realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 7,335
- 18,383
- Thread starter
- #81
Lakini wanaume wanakuaga wakorofi kipindi wakiwa nazo.Unakuta kazee kamepanga hata geto kanaishi kenyewe kumbe kametengwa, wanaume tunapitia mengi,watoto huamishia upendo wote kwa Mama yao. Ndo maana kuna wazee wajanja wanajenga nyumba nyingine kisirisiri vitimbi vikianza anaenda kwenye nyumba yake nyingine maana hizo ni dakika za lala salama.
Na wanawake ni wabinafsi sana wakifanikiwa na mzizi wa upendo Huwa unakufa kabisa