivutiwa sana na uchezaji wangu. Na ofcourse kucheza najua na mziki it's my passion. Wakati tunatoka nje ( palipooza tukaamua kuhama kwenda club kabisa ) alitufuata kwa nyuma(alikuja kuniambia siku nyingine) ila tukapanda gari so hatukuonana . Jumapili akakutana na moja ya staff mwenzangu akamkumbuka so akamsifia pale to cut the story short walipeana namba na jioni akampigia tukutane sehemu kumwagilia moyo then nilliishia kumla.
 
Baada ya kimya kirefu Leo nawaletea kimasihara ya moto kabisa wala haijapoa kwa hisani ya mkoa mmoja maarufu kwa barabara za namba .
Last weekend nilitoka na wafanyakazi wenzangu kuosha macho. Kati yao wawili mie wa watu ndio nilikuwa mwanaume pekee. Sasa baada ya chakula tulisogea kwenye bar mkabala na uwanja wa mpira wenye kibali cha TFF kuchezewa mechi za ligi kuu.
Sasa mie na moja ya staff mwenzangu mwenye jishepu lake mjini hapa tukishamwagilia moyo tunakuwaga na vibe fulani la kucheza mziki hasa wa mbele . Na this time Mr. Dj wala hakutuangusha alikuwa na playlist ya manyimbo ya zamani mfano : I know what you want by Busta rhymes ft Mariah Carey n.k
Kumbe wakati tunacheza pale kuna dada alikaa meza ya chini ( tunapaita shimoni) akawa anatucheck kwa juu na alivutiwa sana na uchezaji wangu. Na ofcourse kucheza najua na mziki it's my passion. Wakati tunatoka nje ( palipooza tukaamua kuhama kwenda club kabisa ) alitufuata kwa nyuma(alikuja kuniambia siku nyingine) ila tukapanda gari so hatukuonana . Jumapili akakutana na moja ya staff mwenzangu akamkumbuka so akamsifia pale to cut the story short walipeana namba na jioni akampigia tukutane sehemu kumwagilia moyo then nilliishia kumla.

Kwa hiyo hapo Masihara ipo wapi mtu amekufatilia amekwambia umeona unapendwa. Utakuja kulala na majini. Ni wewe mimi hainihusu lakini mwanao ataridhi hiyo roho chafu ndani yako. Dunia si sehemu Salama sbb ya Mambo haya. Sawa tafuta mwingine ule ki masihara hayo siyo masihara. Yaan wewe umeliwa na umebaki na laana za huyo ulomla Ndio principle subir matunda
 
Wee ndugu roho ameniambia unakaribia kufa...ndio maana unabehave hivi ...sio kosa lako ...ni hatua tu ya kuupambania uzima wa milele unao hisi ndio unaenda so sorry for you
Achana nae unampa kichwa
 
hapa ndio napatakujua wachungaji wakweli....sio mchungaji unaombea wagonjwa kanisani wakati hospitali zipo zimejaa wagojwa sasa mchungaji endelea kutoa neno mpaka uzi ufungwe kwa jina la yesu..

Wanaenda kuomba hata maospitalin. Huwezi kwenda tu isipokuwa kwa maelekezo ya Mungu. Kila kitu ni maelekezo.

Mfano Yesu hakuwahi kufata wagonjwa ila aliletewa wagonjwa akawaponya. Lazima ijulikane ni Mungu ametendabili mtu yule ampe utukufu Mungu. Lakini wanaenda. Na huko kwenye nnyumba za ibada wanapelekewa wagonjwa maana haiwezekani watu wale wale waombewe mara zote means kuna watu wapya hiyo kimwili kabisa.

Mpendwa ukija kiroho sasa maana Mungu ni Roho kuna wengi ambao Sio wagonjwa kimwili bali wagonjwa kiroho.

Ndio kwa Maana ya vifungo. Upofu ni ugonjwa ingawa kimwil unaona, ukoma ni ugonjwa ingawa unakula ugali vizur na una vidole, unaweza kuwa kiziwi wa kiroho husikii sauti ya Mungu. Shetani kaweka gunzi. Kuna vifungo na mafundo shetani kafungia watu kupitia mawakala wake. Waganga na wachawi+washirikina. Kuna pingu za kiroho, kwamba na magereza mfano Mtu mnywaji wa pombe huyu Yumo gerezani utaongea mpaka. Ataishia kukuambia Yesu aligeuza maji kuwa divai sa divai ni pombe sijui ya wap.

Sasa Yesu alikuja ili wasioana waone. Ukiona una zini na kufanya uasherati na unaufurahia uchafu jua bado u kipofu wala usijar maaana HAUTENDI DHAMBI BALI UNATENDA MATENDO YA DUNIA HII NA MTAWALA WA DUNIA HII ATATUPWA NJE NA WATU WAKE huyu amekwisha kuhukumiwa. Lakini toba na wokovu upo kwa ajir yake. Habari njema ipo maana Mungu anampenda anamletea bila kuchoka

Yohana 12:31 - Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje.

Anae tenda Dhambi ambae ataketi kwenye hukumu ni Yule aliye pokea Wokovu yaani aliyetolewa huo upofu ametambua hii ni dhambi. Maana amefanyika Mwana wa Mungu.

Yohana 9:41 - Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa.

Kumbe vizuri kuombeana. Ndugu usikubali kuwa MUUMINI AU MSHIRIKA SEHEMU FULANI TAMANI KUWA MTUMISHI WA MUNGU MAANA KILA MMOJA KUNA KITU CHA KI MUNGU AMEMWEKEA ILA DINI INAZUIA WALA HAKIWEZI KUKUA.

Unamuona sasa mchungaji akaombee watu hospitalini lakini huo ni Wajibu wako vile umepigwa upofu. Sikia ufalme wa Mungu utatekwa na Wenye Nguvu. Moja ya nguvu ni hii ya kujua kuomba. Tamani

Bwana wangu na Mungu wangu Yesu Kristo akutie Nguvu akupe Neema na kibali ewe mpendwa wake sana uweze kusoma Neno la Mungu maana husomi basi likukuze likupe nguvu amina.
 
tukio hili nitakalolisimulia hapa halijatokea siku nyingi, ni wiki mbili tu zilizopita.

kwa kawaida mimi ni mtu wa kusafiri sana kikazi na kwa safari zangu binafsi.

napenda kusafiri na ninashukuru kufanya kazi ktk field inayonifanya niwe nasafiri mara kwa mara. ukipitia baadhi ya post zangu,utabaini hilo.

nimeambatanisha screenshot inayoonyesha timeline yangu ya mikoa ambayo nimefika mpaka sasa tanzania hii. kwa sasa nipo mkoa wa pwani.

wiki mbili zilizopita nilikuwa mkoa X kikazi.

niliwasili ktk mkoa ule mida ya jioni. nikaelekea moja kwa moja ktk hotel ambayo tayari nilishafanya booking.

ilikuwa ni hotel ya ghorofa saba, chumba changu kilikuwa floor ya pili. nikiwa napanda ngazi kuelekea room kwangu, kwenye corridor nikakutana na mdada mmoja mrefu wa kimo halafu black beauty flani, mzaliwa wa kaskazini mwa tz.

wakati mimi napanda ngazi kwenda juu, yeye alikuwa anashuka.

alikuwa kavaa jinsi tight ya dark blue na sweta rangi ya kijivu.

alivaa sweta kutokana na hali ya ubaridi ya mkoa ule hususani miezi hii ya sita kuelekea wa saba.

halafu alikuwa ananukia manukato mazuri sana ya kike. mimi ni mgonjwa wa wanawake wanaonukia manukato mazuri.

wakati tunapishana pale kwenye ngazi, nikamuwahi kwa salamu, halafu nikamuomba samahani ili asimame tufahamiane vizuri.

baada ya maongezi mafupi ya kufahamiana nikamuomba namba ya simu na yeye nikampa ya kwangu.

baada ya nusu saa nikamcheki. tukapiga story kadhaa kwenye simu, nikamtajia nafasi yangu kikazi na dhumuni la kilichonipeleka ktk mji ule.

yeye akaniambia ni nimuajiriwa wa wizara X ktk kitengo kinachohusika na masuala ya auditing. amekuja ktk ule mji kikazi kwa mda wa wiki mbili.

ilikuwa ni mida ya saa mbili usiku, mdada alionyesha kunikubali sana kupitia maongezi yetu kwenye simu.

akanimbia yupo alone room kwake floor ya nne anacheki movie,nikamwambia kama vp shuka njoo floor ya chini kwenye lounge ya ile hotel utanikuta.

akaja, akanikuta mzee mzima nipo counter nagonga windhoek zangu mdogo mdogo.

na yeye nikamnunulia heineken nne, baadaye wote tukawa tumechangamka kwa kilevi huku tukipiga story kadhaa za mahaba.

akaniambia nimsindikize room kwake akamalizie kuangalia movie. kimoyo nikasema huyu tayari ny*g* zishampanda. acha niende nikampelekee moto.

nilichowaza ndicho kilichotokea, alikuwa kalegea sana,nikambandua room kwake siku ileile kimasihara tu.

nililalanae mpaka asubuhi. room kwangu nilirudi saa tatu asubuhi. kile chumba kililala empty.

tukawa tunaendelea kubanduana kwa siku zote zilizokaa pale hotelini. mpaka sasa bado tunawasiliana.

NB: kiumri nacheza kwenye early 40s.wakati fulani niliwahi kuandika uzi uliokuwa unazungumzia idadi ya wanawake niliowahi kutoka nao kimapenzi mpaka sasa, ambapo kwa idadi ni zaidi ya wanawake 100. ule uzi ulivuta hisia za wana JF wengi na ulikuwa una trend kwa kasi sana

moderators kwa wivu au kwasababu wanazozijua wao, wakaamua kuufuta.

timeline yangu hii hapa. hii inaonyesha baadhi tu ya sehemu nilizowahi kufika ndani ya tz hii. ila almost hakuna mkoa ambao sijafika.

have a good weekend guys.




View attachment 2265296
Sumbawanga hujafika
 
Tukiwa tour mwaka 2003 kuelekea mto maragarasi, usiku tukiwa camp ile ya chap chap, kukiwa na mtoto mkali alikuwa anaitwa Amina, alikuwa anakaa sikonge road tabora hii ilikuwa pisi mwisho wa maneno.. ile ile night tumewasha moto Amina akapita kujisaidia, nikamtishe kiutani kuna wanayama wakali ,😃😃😃 akaanza jamani jamani nyingi nikasema twende nikusogeze hapo.. nikasima hapa nae hapo time anakojoa nikamtania inaonekana una kadogo maana ka mrio ka mkojo kama katundu kadogo akachekaa.. acha utani nikamuambia au nije nikipime , akacheka njoo.. nikaenda nyikani hiyo nilipiga pale pale na tulitumia kama dk 2 nimemaliza 🤣🤣🤣
 
Bwa
Wanaenda kuomba hata maospitalin. Huwezi kwenda tu isipokuwa kwa maelekezo ya Mungu. Kila kitu ni maelekezo.

Mfano Yesu hakuwahi kufata wagonjwa ila aliletewa wagonjwa akawaponya. Lazima ijulikane ni Mungu ametendabili mtu yule ampe utukufu Mungu. Lakini wanaenda. Na huko kwenye nnyumba za ibada wanapelekewa wagonjwa maana haiwezekani watu wale wale waombewe mara zote means kuna watu wapya hiyo kimwili kabisa.

Mpendwa ukija kiroho sasa maana Mungu ni Roho kuna wengi ambao Sio wagonjwa kimwili bali wagonjwa kiroho.

Ndio kwa Maana ya vifungo. Upofu ni ugonjwa ingawa kimwil unaona, ukoma ni ugonjwa ingawa unakula ugali vizur na una vidole, unaweza kuwa kiziwi wa kiroho husikii sauti ya Mungu. Shetani kaweka gunzi. Kuna vifungo na mafundo shetani kafungia watu kupitia mawakala wake. Waganga na wachawi+washirikina. Kuna pingu za kiroho, kwamba na magereza mfano Mtu mnywaji wa pombe huyu Yumo gerezani utaongea mpaka. Ataishia kukuambia Yesu aligeuza maji kuwa divai sa divai ni pombe sijui ya wap.

Sasa Yesu alikuja ili wasioana waone. Ukiona una zini na kufanya uasherati na unaufurahia uchafu jua bado u kipofu wala usijar maaana HAUTENDI DHAMBI BALI UNATENDA MATENDO YA DUNIA HII NA MTAWALA WA DUNIA HII ATATUPWA NJE NA WATU WAKE huyu amekwisha kuhukumiwa. Lakini toba na wokovu upo kwa ajir yake. Habari njema ipo maana Mungu anampenda anamletea bila kuchoka

Yohana 12:31 - Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje.

Anae tenda Dhambi ambae ataketi kwenye hukumu ni Yule aliye pokea Wokovu yaani aliyetolewa huo upofu ametambua hii ni dhambi. Maana amefanyika Mwana wa Mungu.

Yohana 9:41 - Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa.

Kumbe vizuri kuombeana. Ndugu usikubali kuwa MUUMINI AU MSHIRIKA SEHEMU FULANI TAMANI KUWA MTUMISHI WA MUNGU MAANA KILA MMOJA KUNA KITU CHA KI MUNGU AMEMWEKEA ILA DINI INAZUIA WALA HAKIWEZI KUKUA.

Unamuona sasa mchungaji akaombee watu hospitalini lakini huo ni Wajibu wako vile umepigwa upofu. Sikia ufalme wa Mungu utatekwa na Wenye Nguvu. Moja ya nguvu ni hii ya kujua kuomba. Tamani

Bwana wangu na Mungu wangu Yesu Kristo akutie Nguvu akupe Neema na kibali ewe mpendwa wake sana uweze kusoma Neno la Mungu maana husomi basi likukuze likupe nguvu amina.
Bwana mchungaj kanisa lako liko wap natak nije kusal.... Il nimle kondoo wak kimasihara au kanisa lak lipo hum hum ....😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom