Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ingia kwenye huu uzi wa kimasihara ujione wewe ni mtu wa mikosi na nuksi ila baada ya kuufunga basi ya humu yaache humu humu maana ukitoka nayo basi upo mbioni kuamini kuwa wapo watanzania wanaoweza kufufua wafu.
 
Acha uongo ww, mwalim hawezi kumtegemea mtu anaeandika hvyo
Ata “kula” unaandika “kura”
Unajua maana ya kura ww???
Chakula unaandika chakura
Oi ni kwamba umemuonea mwamba wivu au ni nin tuseme?,watu wa kanda ya ziwa ndio lafudhi zao zilivyo,asilimia kubwa hawawezi kutofautisha l na r
 
Siku mkinifurahisha nitawapatia kisa changu cha mtwara mtimbwilimbwi huko na ka kijana flan huvi amazing. Ilikuwa mwaka 2017 kama sijakosea.
Daah!! Ktk sehemu ambayo Ipo mtwara jina libaki kichwani mpk Leo Mtimbwilimbwi, ni sehemu ambayo nilitamani kufikia Ila nikaishia njiani kijiji kinaitwa "Kwanyama" miaka 10 imepita.
 
tukio hili nitakalolisimulia hapa halijatokea siku nyingi, ni wiki mbili tu zilizopita.

kwa kawaida mimi ni mtu wa kusafiri sana kikazi na kwa safari zangu binafsi.

napenda kusafiri na ninashukuru kufanya kazi ktk field inayonifanya niwe nasafiri mara kwa mara. ukipitia baadhi ya post zangu,utabaini hilo.

nimeambatanisha screenshot inayoonyesha timeline yangu ya mikoa ambayo nimefika mpaka sasa tanzania hii. kwa sasa nipo mkoa wa pwani.

wiki mbili zilizopita nilikuwa mkoa X kikazi.

niliwasili ktk mkoa ule mida ya jioni. nikaelekea moja kwa moja ktk hotel ambayo tayari nilishafanya booking.

ilikuwa ni hotel ya ghorofa saba, chumba changu kilikuwa floor ya pili. nikiwa napanda ngazi kuelekea room kwangu, kwenye corridor nikakutana na mdada mmoja mrefu wa kimo halafu black beauty flani, mzaliwa wa kaskazini mwa tz.

wakati mimi napanda ngazi kwenda juu, yeye alikuwa anashuka.

alikuwa kavaa jinsi tight ya dark blue na sweta rangi ya kijivu.

alivaa sweta kutokana na hali ya ubaridi ya mkoa ule hususani miezi hii ya sita kuelekea wa saba.

halafu alikuwa ananukia manukato mazuri sana ya kike. mimi ni mgonjwa wa wanawake wanaonukia manukato mazuri.

wakati tunapishana pale kwenye ngazi, nikamuwahi kwa salamu, halafu nikamuomba samahani ili asimame tufahamiane vizuri.

baada ya maongezi mafupi ya kufahamiana nikamuomba namba ya simu na yeye nikampa ya kwangu.

baada ya nusu saa nikamcheki. tukapiga story kadhaa kwenye simu, nikamtajia nafasi yangu kikazi na dhumuni la kilichonipeleka ktk mji ule.

yeye akaniambia ni nimuajiriwa wa wizara X ktk kitengo kinachohusika na masuala ya auditing. amekuja ktk ule mji kikazi kwa mda wa wiki mbili.

ilikuwa ni mida ya saa mbili usiku, mdada alionyesha kunikubali sana kupitia maongezi yetu kwenye simu.

akanimbia yupo alone room kwake floor ya nne anacheki movie,nikamwambia kama vp shuka njoo floor ya chini kwenye lounge ya ile hotel utanikuta.

akaja, akanikuta mzee mzima nipo counter nagonga windhoek zangu mdogo mdogo.

na yeye nikamnunulia heineken nne, baadaye wote tukawa tumechangamka kwa kilevi huku tukipiga story kadhaa za mahaba.

akaniambia nimsindikize room kwake akamalizie kuangalia movie. kimoyo nikasema huyu tayari ny*g* zishampanda. acha niende nikampelekee moto.

nilichowaza ndicho kilichotokea, alikuwa kalegea sana,nikambandua room kwake siku ileile kimasihara tu.

nililalanae mpaka asubuhi. room kwangu nilirudi saa tatu asubuhi. kile chumba kililala empty.

tukawa tunaendelea kubanduana kwa siku zote zilizokaa pale hotelini. mpaka sasa bado tunawasiliana.

NB: kiumri kwa sasa nacheza kwenye early 40s.wakati fulani niliwahi kuandika uzi uliokuwa unazungumzia idadi ya wanawake niliowahi kutoka nao kimapenzi mpaka sasa, ambapo kwa idadi ni zaidi ya wanawake 100. ule uzi ulivuta hisia za wana JF wengi na ulikuwa una trend kwa kasi sana

moderators kwa wivu au kwasababu wanazozijua wao, wakaamua kuufuta.

timeline yangu hii hapa. hii inaonyesha baadhi tu ya sehemu nilizowahi kufika ndani ya tz hii. ila almost hakuna mkoa ambao sijafika.

have a good weekend guys.




View attachment 2265296
Kama sijakosea huo mkoa X ni Arusha, unataka nitaje na hotel?
 
tukio hili nitakalolisimulia hapa halijatokea siku nyingi, ni wiki mbili tu zilizopita.

kwa kawaida mimi ni mtu wa kusafiri sana kikazi na kwa safari zangu binafsi.

napenda kusafiri na ninashukuru kufanya kazi ktk field inayonifanya niwe nasafiri mara kwa mara. ukipitia baadhi ya post zangu,utabaini hilo.

nimeambatanisha screenshot inayoonyesha timeline yangu ya mikoa ambayo nimefika mpaka sasa tanzania hii. kwa sasa nipo mkoa wa pwani.

wiki mbili zilizopita nilikuwa mkoa X kikazi.

niliwasili ktk mkoa ule mida ya jioni. nikaelekea moja kwa moja ktk hotel ambayo tayari nilishafanya booking.

ilikuwa ni hotel ya ghorofa saba, chumba changu kilikuwa floor ya pili. nikiwa napanda ngazi kuelekea room kwangu, kwenye corridor nikakutana na mdada mmoja mrefu wa kimo halafu black beauty flani, mzaliwa wa kaskazini mwa tz.

wakati mimi napanda ngazi kwenda juu, yeye alikuwa anashuka.

alikuwa kavaa jinsi tight ya dark blue na sweta rangi ya kijivu.

alivaa sweta kutokana na hali ya ubaridi ya mkoa ule hususani miezi hii ya sita kuelekea wa saba.

halafu alikuwa ananukia manukato mazuri sana ya kike. mimi ni mgonjwa wa wanawake wanaonukia manukato mazuri.

wakati tunapishana pale kwenye ngazi, nikamuwahi kwa salamu, halafu nikamuomba samahani ili asimame tufahamiane vizuri.

baada ya maongezi mafupi ya kufahamiana nikamuomba namba ya simu na yeye nikampa ya kwangu.

baada ya nusu saa nikamcheki. tukapiga story kadhaa kwenye simu, nikamtajia nafasi yangu kikazi na dhumuni la kilichonipeleka ktk mji ule.

yeye akaniambia ni nimuajiriwa wa wizara X ktk kitengo kinachohusika na masuala ya auditing. amekuja ktk ule mji kikazi kwa mda wa wiki mbili.

ilikuwa ni mida ya saa mbili usiku, mdada alionyesha kunikubali sana kupitia maongezi yetu kwenye simu.

akanimbia yupo alone room kwake floor ya nne anacheki movie,nikamwambia kama vp shuka njoo floor ya chini kwenye lounge ya ile hotel utanikuta.

akaja, akanikuta mzee mzima nipo counter nagonga windhoek zangu mdogo mdogo.

na yeye nikamnunulia heineken nne, baadaye wote tukawa tumechangamka kwa kilevi huku tukipiga story kadhaa za mahaba.

akaniambia nimsindikize room kwake akamalizie kuangalia movie. kimoyo nikasema huyu tayari ny*g* zishampanda. acha niende nikampelekee moto.

nilichowaza ndicho kilichotokea, alikuwa kalegea sana,nikambandua room kwake siku ileile kimasihara tu.

nililalanae mpaka asubuhi. room kwangu nilirudi saa tatu asubuhi. kile chumba kililala empty.

tukawa tunaendelea kubanduana kwa siku zote zilizokaa pale hotelini. mpaka sasa bado tunawasiliana.

NB: kiumri kwa sasa nacheza kwenye early 40s.wakati fulani niliwahi kuandika uzi uliokuwa unazungumzia idadi ya wanawake niliowahi kutoka nao kimapenzi mpaka sasa, ambapo kwa idadi ni zaidi ya wanawake 100. ule uzi ulivuta hisia za wana JF wengi na ulikuwa una trend kwa kasi sana

moderators kwa wivu au kwasababu wanazozijua wao, wakaamua kuufuta.

timeline yangu hii hapa. hii inaonyesha baadhi tu ya sehemu nilizowahi kufika ndani ya tz hii. ila almost hakuna mkoa ambao sijafika.

have a good weekend guys.




View attachment 2265296
Na kama wiki 2 nyuma kulikuwa na training fulani ya wakaguzi
 
Mwanamke yyt alie na mume atakuaminisha wewe ndio unaemtomba vizur Ili kujustify anachofanya usimuone Malaya...ila amini kwamba hata wewe unaweza kuwa umridhishi vilevile na wala sio mtaalamu sema tu ndio wakati wako wa kumla.....so enjoy ila usivimbe kichwa kwa anachokuaminisha mtoto wa kike...
Absolutely right.
 
Mshakukaga Sana kimasihara...katika pitapita zangu mwaka huu beki 3 kakataakatakata kummega.

Yaani sipati picha. Ila pia nimekua zamani ningeshamlamba Kwa nguvu..



Yaani m bo.o kaiona na kaikataa kabisa
 
Kimasihara hii imetokea recently tu nikiwa natokea Mwanza kuelekea Daslam.

Naingia zangu kwenye Bus la Darlux mida ya saa 11 Alfajir nikiwa na wenge la jana usiku nilikuwa vyombo kidogo, nacheck kwenye seat yangu amekaa demu ikabidi nimuambie anipishe nikae n akakubali kunipisha nikakaa kilichofata nikalala usingiz mmoja hv mrefu.

Kuja kushtuka ni saa 5 kasoro hvi kucheck pembeni yangu namuona dem mkali kichizi nikajiuliza hv nilimsalimia kweli nikaona huu utakuwa unyonge nikakausha nikawa naangalia pembeni kwenye kioo(Moyoni nikijisemea atajaa tu mwenyewe)

Kweli bwana nikanyuti mpaka mida ya saa tisa hvi lile goma likaanza kusinzia huku akiniegemea nikajisemea muda umefika sasaNikamuambia kwann usilale kwangu hapa hvyo unaumia shingo mrembo!! Akasmile n akanisalimia mambo nikacheka nikamuuliza kwani sikukusalimia!? Akanijibu wewe ulijifanya kauzu tangu umeingia ndani ya gari, ikanibidi nimdanganye nimuambie nilikua sijisikii vzr

Stor zikaendelea tukafika lakn tulivyofika Moro sababu usiku ulikuwa umeingia tayar nikaanza kupekenyua sehemu muhimu n zote nilizogusa ilikuwa ni point nikaendeleza mpka na yeye alipoaanza kujibu mapigo baadae akaniomba akaniambia tutulie kidg tupo kwa gari soon tutafika tu nikamuambia fresh.

Ile tunakaribia kufika office za darlux goma linaniambia kaka yake ameshafika sasa tunafanyaje (Moyoni nikajisemea nishalikosa shombeshombe hili) nikamuuliza kwani unakaa wapi akasema Kigamboni, Tuangoma nikasema yes mbona n mm nakaa Kigamboni hukohuko!! Akasema basi sio kesi nipe namba yako n akapiga palepale nikapata n yake, akasema kesho tutamalizia kazi ambayo tumeianzisha nikasema poa, tukafika stand tukashuka kila moja akasepa njia yake.

Kesho yake nimechill nikijua nimelikosa goma, toto likanicheck n likaomba location, kidume chap kwa haraka nkikatuma baada ya kama dk 40 toto hili hapa aiseeh nilibamiza ile mbususu n ni mnato kwelikweli

Narsa popote ulipo ile game itarudiwa kwasababu alisepa akaend moro chuo baada ya kama siku 4 hv
 
Siku mkinifurahisha nitawapatia kisa changu cha mtwara mtimbwilimbwi huko na ka kijana flan huvi amazing. Ilikuwa mwaka 2017 kama sijakosea.
Karibu na Mbawala..!!! Nimekumbuka minara ya simu ya Mtimbwilimbwi na Mbawala
 
Kimasihara hii imetokea recently tu nikiwa natokea Mwanza kuelekea Daslam.

Naingia zangu kwenye Bus la Darlux mida ya saa 11 Alfajir nikiwa na wenge la jana usiku nilikuwa vyombo kidogo, nacheck kwenye seat yangu amekaa demu ikabidi nimuambie anipishe nikae n akakubali kunipisha nikakaa kilichofata nikalala usingiz mmoja hv mrefu.

Kuja kushtuka ni saa 5 kasoro hvi kucheck pembeni yangu namuona dem mkali kichizi nikajiuliza hv nilimsalimia kweli nikaona huu utakuwa unyonge nikakausha nikawa naangalia pembeni kwenye kioo(Moyoni nikijisemea atajaa tu mwenyewe)

Kweli bwana nikanyuti mpaka mida ya saa tisa hvi lile goma likaanza kusinzia huku akiniegemea nikajisemea muda umefika sasaNikamuambia kwann usilale kwangu hapa hvyo unaumia shingo mrembo!! Akasmile n akanisalimia mambo nikacheka nikamuuliza kwani sikukusalimia!? Akanijibu wewe ulijifanya kauzu tangu umeingia ndani ya gari, ikanibidi nimdanganye nimuambie nilikua sijisikii vzr

Stor zikaendelea tukafika lakn tulivyofika Moro sababu usiku ulikuwa umeingia tayar nikaanza kupekenyua sehemu muhimu n zote nilizogusa ilikuwa ni point nikaendeleza mpka na yeye alipoaanza kujibu mapigo baadae akaniomba akaniambia tutulie kidg tupo kwa gari soon tutafika tu nikamuambia fresh.

Ile tunakaribia kufika office za darlux goma linaniambia kaka yake ameshafika sasa tunafanyaje (Moyoni nikajisemea nishalikosa shombeshombe hili) nikamuuliza kwani unakaa wapi akasema Kigamboni, Tuangoma nikasema yes mbona n mm nakaa Kigamboni hukohuko!! Akasema basi sio kesi nipe namba yako n akapiga palepale nikapata n yake, akasema kesho tutamalizia kazi ambayo tumeianzisha nikasema poa, tukafika stand tukashuka kila moja akasepa njia yake.

Kesho yake nimechill nikijua nimelikosa goma, toto likanicheck n likaomba location, kidume chap kwa haraka nkikatuma baada ya kama dk 40 toto hili hapa aiseeh nilibamiza ile mbususu n ni mnato kwelikweli

Narsa popote ulipo ile game itarudiwa kwasababu alisepa akaend moro chuo baada ya kama siku 4 hv
ulivaa condomu mkuu??
 
Kimasihara nilikuwa nipo kwenye daladala hapa mjin dar nikitokea masaki-Gongo la mboto mara
papu mtoto huyu hapa pembeni yangu tena mweupe pee duh,kama mjuavyo safar ya gomzi huwa ndefu nikamsemesh mtoto nikapokelew kwa kupewa namba tulipofk mombasa mtoto kashuk mida ya usik mara naona kwa phone langu Mamb kaka nami bila kupoteza wakt nikaanza kuchat naye nakumbk ilikuwa jmos hiyo day nikaomba location mtot akaitik kuja gomz pale Pasword kiukwel nilifutulu mbususu ya mtoto wa kilangi mbususu nyeupe kama upaja dar nilikula mpaka saa 2 usiku tok saa kumi now mtot ananiita bby kufatilia mtoto anafany job roby pharmacy saiz ni mwendo wa kugonga kokoto2 kila weakend
 
Kimasihara nilikuwa nipo kwenye daladala hapa mjin dar nikitokea masaki-Gongo la mboto mara
papu mtoto huyu hapa pembeni yangu tena mweupe pee duh,kama mjuavyo safar ya gomzi huwa ndefu nikamsemesh mtoto nikapokelew kwa kupewa namba tulipofk mombasa mtoto kashuk mida ya usik mara naona kwa phone langu Mamb kaka nami bila kupoteza wakt nikaanza kuchat naye nakumbk ilikuwa jmos hiyo day nikaomba location mtot akaitik kuja gomz pale Pasword kiukwel nilifutulu mbususu ya mtoto wa kilangi mbususu nyeupe kama upaja dar nilikula mpaka saa 2 usiku tok saa kumi now mtot ananiita bby kufatilia mtoto anafany job roby pharmacy saiz ni mwendo wa kugonga kokoto2 kila weakend
Mkuu umeunganishwa....... Au bas!!!
 
Back
Top Bottom