Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mtumishi acha Mambo mengi wewe shusha kimasihara yako weekend isiishe kizembe hivi

Mi sikumbuki dhambi maana nishasamehewa. Ya nn kukumbuka.Mume wa mke mmoja nna miaka 70 ya kuishi mbele ya nn kubeba Roho za wanawake malaya miaka iliwe na nzige na madumadu
 
IMG_7572.jpg

Mbinguu zimemfunguka
 
Muombee Mama yako alikuzaa na Baba yako wao ndio kila kitu kwako. Ombea familia

Lakini usisahau mke wako au Mume wako. Mchumba wako pia kila kitu ni maombi. Namaanisha mda huo unaowaza masihara. Mpe Muumba utukufu utavuna faida utapendwa na Mungu, Baba yangu mimi.

Umepata kazi ombea eneo lako la kazi kuwa mwaminifu kwa Mungu. Ata Linda Ajira yako, utapanda daraja hakuna wa kuzuia. Mchague Mungu kataa ushirikiana naongea na wewe hapo kazi nzur ila ndumba utaikosa na kazi yenyewe maana hauna ulinzi wa Mungu. Mpe Muumba utukufu

Mpiga Nyeto utakuwa hanithi ni swala la Muda. Chagua mwenyewe hamna wa kukubembeleza maana Nyeto siri kati yako na mmwenza wako Wa kuzimu. Ila matokeo tutayaona wote Ndio utaratibu. Kataa pepo hilo sasa

Baba akulinde mpenzi na akuwezeshe katika Nafsi yako. Pokea Kufunguliwa ni Jesus Name
 
We unaefuga ombea Mifugo yako mda unawaza masihara. Sikia komboa eneo lako la Mifugo, liombee,

Ardhi mmiliki ni shetani hujakomboa ndo maana unamuacha mke/mume unaenda kwa wengine shetani hatak amani. Mtaachana tu ni swala la Mda pasipo nachosema. Shetan aliekudanganya uchepuke ndo anakupa nguvu ya kuchakata bao 6 kwa mke 2 au 1 kwa wiki na we mke unapiga a bao za ujana wako ambazo mmeo hakupi tena Shetani ni yule yule kakamata ufahamu.

Komboa Malango kwa damu ya Yesu.Komboa ajira. Komboa uanaume wako. Huo mda wa masihara ndo muda wa kuomba.

Majibu unayo nafsini kwako.Shetani ndo Mtawala hapa ulimwenguni na hana chake siku ya mwisho. Siku ya mwisho ni siku wewe hapo umekufa.

Yohana 12:31 - Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje.

Familia nyingi zinamigogoro sbb ya kutegemea akili zao. Shetan hana huruma ni Mungu tu mwenye huruma. Tusimuache tuhojiane nae njia ya kumuendea atupe njia sahihi. Nia na kiu yako ndo ushindi wako.

Hakuna mbingu ya Bure ni gharama nayo ni maombi tu na kutenda haki. Na shetani hataki uombe mziki upo hapo. We unawaza masihara mda huo ndo mzuri kuomba
 
We unaefuga ombea Mifugo yako mda unawaza masihara. Sikia komboa eneo lako la Mifugo, liombee,

Ardhi mmiliki ni shetani hujakomboa ndo maana unamuacha mke/mume unaenda kwa wengine shetani hatak amani. Mtaachana tu ni swala la Mda pasipo nachosema. Shetan aliekudanganya uchepuke ndo anakupa nguvu ya kuchakata bao 6 kwa mke 2 au 1 kwa wiki na we mke unapiga a bao za ujana wako ambazo mmeo hakupi tena Shetani ni yule yule kakamata ufahamu.

Komboa Malango kwa damu ya Yesu.Komboa ajira. Komboa uanaume wako. Huo mda wa masihara ndo muda wa kuomba.

Majibu unayo nafsini kwako.Shetani ndo Mtawala hapa ulimwenguni na hana chake siku ya mwisho. Siku ya mwisho ni siku wewe hapo umekufa.

Yohana 12:31 - Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje.

Familia nyingi zinamigogoro sbb ya kutegemea akili zao. Shetan hana huruma ni Mungu tu mwenye huruma. Tusimuache tuhojiane nae njia ya kumuendea atupe njia sahihi. Nia na kiu yako ndo ushindi wako.

Hakuna mbingu ya Bure ni gharama nayo ni maombi tu na kutenda haki. Na shetani hataki uombe mziki upo hapo. We unawaza masihara mda huo ndo mzuri kuomba
Wapo wengi tu kama wewe walikuja kwa huu uzi na wakaondoka wakauacha, ni zama zako na wewe hizi, tamba ila utachoka tu na utauacha uzi ukisonga mbele, ni suala la muda tu.
 
IMG_7613.jpg

Akulinde wewe hapo, si wewe tu na familia yako. Akutenge na Uzinzi na uasherati bali akupe Neema ya kumjua Yeye. Hofu ya Mungu iwe Fungu lako, wala asiukumbuke uovu wako, bali akukuze katika kumjua Yeye, macho yako yafunguliwe magamba yadondoke, masikio yazibuke upate kuiskia sauti yake. Vinaenda na zumaridi bikubembeleze usiku huu. Bana anapowatembelea wengine akutembelee na wewe hapo na mkeo/mumeo , uache uongo uwe mkweli Yeye akuwezeshe

Yaani huyo Muumba wako, akuvue mavazi ya uovu,machafu na akuvike mavazi safi ya kitani safi. Usiitwe alieachwa bali mmbarikiwa. Pokea busu kutoka kwangu mimi rafiki yako nikupendaye. Mwaaaaah I love u Rikboy also
 
Mbona hawaulizi dada zao wanavyonyanduliwa kama wanakumbuka kutumia ndom?
Hapo bado wale watakatifu hawajaja kuhubiri
Wanakua miaka tu lakini akili zao zimedumaa, kuna umuhimu wa kufuatilia kadi zao za kliniki si ajabu grafu haiko sawasawa wapuuzi wakubwa hao.
 
Wapo wengi tu kama wewe walikuja kwa huu uzi na wakaondoka wakauacha, ni zama zako na wewe hizi, tamba ila utachoka tu na utauacha uzi ukisonga mbele, ni suala la muda tu.

Kwa Mungu Miaka 1000 ni siku 1 tu. Yesu akaja akaenda ni Yeye tu alihubir Habari ya ufunuo na uzima wa Milele. Wanafunzi 11+mathiya akachaguliwa kufikisha 12 baada ya Yule Yuda msaliti kujinyonga.

Yesu akaondoka kimwili akaa ndani yao Kiroho kazi ikapigwa mwanawane. Wakala watu 12 sio 1 tena. Wale 12 wakasababisha Yesu akae kwa Ma 10 elfu, ma milioni na sasa Yesu yupo anatenda kila pande ya dunia hii.

Kweli ntaondoka kama ye aliondoka mi nani lakin maneno yangu yatakaa kwenu na ni utukufu kwa Mungu kwamba damu zenu Mungu hata nidai mimi hapa. Na wale watakao amini Yesu atakaa ndani yao na Ndio makusudi. Si wote wamechaguliwa.

Nuhu aliweka hadi Fisi kwenye safina ili Mungu ajipatie mbegu Hivo relax ntaenda.

Kwamba natamba zamu yangu. Mwenyewe nasubir masihara niangalie. Uzi uishi
 
Kwa Mungu Miaka 1000 ni siku 1 tu. Yesu akaja akaenda ni Yeye tu alihubir Habari ya ufunuo na uzima wa Milele. Wanafunzi 11+mathiya akachaguliwa kufikisha 12 baada ya Yule Yuda msaliti kujinyonga.

Yesu akaondoka kimwili akaa ndani yao Kiroho kazi ikapigwa mwanawane. Wakala watu 12 sio 1 tena. Wale 12 wakasababisha Yesu akae kwa Ma 10 elfu, ma milioni na sasa Yesu yupo anatenda kila pande ya dunia hii.

Kweli ntaondoka kama ye aliondoka mi nani lakin maneno yangu yatakaa kwenu na ni utukufu kwa Mungu kwamba damu zenu Mungu hata nidai mimi hapa. Na wale watakao amini Yesu atakaa ndani yao na Ndio makusudi. Si wote wamechaguliwa.

Nuhu aliweka hadi Fisi kwenye safina ili Mungu ajipatie mbegu Hivo relax ntaenda.

Kwamba natamba zamu yangu. Mwenyewe nasubir masihara niangalie. Uzi uishi
Acha shobo Mkuu tafuta Demu na wewe ulete kisa hapa
 
Nimerudi sasa tuendelee....
Kama mjuavyo wageni wanapoingia kijijini lazima wajulikane.....watu mbalimbali walijenga mazoea na sisi akiwemo yule kijana (hasa mimi). Nikienda mgahawani kula chakula nakuta naambiwa kimelipwa, nikienda dukani kununua maji ya kunywa pia maana hapa duka lilikuwa karibu na hardware yao pia naambiwa rajab amelipa.
Sasa akaomba tukutane tuongee me bila hiyana nikakutana nae...akatuma mistari yake paleee me nkamwambia sijamuelewa...
Akaendelea na udhamini lakini me moyoni najua si naondoka tu mda wowote hatanipata. Na kweli week hiyo nkaamua kurudi zangu dar. Basi mchana wake nkamwambia kwamba me ntaenda kulala mtwara ili kesho yake niwepo dar nimepata dharura.

Mda ukafika me nkapanda zangu gari hadi mtwara mjini nkachukua Lodge...mida ya jioni nimepoa si akapiga simu ..eti yupo njiani anakuja mtwara Town nimwambie nilipo ili tuagane tu yeye arudi kijijini. Nkataka kumwambia asije lakini ashasema yuko njiani. Basi nkasema kwakuwa amesema anarudi jioni ile ile ukute hatataka mengi....
Kweli akafika nikampokea tukakaa nje kwenye hyo Lodge kuna bar kwa nje tukakaa tukapiga story mbili tatu huku tunakunywa soda .
Basi akasema yeye anataka kurudi ila anataka aone room kwangu tuu... 🤣🤣🤣🤣

Tukaenda room....kumbe ilikuwa mbinu yeye alishaipanga na kweli ikasaidia akaanza uchokoziii wake hadi akashinda kula tunda...
Hii siku nilisikitika sana asee
Pale ninapojua nimeondoka kijijini salama na nimeshinda vishawishi vya wakaka wengi tu huko sokoni nkaja kutua mikononi mwa haka kakijana kijiiingaaa
Nimepata wivu mkali sana.
 
Back
Top Bottom