Amekuambia tangu lini mtu mwenye chuki na wapinzani akawa mcha Mungu?Wewe umeshindwa nini kututangazia? Imani ya mtu ni siri yake na mwenyezi Mungu, wewe na mimi tunaongea kutokana na yale tunayoyaona tu. FYI rais wa nchi yoyote ile huwa ana taarifa nyingi kukushinda wewe na mimi.