nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,638
- 20,248
I could tell from fatigueUlijuaje ni JWTZ? Unafanya nao kazi?
I could tell from fatigueUlijuaje ni JWTZ? Unafanya nao kazi?
Sijasema mimi hivyo, fuatilia mjadala vizuri...Mimi namchukia Samia?
Really?
Yes...chuki upofua machoUliona kwa Magufuli ilikuwa ni too much kwa sababu ulikuwa na chuki dhidi yake.
Ukiyaona kwa Rais Samia utaona ni poa tu, kwa sababu labda bado hujaanza kumchukia.
Chuki hughubika akili.
Angalia uniform zao utaelewa tofauti🤣🤣🤣
Usadiki tu. Hamna lolote.
Duuh naona ghafla kauli zimeanza kubadilika maana ilikua inasemekana ni wanyarwanda.Kwa Magu walikuwa soldiers kabisa wa jwtz
Huyu ni tiss wale wa pale magogoni
Mtahamisha sana magoli.Angalia uniform zao utaelewa tofauti
Huyo wa kwa mama Samia amevaa mabaka ya kijivu.Hawa wanalinda pale ikulu ferry.
Msiwe mnaweka video ndefu kwani mambo ya Ndugulile ni kikwazo kizito


Well said my friend!!!Huyo uliyezungumshia ktk picha za screen shots, mimi naona ni kama huyo huyo mtu mmoja ktk position tofauti tofauti...
Anyway it doesn't matter.
And it's normal kwa Rais kulindwa na kuhakikisha usalama wake, though kwa Mwendazake it was too much. Ni kama vile alikuwa haamini ktk Mungu..
Na huyu mama (in my opinion) anapaswa kuongezewa ulinzi zaidi kwa sbb baadhi wahafidhina wa CCM hawataki na hawakutaka ashike madaraka haya baada ya Mwendazake kwenda zake...
So likely, they can do anything to harm Madam President Samia Suluhu Hassan...
Gb 1 ni nusu kilo ya nyama,We mbeba boksi bando limepanda Bei...
Kumiliki Gb moja Ni anasa...
Hahhaha.. Mkuu hawa vijana wa belgiji ni wa kuonea huruma tuSiyo mmoja! Huna macho?
Hamjaona ulinzi kama wa Magufuli? Hata wiki tatu hajamaliza.