Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,174
- 26,913
Huyo mchimbachumvi haishiwi vituko .Mlinganisho mzuri ungeweka na lile picha la Magufuli na mabunduki yake akitokea kwenye uwanja wa Nyamagana; akienda kununua karanga za kuchemsha mitaani.
Unajitahidi sana kusafisha yasiyoweza kusafishika.
Itabidi tu wakati fulani ukubali mtu wako alikuwa na ulimbukeni, kama wako ulivyo.
Anadhani bado tuko awamuza mwendazake.
Ana obsession mbaya Sana na mwendazake.
Halafu Ni linafiki Fulani la ajabu ajabu
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
