Ukweli ni lazima tuuseme hadharani: Rais Magufuli alikuwa anaona kitu ambacho wengi hatukuwa tunaona; Je, ni Mungu aliyesema naye?

Corona inauwa kimya kimya na haisemwi, kwani wewe umewahi kusikia ikisemwa kama yale mandege tuliyonunua yanaleta faida au hasara? Zijue siasa vizuri utamjua magu.
Inauwa kimya kimya huko mahospitalini au majumbani?
 
His Excellency John Pombe Magufuli, You Shall live long.

In the Name of Jesus
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Utendaji kazi wa Mungu ni waajabu sana, ili umsikie Mungu akisema ni lazima uwe kwenye nafasi husika. Mfano kama wewe ni mwenyekiti wa mtaa Mungu atasema na wewe kuhusu mtaa wako ni mara chache atakuambia kuhusu mitaa mingine au nchi yote kwa ujumla ila uwe na uhakika mara nyingi atasema na wewe kuhusu mtaa wako kama ukimtafuta.

Hivi hadi leo tungekuwa lockdown? Hali zetu zingefananaje? Hata hao waliokuwa lockdown wanajichomoa kimya kimya maana hali zimeanza kuwa tete. Msimamo na ujasiri aliokuwa nao Rais Magufuli aliupata wapi licha ya pressure kuwa kubwa sana hadi akawa apokei baadhi ya simu ya marafiki zake? Je, ni Mungu alimsemesha kitu ambacho hakutusemesha wengine?

Aina ya ujasiri na msimamo aliokuwa nao juu ya Corona naamini kabisa ni Mungu alimsemesha. Na yawezekana kuamua kwenda likizo ndefu vile ni ili kujitenga na pressure ya watu ili asije timiza matakwa yao bali mapenzi ya Mungu maana alijua Mungu amesema na yeye kuhusu Taifa la Tanzania hajasema na wengine.

Ni wakati muafaka watu kama sisi tuliokuwa kinyume nae tena kwa ukali kabisa wa kumsema vibaya, kina Mbowe and the like, wote tutoke mafichoni, tufanye press kama tulivyofanya tupongeze na kumshukuru Mungu kuwa tumevuka salama
Kuna roho zimepotea kwa Magufuli kutofanya lockdown pia.
 
Leo kuna watu wanamwona Mkapa mzuri wakati alihakikisha kila shirika linakufa licha ya kujichukulia madini kule kwao. Tanesco, NBC, ATC aliwapa makaburu wakamega then wakasepa. Viwanda alivyovikuta vyote aliviua kifo cha mende. General tyre, Urafiki, shirika la Stamico etc the guy was not fit to be a president. Bubu wengi tu watataka kusema.
 
Mama yangu kapatikana na corona virus juzi akiwa pale Benjamin mkapa hospital. Na hii Ni baada ya wiki moja na nusu kutoka Dar akihudhuria msiba...Alilazwa kituo Cha afya tatizo halikuonekana, Ila dalili zote alikua nazo, Ni mpaka alipofikishwa hapo dodoma.Familia yangu kwa maana ya mzee, brother, na mdogo wangu wa kike muda huu napozungumza wapo ndani wameji isolate.Ni Bahati yangu tu nipo mbali....Napokutana na mada Kama hizi naumia Sana na kulaani vikali juu yenu mnaoleta ushabiki wa kijinga kabisa juu ya janga hili. Mmeamua kuwatoa kafara watanzania Basi endeleeni sio kuleta ujinga humu na unafiki kumsifu huyo kiumbe shetani kabisa na ukweli mnaujua. Hapa nilipo Nina hofu muda wote Ila namuombea Mama yangu na familia yote nyumbani Mungu atawasaidia. Fanyeni upumbavu wenu wote Ila ombeni yasiwakute.
 
Utendaji kazi wa Mungu ni waajabu sana, ili umsikie Mungu akisema ni lazima uwe kwenye nafasi husika. Mfano kama wewe ni mwenyekiti wa mtaa Mungu atasema na wewe kuhusu mtaa wako ni mara chache atakuambia kuhusu mitaa mingine au nchi yote kwa ujumla ila uwe na uhakika mara nyingi atasema na wewe kuhusu mtaa wako kama ukimtafuta.

Hivi hadi leo tungekuwa lockdown? Hali zetu zingefananaje? Hata hao waliokuwa lockdown wanajichomoa kimya kimya maana hali zimeanza kuwa tete. Msimamo na ujasiri aliokuwa nao Rais Magufuli aliupata wapi licha ya pressure kuwa kubwa sana hadi akawa apokei baadhi ya simu ya marafiki zake? Je, ni Mungu alimsemesha kitu ambacho hakutusemesha wengine?

Aina ya ujasiri na msimamo aliokuwa nao juu ya Corona naamini kabisa ni Mungu alimsemesha. Na yawezekana kuamua kwenda likizo ndefu vile ni ili kujitenga na pressure ya watu ili asije timiza matakwa yao bali mapenzi ya Mungu maana alijua Mungu amesema na yeye kuhusu Taifa la Tanzania hajasema na wengine.

Ni wakati muafaka watu kama sisi tuliokuwa kinyume nae tena kwa ukali kabisa wa kumsema vibaya, kina Mbowe and the like, wote tutoke mafichoni, tufanye press kama tulivyofanya tupongeze na kumshukuru Mungu kuwa tumevuka salama
Huyo aliyesema naye jina lake ni nani, maana Mungu ni cheo sio jina.
 
Mungu husemaesha kila mtu katika nafasi yake hiyo siyo kufuru we elimu yako ya dini mbona ndogo hivyo? Au we mpagani nini?
Magu alifanya Lockdown ile iliyoshauriwa na WHO, aliposikia ugonjwa umeingia akaondoka ikulu akaenda kufanya lockdown nyumbani kwa sababu anayathamini sana maisha yake binafsi.
 
Huwezi kwenda hospitali kwa sababu health services ni one of the poorest in the world.
 
Binadamu hawezi kupendwa na watu wote! mengine anapatia mengine anakosea ila jinsi Mkulu amepambana na Corona sifa zote njema zimfikie popote alipo! shida yangu mimi ni kuwa anapoteua aangalie na watu wa dini zingine!
Amepambana vipi na Corona, what specifically has he done to stop Corona.

Mie ninamsifu kwa kuamua kujilockdown yeye mwenyewe nyumbani kwake ili asipate maambukizi.

Nyie mliokuwa mnazurura mtaani it was for your own risk
 
Last but not least JPM ni mcha mungu na ni mnyenyekevu na hakuna hata siku moja ataanza kusema chochote bila kumshukuru Mwenyezi mungu muweza wa vyote. Je, ni marais wangapi hapa duniani ambao wanaweza kutoa shukrani kwa mwenyezi Mungu?

Wamemsimanga JPM na kumdhihaki kwamba Tanzania wanasema covid-19 imekwisha kwa sababu ya maombi kwa mwenyezi Mungu na kusambaza habari kwamba tunazika usiku etc. Lakini matokeo hayajifichi, hivi sasa wanaona aibu!
Hapo uliposema ni mcha "mungu" ndio umemaliza kila kitu.

Nikufundishe kitu, MUNGU ni cheo, kama ilivyo rais.

Aliyeumba mbingu na nchi anatambulishwa kama Mungu "m" ikiwa ni herufi kubwa ila miungu mingine yote inatambulishwa kwa "m" ndogo.
 
Back
Top Bottom