Ulikuwa na umri gani ulipotengeneza milioni yako ya kwanza?

Nyafwili

JF-Expert Member
Nov 27, 2023
2,783
6,906
• Habari wana JamiiForums na wafanyabiashara wenzangu, nataka nitengeneze milioni yangu ya kwanza mapema mwaka huu. Hata hivyo, Maana nimekuwa kila nikitafuta hela nashindwa kufikisha million , nataka kujua ni umri gani nyie mlitengeneza milioni ya kwanza na jinsi mlivyofanya au uwekezaji mliofanya mpaka mkapata hiyo million.

• Ndiyo! uchumi si wa kutabasamu kwa sasa, Lakini hii inaweza tumika kama motisha kwa ndugu, jamaa na marafiki, ambao bado wapo kwenye ajira ndogo ndogo na Wanataka kujiajiri au wapo kwenye hatua ya kudunduliza mitaji.

• Tuambie ni lini ulitengeneza milioni yako ya kwanza na kwa njia gani?

 
Nikiwa chuo mwaka wa kwanza nilishika yangu mwenyewe ya kutengeneza yaani nilikuwa na miaka 21 na nilitembeampaka million 8 mwaka wa tatu niliondoka na million 9.....Tena nilikuwa na matumizi mabaya japo nilikaa getto miaka yote haswa nguo mimi bata hapana.
Iko poa hii mkuu, ulifanyaje mpaka ukavuna milioni 8-9 ukiwa upo chuo, kuna biashara yeyote ulikuwa unafanya?
 
Iko poa hii mkuu, ulifanyaje mpaka ukavuna milioni 8-9 ukiwa upo chuo, kuna biashara yeyote ulikuwa unafanya?
Nilikuwa nafanya forex miaka ile na broker templer halafu nilitemana nayo kabisa ,pia nilikuwa nafundisha watu nikila kipigo sokoni nahost event naleta kelele nyingi nakula sitting allowance ...Baadae niliona biashara ya kiduanzi unajiexpose sana kama umefanikiwa nikatemana nayo.

Nina rafiki yangu mpaka leo afanya hana lolote kazi kukodi magari anakaa sinza huko ,ila alishapiga mpaka million 100 ...Ujinga bata kwa sana na wanawake kutwa yupo Zanzibar ...Ana nyumba lakini huko Mbweni.
 
• Habari wana JamiiForums na wafanyabiashara wenzangu, nataka nitengeneze milioni yangu ya kwanza mapema mwaka huu. Hata hivyo, Maana nimekuwa kila nikitafuta hela nashindwa kufikisha million , nataka kujua ni umri gani nyie mlitengeneza milioni ya kwanza na jinsi mlivyofanya au uwekezaji mliofanya mpaka mkapata hiyo million.

• Ndiyo! uchumi si wa kutabasamu kwa sasa, Lakini hii inaweza tumika kama motisha kwa ndugu, jamaa na marafiki, ambao bado wapo kwenye ajira ndogo ndogo na Wanataka kujiajiri au wapo kwenye hatua ya kudunduliza mitaji.

• Tuambie ni lini ulitengeneza milioni yako ya kwanza na kwa njia gani?

View attachment 2859386
Wewe umri wako mbona hujataja?
 
Nilikuwa nafanya forex miaka ile na broker templer halafu nilitemana nayo kabisa ,pia nilikuwa nafundisha watu nikila kipigo sokoni nahost event naleta kelele nyingi nakula sitting allowance ...Baadae niliona biashara ya kiduanzi unajiexpose sana kama umefanikiwa nikatemana nayo.

Nina rafiki yangu mpaka leo afanya hana lolote kazi kukodi magari anakaa sinza huko ,ila alishapiga mpaka million 100 ...Ujinga bata kwa sana na wanawake kutwa yupo Zanzibar ...Ana nyumba lakini huko Mbweni.
• Ulijitahidi sana mkuu, maana naskia walio ingia forex, kwa sasa ni mafukara wakutupwa,

• Mkuu unatushauri nini sisi ambao hatujafikisha milioni ? Wapi tujirekebishe?
 
• Habari wana JamiiForums na wafanyabiashara wenzangu, nataka nitengeneze milioni yangu ya kwanza mapema mwaka huu. Hata hivyo, Maana nimekuwa kila nikitafuta hela nashindwa kufikisha million , nataka kujua ni umri gani nyie mlitengeneza milioni ya kwanza na jinsi mlivyofanya au uwekezaji mliofanya mpaka mkapata hiyo million.

• Ndiyo! uchumi si wa kutabasamu kwa sasa, Lakini hii inaweza tumika kama motisha kwa ndugu, jamaa na marafiki, ambao bado wapo kwenye ajira ndogo ndogo na Wanataka kujiajiri au wapo kwenye hatua ya kudunduliza mitaji.

• Tuambie ni lini ulitengeneza milioni yako ya kwanza na kwa njia gani?

View attachment 2859386
55
 
Nakumbuka wakati niko na 16yrs after kumaliza form4, nikahudhuriaga seminar ya ufugaji wa kuku wa kisasa, kama utani nikajenga banda nyumbani nikaanza na kuku 50, after two weeks nikaongeza wengine 100, hadi kufikia pasaka nikawa nimekunja kama 1.2M hivi ya kwangu ☺️☺️
• Zuri hii sana hii mkuu, Je bado unaendelea na ufugaji wa kuku? Na walikuwa wa kienyeji au kisasa.

• Ipi changamoto uliipata wakati wa ufugaji wa kuku?
 
Back
Top Bottom