Ukweli una pande mbili

Ukweli una pande mbili

Hebu Kutana na mwanamke anayechepuka, anavyotoa sababu za kuchepuka kwake ukimsikiliza unaweza sema huyu amechepuka ili kuuponya moyo au Kutana na mwanaume anachepuka akupe sababu unaweza kudhani kweli hapa ananyanyasika sana
 
Nieleze ukeli kuhusu pesa tu hayo maswala yakibinadamu ni kuchoshana yu hakuna ambaye hakosei ni sawa na kuchukia baya hadharani uku unalitumia faraghani tu
Napenda pesa jamani 😛
 
Cha kufanya ni wewe msikiaji wa hizo habari unatakiwa kuchanganya na zako, kama ndio uko kwenye mchakato wa kufunga ndoa hakikisha hausikilizi koment za walio achana utajikuta unaahirisha jambo lako
Mungu atusaidie jamani.
Ila maneno yamefanya watu wakaachana kabisa.
 
Back
Top Bottom