Ulinzi wa Rais Samia alipotua Dar leo

Ulinzi wa Rais Samia alipotua Dar leo

Hivi Makonda ndio wamemtosa mazima duh,
Si wampe hata ukatibu kata
 
Gharama zote na matumizi ya ndege kubwa.Angekuwa Magufuli angetumia usafiri wa barabara na angesimama baadhi ya maeneo kukagua miradi ya maendeleo na kuongea na wananchi.Tutamkumbuka sana JPM.Aendelee kupumzika kwa amani
Watumiaji wa barabara nao wahangaike na misafara yao?

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Ulinzi wa JPM uliimarika baada ya kuanza kuwatia adabu majizi. Kumbuka siku moja tu baada ya kuapishwa alitembea kwa miguu toka Ikulu Magogoni mpaka wizara ya fedha.

Ni suala la muda tu.
Msibani watu walikuwa wanalia arudishe bilioni 60.

Bado ile hasara ya ndege iliyokamatwa Canada, alillipa kwa aibu bila hata kutangaza.

Na ule uwanja Chato utakuwa malisho ya ng'ombe.

Mitano tena au tumlazimishe atawale milele???kkkk Sasa hivi anachezea makwenI ya Azory na Ben Sa8. Huko yupo peke yake hana cheo wala ulinzi.

Somo: Tuwe wanyenyekevu duniani tunapita.
 
Hapa ilikuwa ni Dodoma kipindi cha msiba.

E28901D5-E439-407B-B27C-A2D0D6ACC280.jpeg
43FD4178-C99F-4636-87F9-C9F0EBE530E8.png
 
Uyu mama aongezewe ulinzi,sina imani kabisa na wasukuma, siunaona uyu msukuma tayari ameshaanza kuhoji ulinzi wa rais wetu, ana jambo uyu na kundi lake
Ungesema Nyani Ngabu hates mama, may be it could sound easier and better..

Lakini kuwaweka wasukuma wote kapu moja kama haters wa Mama and lovers wa Mwendazake, it's totally wrong...

Millions of sukuma didn't like Jiwe. They hated him more than empty words can describe. He destroyed the lives of many of them..

Mimi niko Mwanza usukumani, I know what I am saying...
 
Ungesema Nyani Ngabu hates mama, may be it could sound easier and better..

Lakini kuwaweka wasukuma wote kapu moja kama haters wa Mama and lovers wa Mwendazake, it's totally wrong...

Millions of sukuma didn't like Jiwe. They hated him more than empty words can describe. He destroyed the lives of many of them..

Mimi niko Mwanza usukumani, I know what I am saying...
Mimi namchukia Samia?

Really?
 
Ulinzi wake si jukumu lake kupanga hakuna Rais yeyote anaelindwa na manati hata Papa analindwa na Bunduki itakuwa huyu anaetaka kutuamisha yeye ni bora na simple kuliko aliyepita?
SAWA.

Lakini kama si limbukeni huyo rais anaweza kupendekeza pasiwepo na mabunduki mbele yake kama anakwenda vitani.

Picha hizi zinaonyesha mabunduki yapo pembezoni mwa mlindwa.
 
Kwa Magu walikuwa soldiers kabisa wa jwtz
Huyu ni tiss wale wa pale magogoni
 
Mengi yalizungumzwa kuhusu ulinzi wa Rais Magufuli. Wengi wakakosoa kwamba analindwa na maaskari wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi huku wameshikilia mabunduki makubwa.

Ni viongozi wengi tu duniani hulindwa hivyo. Hata Rais wa Marekani hulindwa na wanausalama wenye mabunduki makubwa na wanaovaa magwanda ya kijeshi jeshi.

Hao huitwa Counter Assault Team. Hao ndo wapiganaji ikitokea Rais anashambuliwa kwa silaha. Wale wanaovaa suti kazi yao si kupigana na adui. Kazi yao ni kuhakikisha rais yuko salama kwa kumkinga [taking the bullet for the president] au kumuondosha kwenye eneo lenye hatari.

Leo Rais Samia katua kwenye uwanja wa ndege Dar.

Chini naweka video. Lakini kabla yake, naweka screenshots za video zinazoonyesha hao watu wa counter assault walikuwepo na mabunduki yao.

Kuna watu walishaanza kusema eti Rais Samia hana walinzi kama hao kama ilivyokuwa kwa Magufuli.

Pia, Rais huwa hajipangii ulinzi wale mwenyewe. Ulinzi wake hupangwa na wataalamu kulingana na vigezo vingi ikiwemo eneo alipo, hali ya usalama wa eneo kwa ujumla, na mambo mengineyo.

Ona huyu na huo mbunduki wake:
View attachment 1742313

View attachment 1742314

Huyu pia ni mwingine akiwa pembezoni kidogo.
View attachment 1742316

Video hii hapa;


Okay,tumeona.
 
Back
Top Bottom