realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 7,335
- 18,383
- Thread starter
- #61
Yani hapa inakuaga shida sana.Mara nyingi ukiwa na Mama anaanza kukuambia vitu alivyofanya Baba, hata kama vipo kuna namna huwa vinakuzwa sasa kama mtoto huna uwezo wa kupambanua unaanza kumchukia mzee moja kwa moja. Lakini huwezi sikia hata siku moja Baba anamuongelea Mama vibaya. Na hii hupelekea madingi wengi kutengwa uzeeni sababu ya chuki iliyopandikizwa muda mrefu.
Wazee wengi hawapendwi pamoja na jitihada zao 😝